Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Its Match Day. Karibuni tuichambue
IMG-20220412-WA0002.jpg
 
Haya mambo sijui yanakuwaje. Wakati tulikua tunahangaika foward line haitimizi majukumu yake backline(mabeki) walikua wanazuia mpaka baadhi ya wachambuzi wakawa wanasema timu nyingine zichukulie darasa la namna ya kuzuia kutoka kwetu. Sasa washambuliaji wameanza kufanya vizuri naona backline inaanza kutoboka tena.

Kwani hivi vitu haviwezi kwenda sawa? Tatizo liko wapi?

-Tunashambulia sana tunajisahau kulinda(counter attacks)
-Uzembe kwenye kuziba nafasi(open play)
-Kutegeana kwa kudhani jukumu la ulinzi ni la mabeki pekee?

Mechi mbili zilizopita tuliruhusu magoli saba kabla ya hii ya Southampton. Shida nini
 
Madrid kumtoa Chelsea kesho Wala sio habari ,lakin kesho Chelsea akimtoa Madrid itakuwa headline kwenye magazeti yote ulaya ..na itakuwa moment mojawapo za CL ambazo tulikuwa tumezimiss

Kazi kwenu
Tulia ufurahie show kubwa kutoka chelsea.
 
Leo ndo ile siku ambayo mashabiki wa kongolo fc watalia na kusaga meno.

Mtalia sana leo najua mnawaza kwamba mtapindua meza ila naona mkiongezwa zingine

Unatia aibu unavyokuja kwenye Nyuzi za wanaume wanaoshiriki UEFA kila mwaka badala upambane timu yako ishiriki hata carling cup wewe kutwa kuja hapa. Ivi man u yupo kwenye mashindano gani vile?
 
Ila wazee leo naona bahati iko upande wetu, naona tukimtoa Madrid baada ya aggregate kuwa 3-3.

The BLUES ile ninayoifahamu ya kila mchezaji yuko kwenye ubora wake. Ulinzi shirikishi, ushambualiaji kila upande.

Tunamtoa Madrid. Believe that

Wewe ni Kichaa kabisa yani nakushauri hebu Tikisa hilo Bichwa lako uhakikishe kama kweli Mungu kukuwekea akili.
 
Wewe ni Kichaa kabisa yani nakushauri hebu Tikisa hilo Bichwa lako uhakikishe kama kweli Mungu kukuwekea akili.
Mtego wetu upo kwza Benzema tu, akikabwa kisawasawa RM hawana wafungaji wa kutisha kivile. Na hiyo kazi tunaweza kuifanya
 
Haya mambo sijui yanakuwaje. Wakati tulikua tunahangaika foward line haitimizi majukumu yake backline(mabeki) walikua wanazuia mpaka baadhi ya wachambuzi wakawa wanasema timu nyingine zichukulie darasa la namna ya kuzuia kutoka kwetu. Sasa washambuliaji wameanza kufanya vizuri naona backline inaanza kutoboka tena.

Kwani hivi vitu haviwezi kwenda sawa? Tatizo liko wapi?

-Tunashambulia sana tunajisahau kulinda(counter attacks)
-Uzembe kwenye kuziba nafasi(open play)
-Kutegeana kwa kudhani jukumu la ulinzi ni la mabeki pekee?

Mechi mbili zilizopita tuliruhusu magoli saba kabla ya hii ya Southampton. Shida nini
Rudiger yuko kwa mkopo, akili yake imeshahamia kule Barca
Christansen yuko kwa mkopo akili yake Barca
James fitness bado
Chalobah kadrop form
Silva kwa sababu ya umri saa nyingine anachoka

Leo natumaini fitness itakuwepo na morale juu
 
Sky Sports
NEWS
Chelsea takeover:
NBA chairman and Facebook co founder Larry Tanenbaum joins Stephen Pagliuca's bid ahead of Thursday's final deadline
 
Rudiger yuko kwa mkopo, akili yake imeshahamia kule Barca
Christansen yuko kwa mkopo akili yake Barca
James fitness bado
Chalobah kadrop form
Silva kwa sababu ya umri saa nyingine anachoka

Leo natumaini fitness itakuwepo na morale juu
Miminadhani kuepuka hayo ni kheri tuanze na Kante na Kovacic ili kusaidia ulinzi halafu Mount asogee mbele zaidi karibu na washambuliaji wanakua wanne inaweza kusaidia kupata chochote kitu kuliko kuanza na midfield ya Kante na Jorginho tunapoteza sana ufanisi
 
Tatizo la hii mechi hii ya leo ni kwamba tunaenda kwa lengo kubwa la kushinda tena sio chini ya magoli mawili.
Tofauti na mwaka jana, mwaka huu tumeanzia nyumbani kwa kupoteza na tunatakiwa kwenda kujitetea ugenini
Hakuna timu ya Uingereza iliyowahi kufunga zaidi ya goli moja pale Santiago Barnabeu kwenye mashindano ya UEFA
Real Madfrid katika mechi 10 alizoshinda first leg za UEFA ugenini alipotezaga mechi moja tu dhidi ya Ajax 2018 ambapo RM alishinda 2-1 na kuja kufungwa pale Santiago Barnabeu goli 4-1 na hivyo kutolewa kwenye mashindano hayo. Mechi zingine 9 aliweza kusonga mbele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom