Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vs Madrid twende na ulinzi shirikishi.

------- WERNER ------ KAI ----- MOUNT ------

ALONSO---- JOG --- KANTE ----- CHEEK

--- RUDGER --- SILVA ----- JAMES ---------

Juzi Madrid walitumia advantage ya gap kubwa kati Silva na Christensen kutufunga magoli 2 ya mwanzo.

James na Rudger wakati wanapanda kushambulia juu walikuwa wanachelewa sana kurudi kukaba.

Upande wa James ukajeuka kuwa lango la walanguzi. This time apambane na yule Vinicius asifurukute, huyu dogo Vinicius hatare sana akipata space kubwa.

Werner, Kai, Mount wakianza pale mbele na imani watawasha moto wa mashambulizi 1st half tunaweza pata goli mbili chap chap.

Werner aanze tuu ile kasi yake na movement zake hatare + zile konga mwamba anaweza kuwavuruga beki ya Madrid, akawasaidia Mount na Kai wakapata nafasi za kufunga Kirahisi.

Alonso pia aanze akiwaga kwenye siku zake ni hatare atashambulia na kufunga anavyotaka. Kocha ampe nafasi.

Naamini wachezaji wakiamua kufungua lile file la UEFA msimu uliopita, tunaweza kupata goli 2 pale Santiago chap chap mzigo ukawa mzito kwa Madrid.
Hata hii mwenyewe naona anaweza Tuchel akaitumia ..hapo Reece James anaweza akacheza as a RCB ili aweze kumdhibiti vini jr. Kwa maana hyo benzema asipate supply toka kwake...hapo Kwa rwb cjui atamuingiza babu azpi maana taarifa huko vipimo vya covid ana negative so kajiunga na kikosi .. Ila cheek game ya Southampton alicheza vzuri Sana as rwb anayeoperate centrally ...tuone itakavyokuwa vijana naiman watapambana

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kuwachezesha JOG & KANTE au KANTE & KOVACIC inategemeana na aina ya mpinzani tunayecheza naye. (nguvu yake, kasi yake na ubunifu wa viungo wake)

Kante & Kovacic wanatembea na mpira tofauti na Jog anatulia kati kati anatawala dimba.

Kuwapanga KANTE & KOVACIC, pale katikati panabaki wazi, ukicheza na mpinzani mwenye viungo wabunifu wanatumia huo uwazi katikati kutumaliza kwa maana mabeki wetu watakuwa kwenye matatizo.

Faida ya KANTE & KOVACIC kucheza pamoja ni kutembea na mpira kila mahali, wanapora mipira, wanakaba, wanapress na kushashumbulia kwa kasi.

Na ndio maana hawa jamaa KANTE & KOVACIC wakicheza kwa pamoja itamlazimu mabeki wetu kusogea juu kidogo kukabia juu ili kuziba gap.

Mi naona ni BORA JOG acheze na KANTE ila Kante awe kwenye ubora wake wa kutembea na mpira, JOG afanye kazi ya kucontrol uchezaji wa timu.

Au wacheze wote KOVACIC, JOG & KANTE, jog abaki nyuma kidogo kuwalinda wake back 3. Nadhani marudiano na Madrid kocha anaweza kupanga wote waanze
Ila sijawahi kumuona Jorginho akipress mbali na uwezo wake wa kuchezesha wenzake kwa pasi fupi fupi, Jo ni liability tukikutana na mpinzani anayepress sana. Anakuwa na errors nyingi kwenye defensive phase na hivyoi kuwa chanzo cha mabeki kuwa overloaded
Kova akiwa na consistency nzuri na Kante inatosha, Jorgninho aanze tu au awe sub pale timu inakuwa salama
I do not trust Jo kikamilifu namuona kama ni Sarri ball tu japo mara chache anakuwa na pasi za kiubunifu zenye kuzaa magoli but not always
 
Serikali ya Uingereza kupitia idara ya utamaduni habari na michezo imesema serikali haina sehemu kwenye uuzwaji wa Chelse isipokuwa kwenye kurekebisha leseni tu. Wamejibu hivyo baada ya taarifa kuenea kuwa Serikali ya Uingereza imeridhishwa na wote wanaowania kuinunua Chelsea ambao wamebakia wanne sasa
Waliobakia kwenye kinyang'anyiro ya kununua Chelsea ni
  1. Todd Boehly,
  2. The Ricketts family,
  3. Martin Broughton na
  4. Stephen Pagliuca
 
Chelsea Fans Finally Goes To Church
😹
😹
😂
😂
🗣️

"Dear God,
We Chelsea fans from all over the world have come again today
🙏

First of all, we thank you for always hearing us when we pray. We called on you for the recent club world cup, and you answered us. We are grateful Lord.
Father, the God of the Blue skies, today, it's Chelsea vs the whole world, as we take on Real Madrid in the second leg.
Father, our chances of qualifying is very slim, given Real Madrid's advantage in the first leg.
Daddy, we are not asking for much Lord. If it is your will that we should qualify, please help us qualify but we pray it should be your will Sir
🙏

We cannot do it on our own. We have been written off, but we still believe that with you, nothing is impossible.
Help us Lord, and at the end of the day, we'll return all glory to you. This we humbly ask with the humility of Kanté, the good heart of Antonio Rudiger, and the solid faith of Thiago Silva."
Amen
🙏
😁
😁


1649751433963.png
 
Leo ndo ile siku ambayo mashabiki wa kongolo fc watalia na kusaga meno.

Mtalia sana leo najua mnawaza kwamba mtapindua meza ila naona mkiongezwa zingine
 
Leo kuna matokeo ya aina mbili tu Madrid ashinde au Chelsea afungwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom