Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

.
255767166800_status_90d8e97613bd4432bb81b8b4e5166ab4.jpg
 
Msimu wetu ndo umeisha hapa tukaze tubaki top 4 pia labda kombe la fa tunaweza kujifaliji nalo
Tofauti na hapo hakuna maajabu mengine timu ipo hovyo tena sana tujipange na msimu ujao
 
Msimu wetu ndo umeisha hapa tukaze tubaki top 4 pia labda kombe la fa tunaweza kujifaliji nalo
Tofauti na hapo hakuna maajabu mengine timu ipo hovyo tena sana tujipange na msimu ujao
Lazima mkapindue meza hiyo wiki ijayo
 
Ilikuwa ni swala la mda tu kuanza kupata matokeo mabaya kutokana na majanga yaliyotokea ndani ya timu tuombe tubaki kwenye ubora wetu kama tutapata tajiri atayewekeza sana
 
Na leo wamekubali kufungwa 3 darajani ili watunze nguvu za kumfunga Madrid nyumbani kwao.

Si unaona hata wachezaji hawajaumizwa na matokeo?

Hii sio timu ni genge tu la kutakatisha pesa.
Tuwe wakweli mpira gani madrid wamecheza kiufupi makosa ya mendy imetugharibu team
 
Ilikuwa ni swala la mda tu kuanza kupata matokeo mabaya kutokana na majanga yaliyotokea ndani ya timu tuombe tubaki kwenye ubora wetu kama tutapata tajiri atayewekeza sana
Mmeanza kusingizia swala la mgogoro,Wakati mwanzoni mlikuwa mkitamba kuwa licha ya mgogoro MNAPATA matokeo mazuri.

#KILA KITU KINATOKEA KWA SABABU. stop blaming!!
 
Mmeanza kusingizia swala la mgogoro,Wakati mwanzoni mlikuwa mkitamba kuwa licha ya mgogoro MNAPATA matokeo mazuri.

#KILA KITU KINATOKEA KWA SABABU. stop blaming!!
Kisingizio wapi wakati ndo uhalisia weyewe timu haipo kwenye hali iliyozoeleka hilo lipo wazi
 
Kisingizio wapi wakati ndo uhalisia weyewe timu haipo kwenye hali iliyozoeleka hilo lipo wazi
Hicho ni kisingizio baada ya kupata matokeo mabaya.

Mbona wakati MNAPATA matokeo mazuri hamkusingizia? Au mgogoro umeanza JUMAMOSI ??? Au jumatano???

Mwezi march Chelsea kashinda mechi zote mpaka kupelekea Tuchel kulalamika kuhusu kutopewa tuzo ya kocha bora wa mwezi march.Kwamba mgogoro haukuwepo???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom