Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,975
Njia ya madrid kufika fainali ni nyepesi sana msimu huu, wewe kama unadhani Chelsea ataenda kupindua meza kwa magoli matatu pale Bernabeu nenda kalale.We nawe unaota![]()
Njia ya madrid kufika fainali ni nyepesi sana msimu huu, wewe kama unadhani Chelsea ataenda kupindua meza kwa magoli matatu pale Bernabeu nenda kalale.We nawe unaota![]()
Hapo mwshoni ulipoconclude NI zaidi ya ndotoNjia ya madrid kufika fainali ni nyepesi sana msimu huu, wewe kama unadhani Chelsea ataenda kupindua meza kwa magoli matatu pale Bernabeu nenda kalale.

Hahahahaha haya bwana, mtamtoa madrid nyumbani kwake muingie nusu fainali.Kwenye mpira hakuna kisichowezekana, ndio maana kampuni za kubet zinazidi kufunguliwa kila siku na hazifilisiki, sana sana mashabiki wenye mihemko kama wako wanaliwa pesa zao kila siku
Anavuta bangi huyu,We are still building a team that no one can play with. "Thomas tuchel"
Tena tunaivunja vunja kabisa. Pale RM kuna Benzema tu akiwekwa chini ya ulinzi timu nzima haiwezi kuchezaHaya tuseme bado mpira Nendeni mukapindue Meza
Mmeanza visingizio sasaTatizo njaa boss, wachezaji hawajalipwa mshahara wiki ya 3 hii, sanctions kama zote

Anayebisha mlete kwangu achezee mijelediMabingwa wa DUNIA nzima View attachment 2179337

Uwezo wenu ndo umefikia hapo acheni visingizioNiliwahi kusema hii timu ikitoka international break inakuwaga inacheza hovyo hata mwaka jana walikuwa hivi hivi sijui wanendaga beach kujiachia na malaya au?
Tunaanza saangapi kikao Cha kuwajadili mende na Tomas tako
Au mda bado mkiamka mtanikuta



asie utanivunja mbavu