Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

.
Screenshot_2022-04-07-00-26-39-082_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Nadhani vitu vikubwa vinavyohitajika kwenye soka kocha avitumie pamoja na factors zingine ni tactics na falsafa
Tofauti ya Tuchel na PEP, Klopp na Aceloti ni kwamba Tuchel yeye anategemea heavily tactics. Hao wengine wanarely heavily na falsafa. Sasa jana Falsafa ilishinda dhidi ya Tactics.
Pia mimi naona tactics inasaidia kwa muda mfupi tu bali falsafa ya kocha ikifanya kazi inadumu.
Sasa mashabiki wenzangu ebu mnisaidie hivi falsafa ya Tuchel huwa ni ipi?
PEP - Possesive football
Klopp - Counter attack football
Anceloti- Entertaining football
 
Mumeona sasa?
Niliwahi kusema kwenye huu uzi munatumia muda mwingi kujazana ujinga kuliko uhalisia.
  • Sasa endeleeni kujazana ujinga wa kuwa hakuna Timu inayotaka kucheza na Chelsea.
  • Endeleeni kujazana ujinga wa kuwa hakuna Timu inayoweza kuifunga Chelsea.
  • Endeleeni kujazana ujinga wa mwanzo wa Msimu mulipoaminishana kuwa Makombe yote ya EPL na UCL mutabeba Chelsea.
Bado mpira, wewe ndie unayejijaza ujinga
 
Adhani vitu vikubwa vinavyohitajika kwenye soka kocha avitumie pamoja na factors zingine ni tactics na falsafa
Tofauti ya Tuchel na PEP, Klopp na Aceloti ni kwamba Tuchel yeye anategemea heavily tactics. Hao wengine wanarely heavily na falsafa. Sasa jana Falsafa ilishinda dhidi ya Tactics.
Pia mimi naona tactics inasaidia kwa muda mfupi tu bali falsafa ya kocha ikifanya kazi inadumu.
Sasa mashabiki wenzangu ebu mnisaidie hivi falsafa ya Tuchel huwa ni ipi?
PEP - Possesive football
Klopp - Counter attack football
Anceloti- Entertaining football
Form is temporary but class is permanent
 
Mlikariri maisha ya ngekewa msimu uliopita kiasi cha kudhani Madrid ni team inayoweza kulinganishwa na hicho kikundi chenu, safari yenu inaishia hapo.


Hili kombe ni la Madrid.
Kote huko uko vizuri LAKIN hitimisho lako eti Hilo kombe NI la Madrid NINA MASHAKA NALO...ILA KWAKUA NI MAWAZO YAKO NGOJA NIPITE HIVI
 
Lakin kocha wenu wakat anapewa timu bwana THOMAS TAKO alisema anataka tengeneza timu ambayo hakuna timu itapenda kutana nayo Sasa imekueaje Tena

OllaChuga Oc

Halafu acha kujificha kwenye Uzi wa kula kimasihala rud huku uokote kondomu zilizotumika na benzema ameziacha mnataka awatolee Nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom