Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Oya mwanangu naona unachanganyikiwa hivi Alonso anachezaga beki mbili (rightback) kweli? Poleni naona kisago kinawapata kisawasawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa chelsea tukifungwa situnaenda kupindua meza huko huko Santiago Bernabeu? Sindio makubaliano yetu au mnasemaje!

Real Madrid wachumba tu, tunaenda kushinda 4 bila pale kwao.

Au mnasemaje THE BLAUZ wenzangu?

In Tuchelewe we trust.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
 
Ni sawa tu hatujui wanapitia hali gani tangu vita imeanza,yote ni sawa tu
Yani mi kwakweli hata roho hainiumi kwa hali tuliyonayo Chelsea kwa sasa kisaikolojia ya kutengwa na Bosi wetu Abrahamovich lakini bado kuna kenge wanakenua meno ilihali kiuhalisia wanaelewa kabisa Chelsea imejitahidi hata kufikia hatua hiyo na laiti ingekuwa ni timu zingine sijui sasa hivi zingekuwa wapi [emoji848][emoji23]
 
Real Madrid wachumba tu, tunaenda kushinda 4 bila pale kwao.

Au mnasemaje THE BLAUZ wenzangu?

In Tuchelewe we trust.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Madrid wamenikera sana, wanashidwaje na katimu kadogo kama Brentford.
Maskini OllaChuga Oc hataonekana hapa wiki nzima, muda wote atakua anashida kule kwenye jukwaa la vipodozi na makeup [emoji168]
tapatalk_1260956745_360x450.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom