Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,544
- 3,001
Karim benzema [emoji23][emoji23][emoji23] Chelsea bhana
Na leo wamekubali kufungwa 3 darajani ili watunze nguvu za kumfunga Madrid nyumbani kwao.Sisi tulikubali kufungwa 4 ili tutunze nguvu za kumfunga Madrid.
Si unaona hata wachezaji hawajaumizwa na matokeo?
@Cash Money Forever uanaonaje kiwango cha reece jemes leo harafu kocha kazingua sana kumuweka lukakuNa luo wamekubali kufungwa 3 darajani ili watunze nguvu za kumfunga Madrid nyumbani kwao.
Si unaona hata wachezaji hawajaumizwa na matokeo?
Hii sio timu ni genge tu la kutakatisha pesa.
Nabado james ward prowse anatusbiri kesho kutwa aiseNa leo wamekubali kufungwa 3 darajani ili watunze nguvu za kumfunga Madrid nyumbani kwao.
Si unaona hata wachezaji hawajaumizwa na matokeo?
Hii sio timu ni genge tu la kutakatisha pesa.
Namuona mendy akiwa katika sura ya kaziKikosi kikiwa kamili kuwavaa real Madrid[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2178512
Wakukere wasikukere Chelsea ndiye Mume wenu kiubingwa duniani, kama ngumu kumeza tapika [emoji2]Madrid wamenikera sana, wanashidwaje na katimu kadogo kama Brentford.
Maskini OllaChuga Oc hataonekana hapa wiki nzima, muda wote atakua anashida kule kwenye jukwaa la vipodozi na makeup [emoji168] View attachment 2178504
Nimekutag alipo saivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]OllaChuga Oc [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] popote ulipo please usijinyonge tunakutegemea kuchangamsha jukwaa View attachment 2178517
Unamaanisha zile Crystal Palace3 - 0 Arse8 bado hazijafutika mioyoni mwa Mashabiki maandazi hadi wajazane humu ndani kujipiga makofi vifuani mara 3 wakipaza sauti kuwa wao ni wajinga [emoji848][emoji28]Oya hatutaki mamluki kila mtu aende kwenye uzi wake sisi chelsea tunataka tuanze kulaumiana