Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yeah kipo poa...maana kumtegemea Alonso na spidi z Wale vijana itakuwa kasheshe sema sarr naye anacheza nguvu nyingi Sana si bure akaishia na kadi
Alonso siku akiamua huwa anaupiga mwingi sasa siku akiamka vibya unataman asiwepo,

Nikikumbuka game ya carabao fainal alicheza vizur kumzuia salah, hopeful kesho napo atacheza vizur.
 
Shity football
Mimi ni mpenzi wa El Cholo sana ila aache mpira wake wa kizamani, zama zinabadilika.

Huyu tunaenda kumchezea possession football kule kwake maana kuja mpaka kwenye box letu ni ndoto kwake ....yeye anajua kupaki watu 10 kwenye half yake huku akisubili counter attack 😂😂😂
 
Vs Madrid

------------ PULISIC - KAI - MOUNT ----------

ALONSO - KOVACIC - KANTE - JAMES

--- RUDGER - THIAGO - CHRISTENSEN --

Kovacic & Kante wakiwa kwenye ubora wao, mechi tunaimaliza Stanford Bridge.
Yes hicho ni kikosi ni mchakamchaka tu mwanzo mwisho....

In less than one hour kikosi kitatoka.
 
Confirmed
1649267636542.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom