Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Anything is possible broNooo, sawa tunaweza poteza game, je spurs or man utd wanaweza cheza game zote zilizosalia bila kupoteza,
Sidhani,
Yeah, anything its possible, ila based on current performance, do you think man utd/spurs wacheze 9 games in a row bila kupoteza or draw,Anything is possible bro
Hii game timecheza lakini akili zetu zote zipo kwa madrid na ndio maana tumefungwa hata selection ya kikosi tu haikuwa mzuriHaya haya haya kumekuchaaaaa kumekuchaaa my favorite Fans mpo?
Wahuni wamemaliza packet moja halafu kibabe sana wakafungua packet ya pili.Huu Uzi watu watarudi j4 jioni
Goal I nne nyingi sana, yan utomb* kweli kweli![]()
Macho yetu na nguvu zetu zote zipo kwenye game ya j'5 na ndio maana hata wachezaji ukiwaangalia game haijawauma kupotezaYeah cheltako wamecheza mziki kwa kutingisha tako halafu wahuni wakaingiza mkuyenge kati ya tako.
TumepoaPoleni sana hapo darajani![]()
Kwahiyo sisi tufanyeje mzee baba?Defenc yetu leo ilikuwa iko hivyo ilishindwa kudeal na movement za kina mbuemo n toney,
Werner + Alonso hawakucheza vizuri,
Tuchel alichelewa kufanya sub leo, kafanya sub tayar game ishakuwa ngumu kwetu,
Tusahau hii game kwa haraka ,tujiandae na Real madrid hapo j5
Hahaha. Teh teh teh. Dih dih dih. He he he. Kha kha kha. Khe khe khe.Macho yetu na nguvu zetu zote zipo kwenye game ya j'5 na ndio maana hata wachezaji ukiwaangalia game haijawauma kupoteza
🤣🤣🤣 Eti nafasi ya 3 acha masiala wakati mnakipolo na sisi hata hiyo j'3 yenyewe hamtoboi tuna kule tuna kijana wetu conor Callagher lazima awachezeshe msamba akisaidiana na ZahaPole lakini, Arsenal anatafuta nafasi ya 3 kumbuka
Ukiangalia hii game vizuri wachezaji pamoja na kocha akili zao zote wamewekeza kwenye game dhidi ya Madrid na ndio maana hajachezesha mfumo wake wa kawaida wa beki wa3 na hata selection haikuwa nzuri hata wachezaji ukiwaangalia game haijawauma kupotezaTuchel kauza mechi !! Unampangaje kati loftus cheek halafu unamuacha nje kovacic, ? Alonslow na mwenzake aziplicueta huwa siwaelewi wanafanya nn uwanjani.
Mount was very poor ,sluggish with the ball, werner na ziyech nao hawakuwa mchezoni.
Kifupi waliokuwa mchezoni ni rudiger,kante na havertz tu...wengine wote miyeyusho na hii imechangiwa na hii international break. First eleven yote ilikuwa kwenye international duty
Wewe umekusanya points ngapi kutoka kwa rent boys?Kipigo chenu kitakatifu cha leo nimekishuhudia mwenyewe sijauliza kwa yeyote.
Hivyo sio jukumu langu kukuambia nimepata points ngapi! Kaangalie Scoreboard inasemaje kama una ujasiri huo.