Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu rekebisha mda hapo ni saa 9 alasir kwa saa za east africa,
East africa tuko mbele kwa masaa 3
Hivi 12 ocklock ya UK ni saa ngapi huku. Nadhani kule ni saa sita na huku lazima iwe saa 3 au nimechanganya nini?
 
Hiyo ni edit ya mashabaki tu, kuna vitu inahitaj kujiongeza, unahis kama tuchel na yeye angekuwa amesema hivyo kwa media za uk siingekuwa habar kubwa
Sija check kwenye media, kama ni edit basi nafuta kauli yangu.
Huwa sipendi makocha activists!
 
Hiyo ni graphic ad kwa ajili ya kieneza ujumbe tu
Kama ni photoshop nafuta kauli yangu.
Ila inabidi atoe statement ya kuikana. Inaweza kuja kumharibia akiiacha ikaonekana kama ni kweli au anaisapoti!
Anyway napenda kocha aliye focused na kazi yake. Hope hatajitia kwenye Coachictivism!
 
Kitu nilichogundua mpinzan mkubwa kwa Boehly consortium ni Rickett family,
Media nyingi zinamsupport Boehly hii inanipa mashaka sana, hizi PR zinazotolewa , now wamehakikisha Boehly wanapata support ya mashabik wakat huo huo kuhakikisha mashabik wanakuwa against Rickett, hii issue ya ricket family mwanzon media ilikuwa haitaka hata kutoa habar ila now unakuta kama nao wanatilia chumvi kwenye kidonda.
 
Kama ni photoshop nafuta kauli yangu.
Ila inabidi atoe statement ya kuikana. Inaweza kuja kumharibia akiiacha ikaonekana kama ni kweli au anaisapoti!
Anyway napenda kocha aliye focused na kazi yake. Hope hatajitia kwenye Coachictivism!
Wazungu sio wajinga kiasi hicho kutolea maneno kisa edit,
Zipo edit za kina kante / hazard wakonesha hizo no rickett family
 
Kitu nilichogundua mpinzan mkubwa kwa Boehly consortium ni Rickett family,
Media nyingi zinamsupport Boehly hii inanipa mashaka sana, hizi PR zinazotolewa , now wamehakikisha Boehly wanapata support ya mashabik wakat huo huo kuhakikisha mashabik wanakuwa against Rickett, hii issue ya ricket family mwanzon media ilikuwa haitaka hata kutoa habar ila now unakuta kama nao wanatilia chumvi kwenye kidonda.
Lakini kwa evidence ya poor management ya Chikago Cubs baseball team ni dhahiri hawa Ricket Family hawataweza kuexcel kwenye usimamizi wa Chelsea
 
Lakini kwa evidence ya poor management ya Chikago Cubs baseball team ni dhahiri hawa Ricket Family hawataweza kuexcel kwenye usimamizi wa Chelsea
Kroenke kawekeza vizuri kweny los angels Rams ya NFL, ila kwa arsenal mpk watu hawamtaki wanataman hata leo hii aondoke,

Huenda huku wakawekeza since wanapata support kwa Ken griffin,.
Huku wanaohusishwa ni Tom Ricket na si Todd Rickett
Hawa wamiliki hawatabiriki tunaweza hisi flan ni mzuri kumbe ndio akawa mbovu na yule mbovu akawa mzuri.

Kuanzia wiki ijayo kila bidders ataanza kuoata access ya kuongea bruce/marina na tuchel juu ya plan zao,
Ngoja tuone kipo kitatokea,
Cha muhim tusije tukajikita kwenye deni kama glazer family walivyoifanya man utd, maana Roman kasamehe pesa yake, soon tutakuwa debt free, je hawa wmiliki wanaokuja hawatotuweka kwenye maden,?
 
EPL wakubali next season sub 5 ianze kutumika. Hii TT alipigia kelele tangu October 2021 akidai sub ya 3 inawazuia wachezajo maarufu kupata dakika na pia kuwanyima wachezaji kucheza wakiwa fit na healthy
 
Ukifatilia article zinazomuelezea Toddy Boehly vision yake, unashawishika

Anachoamini ni mafanikio ya team yanategemea mafanikio ndani ya uwanja,

Jinsi utakavyoshida ndio na wewe thaman ya team yako inazidi kukuwa kubwa

Roman aliinunua team kwa about £153M ila leo hii anauza kwa minimum of 3BN hii yote ni kutokana na mafanikio aliyoyapata ndani ya uwanja

Team wampe huyu mzee wa la dodger toddy boehly nashawishika na vision yake aliyonayo juu ya tim kuliko wangine .
 
TODD naye ana matatizo: Hii ina maana Chelsea haitauzwa???
Chelsea fan favourite in the Blues takeover race Todd Boehly could have his bid affected with the revelation that he is still a shareholder in a betting firm that is operating in Roman Abramovich's home nation.
 
TODD naye ana matatizo: Hii ina maana Chelsea haitauzwa???
Chelsea fan favourite in the Blues takeover race Todd Boehly could have his bid affected with the revelation that he is still a shareholder in a betting firm that is operating in Roman Abramovich's home nation.
Sidhan kama hiki ni kikwazo, halafu hiyo kampun kwa sasa imesimamisha shughul zake urusi


View attachment 2172030
 
Hawa Ricketts family wakubali tu, maana sio kwa kungangania huku,

Mashabiki hawana imani nayo + scandal zao walizozipata wangekuwa wengine hata wasingeendelea ila hawa jamaa ni vinganganizi sana.

Hata wakifanikiwa naona kabisa wakitumia mda mwingi nje ya uwanja kujisafisha na kuacha kufanya uwekezaj ndn ya uwanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom