HahhahaaMarcos Alonso The Great Leftback na Left Wing-back asiyejitambua, amekuwa na nafasi ya kuwa World most wanted left back lakini kwa uzembe akazembea
View attachment 2170158
Wafanyabiashara wengi wakubwa duniani ni majasusi au Mafioso flani. Makampuni mengi makubwa ni frontend ya mashirika ya kijasusi.Nje ya Serikali mtu ambaye yupo Karibu na Putin kuliko Mtu yeyote yule hata baadhi ya Mawaziri wa Russia basi ni Abramovic, Hivyo usijehata ukashangaa kuja kusikia Abramovic ni Jasusi undercover aliyebobea.
Imagine Abramovic alichukua Uraia wa Israel mtoto pendwa wa Marekani na adui mkubwa wa Russia na bado akawa rafiki wa Putin anayeingia Ikulu ya Russia kama Nyumbani kwake.
Hivi ubaya wa Ricket Family ni Nini .?? .tusijekuta Tunafuata mkumbo Kuwachukia bila ya sababu...Ndio Maana Ricket Family wamemuahidi ajira akaamua kuwapigia debe
Wakati unauliza ubaya wa Ricket Famility mwaga hapa uzuri wao kuanzia uendeshaji wa Chicago Cubs baseball team kinachopigiwa kelele kila kukicha na mashabiki wake. Waje kumanage Chelsea wataipeleka Championship.Hivi ubaya wa Ricket Family ni Nini .?? .tusijekuta Tunafuata mkumbo Kuwachukia bila ya sababu...
Kwa Maana ukichunguza sana wazungu sababu za Kuichukia Ricket Family..utashangaa wanakuambia..
sijui Alialiwahi kuwasema vibaya wapenzi wa Jinsia Moja...
Wengine Watakuambia ....alichangia Kampeni Za trump
Yaani Mambo ambayo hayana Kichwa wala Miguu na sisi mashabiki hasa wa Africa Tunafuata Mkumbo Kujenga Chuki bila sababu...
Labda Nitolee mfano Klabu ya Arsenal....
Kuna kipindi Vyombo vya Habari vya Uingereza vilianza kusambaza habari mbaya na za Chuki na kuiaminisha Dunia kwamba Andy Arshavin ambaye Alikuwa Ndiye mchezaji Ghali zaidi wa Arsenal kwa wakati huo kwamba Ameshuka kiwango na hawezi kuichezea arsenal....story ya arshavin ikaishia hapo....
Lakini..wachunguzi wa Mambo wanasema Kuondoka kwa Arshavin Arsenal ni Chuki ya Waingereza waliyo nayo Dhini ya Warusi..
Kitu ambacho pia amefanyiwa Bosi wetu MR Roman...
Kwa Hiyo Tusikurupuke Kujenga Chuki bila kujua kiini cha Chuki hiyo ni nini...
Mashabiki wengi utakuta Wanasambaza Hashtag ya #NoToRickets....
Ukimuuliza Kwanini NoToRickets Hana jibu...
Ukimuuliza hebu nielezee lipi baya la Rickets Family anabaki kujiumauma
Unakuja kujikuta kwamba wengi tunafuata mkumbo Bila kujua Chanzo cha chuki.....
Kwani wewe inakuuma nini iliuzwa ivo? Timu yenyewe ipo uingereza ambapo ufahamiki hata kwa tone lakini wivu na roho za husda zimekukaa kweli kweli. Acha rohho mbaya mkuu waachie wazungu wanufaike na Jasho la Mrusi. Wewe hutaambulia chachote hata ikiuzwa 1.5b.Chelsea inauzwa only £3B?
Bei ya £3B tulitarajia iuzwe Timu kama Man City lakini sio Chelsea.
Hii Timu imeuzwa kwa hela ya Mbogamboga tuseme tu ukweli.
😂😂Kwan bila suction roman angeuza ata kwa ingekua n Tano?Endelea kufumba macho na kujifanya huoni.
Yani Liverpool kuuza Hisa 10% kwa £533M jamaa unaita hewa.
FSG kukataa offer ya RedBird ya £3B unaita bei hewa.
Source nilizokuekea sijui nazo utaifa source hewa?
Nilisoma mahali kuwa aliwahi kusema maneno ya chukizo kwa waislamu baada ya meseji yake ya email kuvuja akiwataja waislamu NI adui zake wakubwa......,wamewahi kuhusishwa na matendo ya ubaguzi WA rangi Kwa watu weusi, ukiacha hayo yote inasemekana hata mashabiki wa hyo timu ya baseball ya marekani wanayomiliki hawawapendi na wanataka waachie ngazi, ....pia kitu kingine ambacho kinatia mashaka moja ya ahadi Yao waliyoweka pindi wakiichukua club ya Chelsea .ni watafanya investment Kwa timu huku wakiwa na uhakika WA kupata faida mbeleni kutokana na uwekezaji huo....wasiwasi wangu wasije ifanya timu ikawa ya kibiashara sasaHivi ubaya wa Ricket Family ni Nini .?? .tusijekuta Tunafuata mkumbo Kuwachukia bila ya sababu...
Kwa Maana ukichunguza sana wazungu sababu za Kuichukia Ricket Family..utashangaa wanakuambia..
sijui Alialiwahi kuwasema vibaya wapenzi wa Jinsia Moja...
Wengine Watakuambia ....alichangia Kampeni Za trump
Yaani Mambo ambayo hayana Kichwa wala Miguu na sisi mashabiki hasa wa Africa Tunafuata Mkumbo Kujenga Chuki bila sababu...
Labda Nitolee mfano Klabu ya Arsenal....
Kuna kipindi Vyombo vya Habari vya Uingereza vilianza kusambaza habari mbaya na za Chuki na kuiaminisha Dunia kwamba Andy Arshavin ambaye Alikuwa Ndiye mchezaji Ghali zaidi wa Arsenal kwa wakati huo kwamba Ameshuka kiwango na hawezi kuichezea arsenal....story ya arshavin ikaishia hapo....
Lakini..wachunguzi wa Mambo wanasema Kuondoka kwa Arshavin Arsenal ni Chuki ya Waingereza waliyo nayo Dhini ya Warusi..
Kitu ambacho pia amefanyiwa Bosi wetu MR Roman...
Kwa Hiyo Tusikurupuke Kujenga Chuki bila kujua kiini cha Chuki hiyo ni nini...
Mashabiki wengi utakuta Wanasambaza Hashtag ya #NoToRickets....
Ukimuuliza Kwanini NoToRickets Hana jibu...
Ukimuuliza hebu nielezee lipi baya la Rickets Family anabaki kujiumauma
Unakuja kujikuta kwamba wengi tunafuata mkumbo Bila kujua Chanzo cha chuki.....
tukawa another borrusia Dortmund in englandHuko nyuma mwanzoni mwa kutangaza nia ya kununua Chelsea nilipinpoint kuna mzee wao mmoja wa zaidi ya miaka 80 aliwahi kuwaita waislamu adui kupitia email yake, kumbe pia ni mbaguzi wa watu weusi. Akipewa Chelsea tutegemee wachezaji weusi hawatadhaminiwa kule. Pia ile timu yao ya baseball wameshindwa kabisa kuisimamia halafu wonder gani watakuja kufanya huku darajani?Nilisoma mahali kuwa aliwahi kusema maneno ya chukizo kwa waislamu baada ya meseji yake ya email kuvuja akiwataja waislamu NI adui zake wakubwa......,wamewahi kuhusishwa na matendo ya ubaguzi WA rangi Kwa watu weusi, ukiacha hayo yote inasemekana hata mashabiki wa hyo timu ya baseball ya marekani wanayomiliki hawawapendi na wanataka waachie ngazi, ....pia kitu kingine ambacho kinatia mashaka moja ya ahadi Yao waliyoweka pindi wakiichukua club ya Chelsea .ni watafanya investment Kwa timu huku wakiwa na uhakika WA kupata faida mbeleni kutokana na uwekezaji huo....wasiwasi wangu wasije ifanya timu ikawa ya kibiashara sasatukawa another borrusia Dortmund in england
kama amekuelewa utanitagWafanyabiashara wengi wakubwa duniani ni majasusi au Mafioso flani. Makampuni mengi makubwa ni frontend ya mashirika ya kijasusi.
Wafanyabiashara wakubwa ambao sio majasusi wala mafioso ni wachache sana. No wonder Yesu alisema ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia ufalme wa Mungu
Huyu naye atulie!
Kitu wanachopingwa ni juu ya email iliyoliki ikionesha Todd Rickett akisema Muslim are my enemy, huku wengine katika familia ya rickett wakijihusisha na maswala ya ubaguzi kwa namna moja or nyingineHivi ubaya wa Ricket Family ni Nini .?? .tusijekuta Tunafuata mkumbo Kuwachukia bila ya sababu...
Kwa Maana ukichunguza sana wazungu sababu za Kuichukia Ricket Family..utashangaa wanakuambia..
sijui Alialiwahi kuwasema vibaya wapenzi wa Jinsia Moja...
Wengine Watakuambia ....alichangia Kampeni Za trump
Yaani Mambo ambayo hayana Kichwa wala Miguu na sisi mashabiki hasa wa Africa Tunafuata Mkumbo Kujenga Chuki bila sababu...
Labda Nitolee mfano Klabu ya Arsenal....
Kuna kipindi Vyombo vya Habari vya Uingereza vilianza kusambaza habari mbaya na za Chuki na kuiaminisha Dunia kwamba Andy Arshavin ambaye Alikuwa Ndiye mchezaji Ghali zaidi wa Arsenal kwa wakati huo kwamba Ameshuka kiwango na hawezi kuichezea arsenal....story ya arshavin ikaishia hapo....
Lakini..wachunguzi wa Mambo wanasema Kuondoka kwa Arshavin Arsenal ni Chuki ya Waingereza waliyo nayo Dhini ya Warusi..
Kitu ambacho pia amefanyiwa Bosi wetu MR Roman...
Kwa Hiyo Tusikurupuke Kujenga Chuki bila kujua kiini cha Chuki hiyo ni nini...
Mashabiki wengi utakuta Wanasambaza Hashtag ya #NoToRickets....
Ukimuuliza Kwanini NoToRickets Hana jibu...
Ukimuuliza hebu nielezee lipi baya la Rickets Family anabaki kujiumauma
Unakuja kujikuta kwamba wengi tunafuata mkumbo Bila kujua Chanzo cha chuki.....
Hiyo ni edit ya mashabaki tu, kuna vitu inahitaj kujiongeza, unahis kama tuchel na yeye angekuwa amesema hivyo kwa media za uk siingekuwa habar kubwaHuyu naye atulie!
Anaweza wakataa halafu wakapewa timu. Akaishia kupoteza ajira. Yeye akomae na timu, ni kocha sio activist!
Mkuu rekebisha mda hapo ni saa 9 alasir kwa saa za east africa,Maandamano ya amani yameandaliwa tarehe 2 Aprili 2022 itakuwa ni kesho kutwa saa tatu za asubuhi saa za Afrika ya Mashariki au Saa sita mchana saa za UK
Geti la uwanja wa mpira Stanford Bridge
Waliopo Londonm mtuwakilishe huko vyema
#BuckOff
#NoToRicketts
#NoToRickettsFamily
View attachment 2170729
View attachment 2170726
Hiyo ni graphic ad kwa ajili ya kieneza ujumbe tuHiyo ni edit ya mashabaki tu, kuna vitu inahitaj kujiongeza, unahis kama tuchel na yeye angekuwa amesema hivyo kwa media za uk siingekuwa habar kubwa
Hiyo ni graphic ad kwa ajili ya kieneza ujumbe tuHuyu naye atulie!
Anaweza wakataa halafu wakapewa timu. Akaishia kupoteza ajira. Yeye akomae na timu, ni kocha sio activist!