Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

The Chelsea Supporters' Trust (CST) has called for the government to make further changes to the club's special licence - including members being allowed to buy tickets for home Premier League games - so as not to continue to "punish" fans.
 
Sio kujitetea lakini katika Timu kubwa Man United, Liverpool na Chelsea basi Chelsea ndiyo Timu yenye thamani ndogo kuliko Liverpool na Manchester United.

Chelsea anauza Timu nzima na kila Kitu chake kwa £3B wakati Liverpool ameuza hisa zake kwa RedBird asilimia 10% tu kwa £533M sawa na takriban $735M tena akapewa na Masharti ya kuboresha uwanja juu ya kutoa hela zote hizo.
Sasa kama asilimia 10% tu zina thamani ya £533M je asilimia zote 100% kama munavyouza nyinyi zitakuwa ngapi? Jibu thamani ya Liverpool kwa sasa ikuzwa hisa zake zote ni £5.33B.
View attachment 2168847

View attachment 2168853

Na kuhusu hako kajipound cha 3B Liverpool walishakikataa kwa dharau kabisa na kuita ni hela ya mbogamboga.
View attachment 2168844

Ajabu leo Timu kama Chelsea inajisifia kuuzwa kwa £3B hela ya mbogamboga! Muko serious kweli? Hiyo ni Mentality ya Timu kufika £3B wanaona kitu kikubwa na cha ajabu sana.

Huwa ninawambia maranyingi kuwa Muna mengi ya kujifunza kutoka kwa waliowazidi lakini cha ajabu munakimbikia kupost tu bila kuhakiki munavyovipost.

Na hata wewe umeangukia katika uropokaji wa watoto kama Ollachuga na yule mwenye ID ya 42774277.

Mukiwa Watulivu basi tutawafundisha mambo mengi sana.
Hizo ni bei hewa, mimi nasema ajitokeze mtu ainunue Liver kwa Paundi bn 3 kama watajitokeza achilia mbali BN5
 
Timu ikishauzwa kuna mtu pale atakosa ajira na wa kwanza ni Marina, kwa ukaribu wake na Abramovich iko wazi kuwa ajira yake itaisha pale tu mmiliki mpya atapewa timu
 
Yani £3B ni hela ya mboga mboga? hauko serious mkuu matajiri wenyewe wa ulaya hawafikii utajiri huo halafu kumbuka chelsea inapigwa mnada na serikali ya UK sio kwamba inajiuza yenyewe kitu ambacho ingezidi thamani ya hiyo hela
Shangaa wewe, istoshe hapo alipo yuko kwa Shemeji na hana hata 100
 
Huyu takataka was liverkuku aanasema ,£3BIL ni ela ya mboga? Huyu takataka anajua timu yakee Ina thamani Gani Hadi Sasa sokoni? Hii liverkuku ikiwekwa sokoni Leo sidhani kama Kuna tajiri yeyote atajisumbua kuinunua.
 
Huyu takataka was liverkuku aanasema ,£3BIL ni ela ya mboga? Huyu takataka anajua timu yakee Ina thamani Gani Hadi Sasa sokoni? Hii liverkuku ikiwekwa sokoni Leo sidhani kama Kuna tajiri yeyote atajisumbua kuinunua.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna taarifa zinasema Bruce Buck anawapendelea The Rickett Family, hii ni baada ya kuwasaidia kuonana na Paul Canoville katika hatua za kujisafisha na kupata support ya mashabiki. Huku ikiwa ni kinyume na taarifa iliyotolewa juzi juzi ikitaka watu wasieleze bid zao public or kupata support ya mashabiki
 
Uwanja tu wa Liverpool thamani yake inainunua Timu nzima ya Chelsea kwa hivyo vijisenti vya £3B.

Liverpool TV tu ya Liverpool thamani yake inaweza kuinunua Timu yenu ya Wanawake na Timu zenu zote za Academy.
Uwanja huu wa kizamani?
 
Uwanja tu wa Liverpool thamani yake inainunua Timu nzima ya Chelsea kwa hivyo vijisenti vya £3B.

Liverpool TV tu ya Liverpool thamani yake inaweza kuinunua Timu yenu ya Wanawake na Timu zenu zote za Academy.
Timu ya wanawake wa Chelsea ni sawasawa ukichukua timu yenu ya wanawake+ vijana + uwanja.Timu ya wanawake wa Chelsea ni Tumu ambayo inamafanikio kuliko zingine
 
Timu ikishauzwa kuna mtu pale atakosa ajira na wa kwanza ni Marina, kwa ukaribu wake na Abramovich iko wazi kuwa ajira yake itaisha pale tu mmiliki mpya atapewa timu
Hata alishajisemea ataondoka.
 
Endelea kufumba macho na kujifanya huoni.

Yani Liverpool kuuza Hisa 10% kwa £533M jamaa unaita hewa.

FSG kukataa offer ya RedBird ya £3B unaita bei hewa.

Source nilizokuekea sijui nazo utaifa source hewa?
Bei ndg huwa ziko fluid, changing according to current market value. Wee ona dhamani ya Manure kule kwenye masoko ya hisa tofauti na ulivyoiremba, so do Liverpool. Nikisema that value of 7bn or 5bn is a blogger value ninamaanisha kama ifuatavyo
1648697045319.png
 
Timu ikishauzwa kuna mtu pale atakosa ajira na wa kwanza ni Marina, kwa ukaribu wake na Abramovich iko wazi kuwa ajira yake itaisha pale tu mmiliki mpya atapewa timu
Waje na watu wao ila cha muhim wamsupport Tuchel tu, Huyu ndie mtu muhim kwa sasa.

Marina na Bruce Buck naona wako 50/50
 
Waje na watu wao ila cha muhim wamsupport Tuchel tu, Huyu ndie mtu muhim kwa sasa.

Marina na Bruce Buck naona wako 50/50
Ndio Maana Ricket Family wamemuahidi ajira akaamua kuwapigia debe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom