Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika ngwe ya pili ya ununuzi wa Chelsea uala la mashabiki limeingizwa na sioni Ricket Family wakipenyeza hapo
 
Wacha tusubiri na tuone.

Lakini nawakumbusha tu kuwa mengi munayopost humu hayana uhalisia ni Copy and paste kutoka kwa Waandishi mbalimbali ambao na wao wanatafuta Rumors huko Uengereza ili watengeneze headlines.

Issues kama:
  • Abramovic atamuuzia mtu Timu yule ambaye atakubali masharti yake ya namna atakavyoiboresha, hii sio kweli kama munavyoaminishana. Abramovic bado anaplay part katika mauzo lakini hana upper hand ya kutoa conditions hizo.
  • Mnunuzi wa Timu kupangiwa namna ya kuiendesha Timu hicho kitu hakuna: Mamlaka yote yanabaki kwa mmiliki kuendesha kulingana na Plan & Annual budget na sio maagizo kutoka kwa aliyeuza, atakayenunua ni Mfanya biashara na sio Kibaraka.
  • Tajiri wa PSG, Man City na Chelsea ya mwaka 2004 wamemwaga hela nyingi kwasababu ya Status ya Timu zao walizozikuta wakati wananunua. Timu hazikuwa na Status ya Big Teams na wala hazikua Top in Europe na wala hazikuwa na Global Fanbase na wala hazikuwa na thamani kama sasa ya kuwa Top 7 ya Timu tajiri. Hivyo walimwaga hela kuvutia Big names and talented players kwenye Timu hizo mpaka zikafika hapo zilipo zina kila Kitu.


SASA ATAKAYEINUNUA CHELSEA AMBAYO KWASASA NI READY MADE INA KILA KITU UNADHANI ANAHITAJI KUFANYA KAMA ALIVYOFANYA ABRAMOVIC 2005 HAIKUWA NA CHOCHOTE?

Kwasasa Chelsea imeshakuwa Brand ya Kibiashara tofauti na alivyoikuta Abramovic hivyo Mnunuzi aninunua kwa ajili ya Kibiashara tu na si jengine! Mfano Mdogo matajiri wa Arsenal, Man United na Liverpool wamezikuta Timu tayari zina kila kitu hivyo wanafanya kile wanachojisikia wao kwani hata Mashabiki wakilia basi Brand ya Timu inalipa.


TIME WILL TELL TUPO HAPA NDUGU TUTAKUJA KUKUMBUSHA NA.
Points zote uko sawa lakini two points you are wrong
Abramovich hata kama ana influence kwenye uuzaji wa timu but not final. Mwenye say ya mwisho na say yenye uzito ni UK Gov
Pili hakuna mtu amesema na anayesema mnunuzi mpya atapangiwa namna ya kuendesha timu.
Maombi ya mashabiki ni atakayekuwa mmiliki mpya angalau awe na visio i ayoendana au kukaribiana na Abramovich kitu ambayo inaweza kutokea au isitokee. Hakuna ajuaye. Kuna kwa mfano baadhi ya mambo tungependa mmiliki mpya abadilishe, ununuzi holela wa wachezaji. Tungependa mnunuzi mpya awe anamsikiliza kocha katika usajili. Hii ndio itakayowezesha timu kutumia bajeti ndogo kwa matokeo makubwa.
 
Marekani hawakumuwekea vikwazo Abramovich kwa sababu Rais wa Ukraine alumomba Bidden asifanye hivyo kwani wanamhitaji ABRAMOVICHkwenye usuluhishi wa mgogoro na Putin.
 
Katika ngwe ya pili ya ununuzi wa Chelsea uala la mashabiki limeingizwa na sioni Ricket Family wakipenyeza hapo
Usije ukawa surprised maana wazungu huwa wanafki, utaambiwa wanaotaka sio Joe/Pete Rickett ,

Kama mashabiki wangekuwa wanasikilizwa hawa Rickett family hata kwenye shortlist wasingekuwepo haijalishi wanautajir kiasi gani

Ila yote haya naona ni Boehly ndie anaenda kuchukua tim,
Nikiangalia Ricket family wanapata upinzan kutoka kwa sisi mashabiki
Sir Martin Broughton-Lord Coe fund wanategemea kwa john harris n david blitzer ambao wanahisa Crystal palace wengine wanaomsapot bado hawajajulikana

Pegluic yeye anahisa Atalanta ya Italy hivyo so takeover yeyote ile kati ya hao itachukua muda maana itabid wauze hisa zao kwenye hivyo vilab

Hivyo Boehly tu ndio anaweza kuwa suluhisho sahihi na kwa haraka hawa wengine itatuchukua mda
 
Samahani wajuzi hebu nipitisheni kidogo hapa .
1. Tuliambiwa timu ya Chelsea imechukuliwa na serikali , sasa Abromovic anahusukaje katka kuuza timu ?

2. Hivi vikwazo vya hawa matajiri wa kirusi na kukamatwa mali zao hatma yake ni nini?, je baada ya vita kuisha watarudishiwa Mali zao ?

Natanguliza shukrani lembu, mart66
 
Matajiri wote walioingia kwenye shortlist wamepanga kununua timu kwa mkopo.

Hakuna atakayetoa cash.

Na hiyo $1B ya uwanja, wachezaji na maendeleo ni commitment ya maneno sio cash
Mkuu kila kitu ni mkataba na lazima usain, ukisain lazima utekelez haijalishi itakuwa lini.

Kila consortium ina net worth yao, kwa mfano consortium ya toddy boehly ina net worth unakadiriwa 9-12BN kama sijakosea huku wakiwa funded na clearlak capital thus why wanasema iko overfunded

Ricket family + Griffin wanahela kuliko hao wote-Griffine net worth yake ni 28BN huku rickett family net worth yao no 5BN,

Ndio maana issue zote sijui za maden lazima ziangaliwe
 
Matajiri wote walioingia kwenye shortlist wamepanga kununua timu kwa mkopo.

Hakuna atakayetoa cash.

Na hiyo $1B ya uwanja, wachezaji na maendeleo ni commitment ya maneno sio cash
Kwenye kununua timu ni cash, kutoka kwenye cashflow yao labda commitment zingine
 
Samahani wajuzi hebu nipitisheni kidogo hapa .
1. Tuliambiwa timu ya Chelsea imechukuliwa na serikali , sasa Abromovic anahusukaje katka kuuza timu ?

2. Hivi vikwazo vya hawa matajiri wa kirusi na kukamatwa mali zao hatma yake ni nini?, je baada ya vita kuisha watarudishiwa Mali zao ?

Natanguliza shukrani lembu, mart66
Ingekuwa hivyo isingewekewa vikazwa. Timu bado ni ya Abramovich na ndio maana imewekewa vikwazo. Kama ni kuchukua isingeitwa sanction au vikwazo ingeitwa kutaifisha. Probably ingefuata kutaifisha ila bafo wako kwenye sanction. Maana ya sanction ni kuzuia baadhi ya operation zenye faida kwa bosi ili asiendelee kufaidika hadi taratibu zingine zitakapofuata ikiwemo aidha kuondoa sanction au kutaifisha
Saction inalenda zaidi
1) Kuondoa haki ya kuingia UK
2) Kusimamisha leseni ya zamani na kutoa leseni mpya yenye vikwazo na masharti
3) Kuzuia bank account zisiruhusiwe kutoa pesa au kufroze kabisa
4) kumzuia mlengwa kuwa na madaraka ya kiutendaji kwenye timu
5) Mashauri yake lazima yapitiwe na UK Gov kuona kama yanafuata masharti ya leseni mpya
Nk
 
Ingekuwa hivyo isingewekewa vikazwa. Timu bado ni ya Abramovich na ndio maana imewekewa vikwazo. Kama ni kuchukua isingeitwa sanction au vikwazo ingeitwa kutaifisha. Probably ingefuata kutaifisha ila bafo wako kwenye sanction. Maana ya sanction ni kuzuia baadhi ya operation zenye faida kwa bosi ili asiendelee kufaidika hadi taratibu zingine zitakapofuata ikiwemo aidha kuondoa sanction au kutaifisha
Saction inalenda zaidi
1) Kuondoa haki ya kuingia UK
2) Kusimamisha leseni ya zamani na kutoa leseni mpya yenye vikwazo na masharti
3) Kuzuia bank account zisiruhusiwe kutoa pesa au kufroze kabisa
4) kumzuia mlengwa kuwa na madaraka ya kiutendaji kwenye timu
5) Mashauri yake lazima yapitiwe na UK Gov kuona kama yanafuata masharti ya leseni mpya
Nk
asante mkuu. Kama nimekuelewa ni kuwa anaeuza ni Abramovich na pesa inaenda kwa serikali ya UK. Sasa ikitokea Abramovich akagoma kuhusika kuuza je nini kitatokea?.
Yaani namaanisha ni kitu gani kutoka kwa Chelsea ambacho tajiri huyu amekibakiza?.
 
asante mkuu. Kama nimekuelewa ni kuwa anaeuza ni Abramovich na pesa inaenda kwa serikali ya UK. Sasa ikitokea Abramovich akagoma kuhusika kuuza je nini kitatokea?.
Yaani namaanisha ni kitu gani kutoka kwa Chelsea ambacho tajiri huyu amekibakiza?.
Abramovich anauza kwa makubaliano na Serikali kuwa pesa haziendi kwenye mfuko wake. Pesa haziendi serikalini pia kwa sababu Chelsea siyo ya serikali
Chelsea inauzwa kwa makubaliano kuwa pesa ziwasaidie wahanga wa vita vya Ukraine 100% na Abramovich aliliafiki hili. Abramovich hawezi kubadilika kwa kuwa bado anahitaji fanbase ya Chelsea wamuunge mkono kwa mambo mengi

Hayo ndiyo waliyokubaliana kati ya mmiliki na serikali kwa nafuu ya Chelsea na mashabiki wake. Vinginevyo serikali ingeamua kutaifisha Chelsea ingekufa.

Kama yapo mengine nyuma ya pasia sisi huku hatuwezi jua.
 
Kwaulize Arsenal na Spurs baada ya kujenga uwanja mpya nini kiliwatokea?
Sasa hao Matajiri wanaotangaza project ya kujenga Uwanja mpya watakapouziwa Timu watakuja kuwatoa machozi.

  • Watoe £3B kununua Timu.
  • Project ya new Stadium ni more than £1B+.
  • Ongeza na migogoro ya Chelsea Pitch owner (Stanford Bridge) hawatokubali mutumie jina lao la Chelsea, kuna uwezekano wa kuitwa Fulham City.
Unateseka ukiwa wapi?
 
Wacha tusubiri na tuone.

Lakini nawakumbusha tu kuwa mengi munayopost humu hayana uhalisia ni Copy and paste kutoka kwa Waandishi mbalimbali ambao na wao wanatafuta Rumors huko Uengereza ili watengeneze headlines.

Issues kama:
  • Abramovic atamuuzia mtu Timu yule ambaye atakubali masharti yake ya namna atakavyoiboresha, hii sio kweli kama munavyoaminishana. Abramovic bado anaplay part katika mauzo lakini hana upper hand ya kutoa conditions hizo.
  • Mnunuzi wa Timu kupangiwa namna ya kuiendesha Timu hicho kitu hakuna: Mamlaka yote yanabaki kwa mmiliki kuendesha kulingana na Plan & Annual budget na sio maagizo kutoka kwa aliyeuza, atakayenunua ni Mfanya biashara na sio Kibaraka.
  • Tajiri wa PSG, Man City na Chelsea ya mwaka 2004 wamemwaga hela nyingi kwasababu ya Status ya Timu zao walizozikuta wakati wananunua. Timu hazikuwa na Status ya Big Teams na wala hazikua Top in Europe na wala hazikuwa na Global Fanbase na wala hazikuwa na thamani kama sasa ya kuwa Top 7 ya Timu tajiri. Hivyo walimwaga hela kuvutia Big names and talented players kwenye Timu hizo mpaka zikafika hapo zilipo zina kila Kitu.


SASA ATAKAYEINUNUA CHELSEA AMBAYO KWASASA NI READY MADE INA KILA KITU UNADHANI ANAHITAJI KUFANYA KAMA ALIVYOFANYA ABRAMOVIC 2005 HAIKUWA NA CHOCHOTE?

Kwasasa Chelsea imeshakuwa Brand ya Kibiashara tofauti na alivyoikuta Abramovic hivyo Mnunuzi aninunua kwa ajili ya Kibiashara tu na si jengine! Mfano Mdogo matajiri wa Arsenal, Man United na Liverpool wamezikuta Timu tayari zina kila kitu hivyo wanafanya kile wanachojisikia wao kwani hata Mashabiki wakilia basi Brand ya Timu inalipa.


TIME WILL TELL TUPO HAPA NDUGU TUTAKUJA KUKUMBUSHA NA.
Mbona kama unataka kulia hivi?
 
Pamoja na vikwazo vyote still mabinti bado wanapambana.
Screenshot_20220327-203726_Goal%20Live.jpg
 
Nje ya Serikali mtu ambaye yupo Karibu na Putin kuliko Mtu yeyote yule hata baadhi ya Mawaziri wa Russia basi ni Abramovic, Hivyo usijehata ukashangaa kuja kusikia Abramovic ni Jasusi undercover aliyebobea.
Imagine Abramovic alichukua Uraia wa Israel mtoto pendwa wa Marekani na adui mkubwa wa Russia na bado akawa rafiki wa Putin anayeingia Ikulu ya Russia kama Nyumbani kwake.
Roman kuchukua uraia wa Israel sio kitu cha ajabu kwasababu anaasiri ya Israel mababu zake walitokea huko.
 
Nje ya Serikali mtu ambaye yupo Karibu na Putin kuliko Mtu yeyote yule hata baadhi ya Mawaziri wa Russia basi ni Abramovic, Hivyo usijehata ukashangaa kuja kusikia Abramovic ni Jasusi undercover aliyebobea.
Imagine Abramovic alichukua Uraia wa Israel mtoto pendwa wa Marekani na adui mkubwa wa Russia na bado akawa rafiki wa Putin anayeingia Ikulu ya Russia kama Nyumbani kwake.
Inakuwaje sasa kidogo ahudhuriwe kwa sumu, yeye na wenzake wanaotafuta suluhu ya amani.

BREAKING : Roman Abramovich is suffering symptoms of suspected poisoning.
3 members attending peace talks between 3rd - 4th March suffered symptoms consistent with poisoning with chemical weapons, one of the victims was Roman Abramovich.
 
Inakuwaje sasa kidogo ahudhuriwe kwa sumu, yeye na wenzake wanaotafuta suluhu ya amani.

BREAKING : Roman Abramovich is suffering symptoms of suspected poisoning.
3 members attending peace talks between 3rd - 4th March suffered symptoms consistent with poisoning with chemical weapons, one of the victims was Roman Abramovich.
symptoms were due to "environmental" factors, not poisoning.
 
Tarehe 11 / 4 / 2022 ndio mwisho wa kutoa ofa iliyoboreshwa kwa wale bidders wanne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom