Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea will never die nor will drop performance. Atakayekuja anaweza akawa mnyama kuliko Abramovich akakiwasha zaidi namkapoteana humu. Hakuna mtu anayekubali kuwekeza more than 4bn pound halafu akafanya maksihara kwenye usajili na kumaitain quality performing team. No on this planet. Huu ni uwekezaji mkubwa kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa michezo yote - all sports combined duniani. Kwa hiyo wana Chelsea tukae mkao wa karamu kila msimu na kwa kila mechi
 
Hivi nyinyi Washabiki wa Chelsea Vichwani mwenu mumejaza nini?
Hivi mwaka 2021 ulikuepo FSG walipokataa £2.5B ya kuiuza Liverpool?
Munajiuona muko so special kwa kila kitu wakati Arsenal na Liverpool zote zipo zaidi ya 3B wakati Timu 3 (Barcelona, Real na Man United) ni timu pekee zenye thamani ya 5B, kaa ukijua kwa uwengereza licha ya ubovu wake Man United itabaki kuwa ndiyo Timu yenye thamani kubwa kuliko Timu yoyote ya EPL.

Ikipigwa mnada leo basi itasimama kwenye £5B.
Ukirusha ndoano lazima kambare litanasa. Napenda mnavyotetea mada kama vile tuko mahakamani.
 
Tukiwaambia watu Chelsea ni BIG team hawakubali. Hii bei ya paundi bil 3 sijui ni timu gani EPL ingeweza kufikia kama leo ikiwekwa sokoni
Mkuu kuna tim zina bei kuliko hata chelsea unategemea leo hii liverpool akipigwa mnada, itazidi bei hiyo, hata man utd japo kuwa ni wabovu lakini kwenye mnada pesa yake itakuwa juu, huoni hata commercial wanamikataba ya pesa ndefu japo hawafanyi vizuri.
 
Unaweza ukaleta hoja za aina yoyote tuliyoleta inayoonesha tulisema wiki hiyohiyo iloyotangazwa Vikwazo ndiyo tulisema Chelsea itaanguka hapohapo kama Dodo kwenye miembe?
Ukitoa utani wa kimichezo Mtu kama mimi niweza kuamini vipi Chelsea yenye wachezaji wale wale aliowaacha Abramovic kuwa Wtashuka viwango ndani ya Wiki moja ya Vikwazo.

Ninachokiona mimi ni kuwa mashabiki wa Chelsea wamejitegeshea Vitu viwili then wanavifanya kama ni Vitu vya washabiki wa Timu nyengine.
Vitu wenyewe ni:- 👇
1) Washabiki wa Chelsea wameweka mtego in case watatolewa kwenye FA na UCL watasema sababu Abramovic amewekewa Vikwazo, lakini kwasasa Timu inafanya vizuri wamemute.

2) Mashabiki wa Chelsea wanatengeneza mazingira ionekane Mashabiki wa Timu nyengine waliamini Chelsea ingekufa siku hilehile Abramovic aliyowekewa Vikwazo! Je ukweli ni upi? Ukweli ni kwamba Mashabiki wa timu nyengine baada ya Vikwazo wanahusisha Chelsea kurudi ilipotoka, lakini je kivipi? Ni kwamba kutatokea mabadiliko kwenye issue ya kuuza na kununua.
Sasa je sasahivi kuna issue ya kuuza na kununua hata muamini kuwa tulitarajia Chelsea ianguke muda huu?
Hayo ni mawazo yenu mliojitengenezea nyinyi alafu mnatusingizia sisi hata Chelsea ikipata mmiliki mpya still itaendelea kufanya vizuri kutokana na kuwa na structure nzuri ya utendaji wa management tukiongozwa na raisi wetu Bruce buck na mwanamama mwenye akili kubwa marina akisaidiana na Peter Cech labda kama hawa wangeondoka but habari zinasema hawa wataendelea kwenye nafasi zao kama kawaida wamiliki walioingia kwenye top 4 wote wamecomfirm hivyo.Lakini pia kuna vipengele Chelsea wameweka kwa mmiliki yoyote atayekuwa mmiliki wa team kwanza nikuifanya Chelsea kuendelea kuwa shindani kwa kuwekeza kwenye kikosi, kupanua uwanja wa stamford bridge lakini pia kuwekeza kwenye soka la vijana na soka la wanawake
 
Sio kujitetea lakini katika Timu kubwa Man United, Liverpool na Chelsea basi Chelsea ndiyo Timu yenye thamani ndogo kuliko Liverpool na Manchester United.

Chelsea anauza Timu nzima na kila Kitu chake kwa £3B wakati Liverpool ameuza hisa zake kwa RedBird asilimia 10% tu kwa £533M sawa na takriban $735M tena akapewa na Masharti ya kuboresha uwanja juu ya kutoa hela zote hizo.
Sasa kama asilimia 10% tu zina thamani ya £533M je asilimia zote 100% kama munavyouza nyinyi zitakuwa ngapi? Jibu thamani ya Liverpool kwa sasa ikuzwa hisa zake zote ni £5.33B.
View attachment 2168847

View attachment 2168853

Na kuhusu hako kajipound cha 3B Liverpool walishakikataa kwa dharau kabisa na kuita ni hela ya mbogamboga.
View attachment 2168844

Ajabu leo Timu kama Chelsea inajisifia kuuzwa kwa £3B hela ya mbogamboga! Muko serious kweli? Hiyo ni Mentality ya Timu kufika £3B wanaona kitu kikubwa na cha ajabu sana.

Huwa ninawambia maranyingi kuwa Muna mengi ya kujifunza kutoka kwa waliowazidi lakini cha ajabu munakimbikia kupost tu bila kuhakiki munavyovipost.

Na hata wewe umeangukia katika uropokaji wa watoto kama Ollachuga na yule mwenye ID ya 42774277.

Mukiwa Watulivu basi tutawafundisha mambo mengi sana.
Wamiliki wa Chelsea wanamiliki Assets zipi? Na wamiliki wa Liverkuku wanamiliki assets zipi?
 
Sio kujitetea lakini katika Timu kubwa Man United, Liverpool na Chelsea basi Chelsea ndiyo Timu yenye thamani ndogo kuliko Liverpool na Manchester United.

Chelsea anauza Timu nzima na kila Kitu chake kwa £3B wakati Liverpool ameuza hisa zake kwa RedBird asilimia 10% tu kwa £533M sawa na takriban $735M tena akapewa na Masharti ya kuboresha uwanja juu ya kutoa hela zote hizo.
Sasa kama asilimia 10% tu zina thamani ya £533M je asilimia zote 100% kama munavyouza nyinyi zitakuwa ngapi? Jibu thamani ya Liverpool kwa sasa ikuzwa hisa zake zote ni £5.33B.
View attachment 2168847

View attachment 2168853

Na kuhusu hako kajipound cha 3B Liverpool walishakikataa kwa dharau kabisa na kuita ni hela ya mbogamboga.
View attachment 2168844

Ajabu leo Timu kama Chelsea inajisifia kuuzwa kwa £3B hela ya mbogamboga! Muko serious kweli? Hiyo ni Mentality ya Timu kufika £3B wanaona kitu kikubwa na cha ajabu sana.

Huwa ninawambia maranyingi kuwa Muna mengi ya kujifunza kutoka kwa waliowazidi lakini cha ajabu munakimbikia kupost tu bila kuhakiki munavyovipost.

Na hata wewe umeangukia katika uropokaji wa watoto kama Ollachuga na yule mwenye ID ya 42774277.

Mukiwa Watulivu basi tutawafundisha mambo mengi sana.
Yani £3B ni hela ya mboga mboga? hauko serious mkuu matajiri wenyewe wa ulaya hawafikii utajiri huo halafu kumbuka chelsea inapigwa mnada na serikali ya UK sio kwamba inajiuza yenyewe kitu ambacho ingezidi thamani ya hiyo hela
 
Yani £3B ni hela ya mboga mboga? hauko serious mkuu matajiri wenyewe wa ulaya hawafikii utajiri huo halafu kumbuka chelsea inapigwa mnada na serikali ya UK sio kwamba inajiuza yenyewe kitu ambacho ingezidi thamani ya hiyo hela
Naongezea wamejitokeza almost matajiri 30 walionyesha kuitaka Chelsea na sasa hiv wamechujwa wamefika watu wa 4 muulize ingewekwa sasa hivi liverpool sokoni wangepata idadi kama wa Chelsea?
 
Naongezea wamejitokeza almost matajiri 30 walionyesha kuitaka Chelsea na sasa hiv wamechujwa wamefika watu wa 4 muulize ingewekwa sasa hivi liverpool sokoni wangepata idadi kama wa Chelsea?
Pia ukiangalia hao waliotoa ofa utajiri wao ni kikundi sio mtu mmoja kama Roman mwenyewe alivyomiliki halafu mtu anakwambia £3B ni hela ya mboga mboga
 
Hivi nyinyi Washabiki wa Chelsea Vichwani mwenu mumejaza nini?
Hivi mwaka 2021 ulikuepo FSG walipokataa £2.5B ya kuiuza Liverpool?
Munajiuona muko so special kwa kila kitu wakati Arsenal na Liverpool zote zipo zaidi ya 3B wakati Timu 3 (Barcelona, Real na Man United) ni timu pekee zenye thamani ya 5B, kaa ukijua kwa uwengereza licha ya ubovu wake Man United itabaki kuwa ndiyo Timu yenye thamani kubwa kuliko Timu yoyote ya EPL.

Ikipigwa mnada leo basi itasimama kwenye £5B.
Wapi umetoa hiyo, sisi tunaongelea uhalsiia, mnada bado unaendelea. Asset zipi Liverpool anayo ya kufikisha bn 5 hata hiyo ya bn 2.5 kama mliacha basi mlizingua hamtapata tena
 
Mkuu kuna tim zina bei kuliko hata chelsea unategemea leo hii liverpool akipigwa mnada, itazidi bei hiyo, hata man utd japo kuwa ni wabovu lakini kwenye mnada pesa yake itakuwa juu, huoni hata commercial wanamikataba ya pesa ndefu japo hawafanyi vizuri.
Najua zipo timu ila kuna watu napenda wanavyojigonga kwenye mada kama hizi, Manu bado wako juu yetu ila ikiwekwa mnadani inaweza isizidi b3, liver ndio sidhani kama hata watakaribia, labda 5 yeras to come wakiednelea kufanya vizuri na Salah bado anaichezea Liverpool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom