Na mfano mzuri ni usajili wanaofanya Liverpool, nasikia wako katika hatua za mwisho kumsajili Aurelien TchouameniTunahitaj kusajil wachezaj watakaondan na tuchel na kufany big signing halaf wanaishia kuflop
Usajil tunaohitaj sasa ni wachezaj watakaoendan na mfumo wa tuchel hata wakiwa ni wawil ilimrad impact yao inaonekana uwanjan
Hamna hiyo habari,Na mfano mzuri ni usajili wanaofanya Liverpool, nasikia wako katika hatua za mwisho kumsajili Aurelien Tchouameni
Raine’s 4 Man Shortlist revealed. Huu mchakato unaenda taratibu sana mpaka una kera yani mpaka huyo mmiliki aje apewe timu tutakuwa ktk hali mbayaRaine’s 4 Man Shortlist revealed.
- Todd Boehly’s consortium
- The Ricketts Family
- Sir Martin Broughton Consortium
- Stephen Pagliuca
@TheAthleticUK
An 'auction' style process will now begin for #Chelsea after Raine confirmed the shortlist of four. A new owner is expected by the end of April.
[via @JacobsBen]
BBC nao wanasema shortlist inawajumuisha watu wa 5, ila huyu wa 5 bado hawajua ninani
Nasikia bado Nick Candy anapambana naye arudishwe kwenye shortlist, Ricket Family naona wamepambana ila hawana support ya mashabiki wengiRaine’s 4 Man Shortlist revealed.
- Todd Boehly’s consortium
- The Ricketts Family
- Sir Martin Broughton Consortium
- Stephen Pagliuca
@TheAthleticUK
An 'auction' style process will now begin for #Chelsea after Raine confirmed the shortlist of four. A new owner is expected by the end of April.
[via @JacobsBen]
BBC nao wanasema shortlist inawajumuisha watu wa 5, ila huyu wa 5 bado hawajua ninani
Nick candy should get a space in this sellingNasikia bado Nick Candy anapambana naye arudishwe kwenye shortlist, Ricket Family naona wamepambana ila hawana support ya mashabiki wengi
Nani kakopa???Tajiri mpya anakopa $3 billion kununua THE BLUES.
Hiyo pesa ya usajili ya kuvunja rekodi anaitoa wapi zaidi ya kufanya marejesho bank.
Kwann man?Naona mwisho was Chelsea mazee..
Tukifanya utani hapa timu yetu itateketea.
#CFC![]()
Ko mnataka mfanyeje ili isiteketeee?Naona mwisho was Chelsea mazee..
Tukifanya utani hapa timu yetu itateketea.
#CFC![]()
Naona mwisho was Chelsea mazee..
Tukifanya utani hapa timu yetu itateketea.
#CFC![]()
Inaonekana unachangamoto ya afya ya akili.Bado unashabikia team ya GAIDI?
Njoo Liverpool ule raha mkuu
Ondoka huko kwa muuaji
Hata ikiitwa hivyo, jina tu ndilo litabadilika ila ubabe utakuwa palepaleKwaulize Arsenal na Spurs baada ya kujenga uwanja mpya nini kiliwatokea?
Sasa hao Matajiri wanaotangaza project ya kujenga Uwanja mpya watakapouziwa Timu watakuja kuwatoa machozi.
- Watoe £3B kununua Timu.
- Project ya new Stadium ni more than £1B+.
- Ongeza na migogoro ya Chelsea Pitch owner (Stanford Bridge) hawatokubali mutumie jina lao la Chelsea, kuna uwezekano wa kuitwa Fulham City.
Hata kama Chelsea isiposajili na kujikita zaidi kwenye project ya uwanja still ni Jambo zuri coz klabu kubwa km hyo yenye fanbase kubwa inahitaji kuwa na uwanja wenye kuingiza watizamaji wengi ili kuongeza mapato ya uwanjani hata Mimi nilikuwa natamani Sana tuongeze ukubwa WA uwanja....na kuhusu swala la kupotea uwanjani sahauni coz tuna jivunia Cobham ..na Kwa pale EPL Sisi NI unmatched Kabisa Kwa kuzalisha talent z vijana....hapo tuna option z kuwarudisha Armando broja, Gallagher, tuna mabeki km kina Levi colwill, Lewis hall na czan km tutashindwa Fanya hata sajili moja...jumlisha na wasasa ..pia tunaye coach ambaye ameonyesha uwezo WA kuutilize vijana vzuri kaonyesha hilo swala alipokuwa dortmundKwaulize Arsenal na Spurs baada ya kujenga uwanja mpya nini kiliwatokea?
Sasa hao Matajiri wanaotangaza project ya kujenga Uwanja mpya watakapouziwa Timu watakuja kuwatoa machozi.
- Watoe £3B kununua Timu.
- Project ya new Stadium ni more than £1B+.
- Ongeza na migogoro ya Chelsea Pitch owner (Stanford Bridge) hawatokubali mutumie jina lao la Chelsea, kuna uwezekano wa kuitwa Fulham City.
Mkuu, kila bidders alitoa vision yake, wapo waliotaka kujenga new stadium na wapo waliotaka kuredevelop sbKwaulize Arsenal na Spurs baada ya kujenga uwanja mpya nini kiliwatokea?
Sasa hao Matajiri wanaotangaza project ya kujenga Uwanja mpya watakapouziwa Timu watakuja kuwatoa machozi.
- Watoe £3B kununua Timu.
- Project ya new Stadium ni more than £1B+.
- Ongeza na migogoro ya Chelsea Pitch owner (Stanford Bridge) hawatokubali mutumie jina lao la Chelsea, kuna uwezekano wa kuitwa Fulham City.
Hivi "Ko" ni kituko cha wapi au mimi ndiye napitwa na wakati wadau?Ko mnataka mfanyeje ili isiteketeee?

Ni kweli unachokiongea,Wacha tusubiri na tuone.
Lakini nawakumbusha tu kuwa mengi munayopost humu hayana uhalisia ni Copy and paste kutoka kwa Waandishi mbalimbali ambao na wao wanatafuta Rumors huko Uengereza ili watengeneze headlines.
Issues kama:
- Abramovic atamuuzia mtu Timu yule ambaye atakubali masharti yake ya namna atakavyoiboresha, hii sio kweli kama munavyoaminishana. Abramovic bado anaplay part katika mauzo lakini hana upper hand ya kutoa conditions hizo.
- Mnunuzi wa Timu kupangiwa namna ya kuiendesha Timu hicho kitu hakuna: Mamlaka yote yanabaki kwa mmiliki kuendesha kulingana na Plan & Annual budget na sio maagizo kutoka kwa aliyeuza, atakayenunua ni Mfanya biashara na sio Kibaraka.
- Tajiri wa PSG, Man City na Chelsea ya mwaka 2004 wamemwaga hela nyingi kwasababu ya Status ya Timu zao walizozikuta wakati wananunua. Timu hazikuwa na Status ya Big Teams na wala hazikua Top in Europe na wala hazikuwa na Global Fanbase na wala hazikuwa na thamani kama sasa ya kuwa Top 7 ya Timu tajiri. Hivyo walimwaga hela kuvutia Big names and talented players kwenye Timu hizo mpaka zikafika hapo zilipo zina kila Kitu.
SASA ATAKAYEINUNUA CHELSEA AMBAYO KWASASA NI READY MADE INA KILA KITU UNADHANI ANAHITAJI KUFANYA KAMA ALIVYOFANYA ABRAMOVIC 2005 HAIKUWA NA CHOCHOTE?
Kwasasa Chelsea imeshakuwa Brand ya Kibiashara tofauti na alivyoikuta Abramovic hivyo Mnunuzi aninunua kwa ajili ya Kibiashara tu na si jengine! Mfano Mdogo matajiri wa Arsenal, Man United na Liverpool wamezikuta Timu tayari zina kila kitu hivyo wanafanya kile wanachojisikia wao kwani hata Mashabiki wakilia basi Brand ya Timu inalipa.
TIME WILL TELL TUPO HAPA NDUGU TUTAKUJA KUKUMBUSHA NA.