Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa hali tuliyokuwepo sasa, ya kuhitaj mmiliki mpya wa haraka,

Saudi angefanikiwa ingechukua mda mrefu kuja kumiliki n hii ingetufanya baadhi ya mambo ya siende sawa tungejikuta tuko kwenye administration, ukiangalia wamiliki wa newcastle iliwachukua miezi ili kumiliki newacastle
 
Kwa hali tuliyokuwepo sasa, ya kuhitaj mmiliki mpya wa haraka,

Saudi angefanikiwa ingechukua mda mrefu kuja kumiliki n hii ingetufanya baadhi ya mambo ya siende sawa tungejikuta tuko kwenye administration, ukiangalia wamiliki wa newcastle iliwachukua miezi ili kumiliki newacastle
Expected nilipin point huko nyuma kuwa kuna wamiliki wa Newcastle huko kwenye Saudi Media na ndie alikuwa kikwazo pamoja na uhusiano wake wa karibu na dola ya kifalme
 
Expected nilipin point huko nyuma kuwa kuna wamiliki wa Newcastle huko kwenye Saudi Media na ndie alikuwa kikwazo pamoja na uhusiano wake wa karibu na dola ya kifalme
Hii ilikuwa ngumi,

Katika waliopo bora tuishie mikoni mwa Toddy Boehly, haw wengineo sina imani nao kabisa
 
The bid from Saudi Media Group was not competitive and relied heavily on debt financing, an unattractive prospect for the club, one person with knowledge of the situation said. (via @FT)
 
Ambao hawatapita kwenye phase ya pili haw ahapa
  1. Woody Johnson
  2. Saudi Media Group
  3. Aethel Partners
  4. Nick Candy = Uncertainity
  5. Anather London Based Consortium = Uncertainity
Wenye green light ya kupita ni
  1. Todd Boehly Consortium
  2. Sir Martin Broughton Consortium and
  3. Ricketts family
 
The bid from Saudi Media Group was not competitive and relied heavily on debt financing, an unattractive prospect for the club, one person with knowledge of the situation said. (via @FT)
"One of the issues is the Saudi Media Group's turnover is something like £700-800m a year, so it is not very clear how they would have the money to buy a club like Chelsea.
 
Tupo hatua hii

Hao waliobaki (ambao hawajataarifiwa kuwa wameshindwa) wanatakiwa kutoa ahadi

Bankers handling the sale of Chelsea FC are seeking binding commitments from bidders about future spending on the club and its stadium before deciding on a shortlist of contenders to succeed Roman Abramovich as its next owner.

Sky News has learnt that Raine Group has sought assurances in the last 24 hours about prospective buyers' funding of the Stamford Bridge beyond the price they are prepared to pay to acquire Chelsea's share capital.

City sources said that multiple consortia had been asked to clarify details of their offers as Raine narrows the field of bidders to fewer than a handful this week.

"They want guarantees about future capital funding for the club and stadium, and cash on the balance sheet, so that they can be certain they are picking the best future owner of Chelsea," said one insider.
 
Mwansheria mmoja wa SkySports amechambua kuwa Abramovich hana maamuzi yeyote kwenye uuzwaji wa Chelsea
Alidai kuwa Serikali ya Uingereza ndie anayesimama kama mmiliki kwa sasa kwa sababu ay Sanction alizowekewa Abramovich

Sports Lawyer Nick De Marco, who worked on the takeover of Newcastle, says it is very unlikely that Roman Abramovich would be allowed to have any say in the sale of Chelsea and that the Government is effectively operating as club owner.
Source: 'Roman Abramovich has no say on Chelsea sale'
 
Ambao hawatapita kwenye phase ya pili haw ahapa
  1. Woody Johnson
  2. Saudi Media Group
  3. Aethel Partners
  4. Nick Candy = Uncertainity
  5. Anather London Based Consortium = Uncertainity
Wenye green light ya kupita ni
  1. Todd Boehly Consortium
  2. Sir Martin Broughton Consortium and
  3. Ricketts family
ricketts hao hawawezi pita kutokana na issue ya ubaguzi waliokuwa nayo so ni ngumu atlwast nick candy
 
ricketts hao hawawezi pita kutokana na issue ya ubaguzi waliokuwa nayo so ni ngumu atlwast nick candy
Kupita kwenye tatu bora watapita ila wanatumia nguvu nyingi sana kujisafisha
Kuna mzee mmoja wa hiyo familia zaidi ya miaka 80 huko nyuma alowahi kuwaita waislami maadui kupitia email. Tangu hapo wamekuwa wakianya jitihada kubwa kujenga urafiki na waislamu oli kufuta hiyo. Sasa inategemea na upana wa juhudi zao. Kwenue 3 bora watapita ila kwenye mmiliki hapo ndipo kutakuwa na kazi kubwa
 
Naona ndoto ya Bwana Boehly ikitimia, kwa miaka 4 alikuwa anafukuzia
huyu jamaa nmeona project yke y kwanza nikuboresha starmford pale so ujenz wa uwanja ukiwa kipaumbele huenda usajili ukawa wa kusuasua
 
huyu jamaa nmeona project yke y kwanza nikuboresha starmford pale so ujenz wa uwanja ukiwa kipaumbele huenda usajili ukawa wa kusuasua
Ukweli ndio huo wakati wa ujenzi lazima usajili upungue kasi kwa sababu ya hiyo investment
 
huyu jamaa nmeona project yke y kwanza nikuboresha starmford pale so ujenz wa uwanja ukiwa kipaumbele huenda usajili ukawa wa kusuasua
Tunahitaj kusajil wachezaj watakaondan na tuchel na kufany big signing halaf wanaishia kuflop

Usajil tunaohitaj sasa ni wachezaj watakaoendan na mfumo wa tuchel hata wakiwa ni wawil ilimrad impact yao inaonekana uwanjan
 
Boss mpya inabidi ampe tuchel kila kitu anachohitaji Huyu mwamba kuna kipindi Chelsea tulipitia kipindi kigumu sana lakini hayakusikika maneno ya kulalamika, mwezi wa 11 na 12 ulikua mwezi mgumu sana kwa kikosi cha Chelsea majeruhi kibao + covid imepamba moto + FA wakalazimisha timu icheze hivyohivyo ikabidi watoto wa U18 waitwe kuja kuongeza nguvu. Hakuwapa pressure body wamsajili mchezaji kipindi cha dilisha dogo, hakupewa mchezaji mpya zaidi Kennedy na timu ikaendelea kufanya vizur, mwezi wa 6 huyu jamaa body imletee wachezaji anaowataka yeye.
 
1648223290390.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom