juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Kwa hali tuliyokuwepo sasa, ya kuhitaj mmiliki mpya wa haraka,
Saudi angefanikiwa ingechukua mda mrefu kuja kumiliki n hii ingetufanya baadhi ya mambo ya siende sawa tungejikuta tuko kwenye administration, ukiangalia wamiliki wa newcastle iliwachukua miezi ili kumiliki newacastle
Saudi angefanikiwa ingechukua mda mrefu kuja kumiliki n hii ingetufanya baadhi ya mambo ya siende sawa tungejikuta tuko kwenye administration, ukiangalia wamiliki wa newcastle iliwachukua miezi ili kumiliki newacastle
The bid from Saudi Media Group was not competitive and relied heavily on debt financing, an unattractive prospect for the club, one person with knowledge of the situation said. (via @FT)