juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Tuchel hii ndio hazina Roman aloyotuachia, wamiliki wapya wakija wamuunge mkono tu, Huyu ndio kocha pekee kwa sasa anayeweza kupambana na kina Klopp n Pep,
Draw ni kesho mkuuHaya the blues wajipange vita ndo inaanza upya kutetea kombeView attachment 2154375
Kama kawaida Chelsea ni underdog kwenye huu msafaraView attachment 2153545
Haki watupe hio Liverpool tupasuane nao mapema [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Haya the blues wajipange vita ndo inaanza upya kutetea kombeView attachment 2154375
Liverpool huyo tunaweza kumfunga. Match ya Carabao tuwaste sana chances ndo maana hatukushinda.Ranking ya timu zilizovuzu kwa ubora kwa maoni ya pundits wengi
My take
- Liverpool
- Man city
- Bayern Munich
- Chelsea
- Real madrid
- Atl madrid
- Villareal
- Benfica
watakaoisumbua Chelsea ni liver na city tu