Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu hatujakataa. Sisi ni Underdog.

Tuna UEFA Cup 2
Tuna UEFA Super Cup 1
Tuna Club World Cup 1.

Man City anazo ngapi?. Badala ya kutumia nguvu nyingi kukaza vuvu hapa kwa next level bor ukomae upate walau kombe moja hapo juu.

Wewe level zako ni kina QPR, Sheffield United, Bournemouth n.k

Pamoja na yote odds zinaonesha wewe ni underdog kwenye huu msafara...hata sijui kwanini mzee hata Mimi nashangaa pamoja na mafanikio yenu yote Bado nyie mnaonekana team ya ki local tu 😅😅😅😅....! Hamna nyota hata mchukue kombe la dunia mzee yaani team lenu ni majanga ,no mizuka ,no vibe ,no shamra shamra ,....!
 
Mwambie Muheshimiwa Jaji kwanini tusipewe wewe kibonde wetu Liverkuku kwa hatua inayofuata?
Lille alikukosa kosa,kilicho kubeba ni uzoefu tu wa kwenye mashindano.Lakini mlikuwa mlisha poteana kitambo.
 
Pamoja na yote odds zinaonesha wewe ni underdog kwenye huu msafara...hata sijui kwanini mzee hata Mimi nashangaa pamoja na mafanikio yenu yote Bado nyie mnaonekana team ya ki local tu 😅😅😅😅....! Hamna nyota hata mchukue kombe la dunia mzee yaani team lenu ni majanga ,no mizuka ,no vibe ,no shamra shamra ,....!
Mgaga wa kienyeji unaendeleaje unataka chelsea iwe na mizuka ya kupeleka wapi?,na shamra shamra za nini wakati sisi hatuchezi vigodoro kama man city ,kiufupi chelsea team ya kiume sana .
 
Katika timu ambazo sifuatilii na sijui uwepo wake ni Chelsea yaani sijui hata kwanini...!timu Haina mizuka kabisa yaani Jana kibanda umiza chore kinaangalia game ya arsenal vs liverpool .....!

Harafu nikija huku jf nakuta watu wanapiga kelele et Chelsea sijui daaa
Kuwa na akili basi pep analalamika mnauwanja mkubwa ila hamna mashabiki, mashabiki wanaojaza uwanja wenu ni watimu pinzani, huku Tanzania mashabiki wa man city hamzidi 6 , unaisemea mechi ya jana haina mzuka sasa unataka mzuka hupi wakati Chelsea alikua ameshafuzu sisi tulicheza kukamilisha ratiba
 
Mgaga wa kienyeji unaendeleaje unataka chelsea iwe na mizuka ya kupeleka wapi?,na shamra shamra za nini wakati sisi hatuchezi vigodoro kama man city ,kiufupi chelsea team ya kiume sana .

Jamaa anateseka sana anapoona Chelsea inaendelea kusonga mbele
 
Nilikuwa nashangaa mbona Chelsea bado wanatumia logo ya Three kumbe leseni inazuia isiondolewe kwenye physical assets

"The Athletic are reporting that Chelsea have removed Three's logo from all of its digital platforms. Licence restrictions have prevented the company's logo being removed from the club's physical assets, however."
 
Nilikuwa nashangaa mbona Chelsea bado wanatumia logo ya Three kumbe leseni inazuia isiondolewe kwenye physical assets

"The Athletic are reporting that Chelsea have removed Three's logo from all of its digital platforms. Licence restrictions have prevented the company's logo being removed from the club's physical assets, however."
Watoe linembo lao, kwani hilo linembo linasidia wachezaji kushinda mechi.
 
Hivi EPL na Serikali ya Uingereza wamepima madhara ikiwa Chelsea haitauzwa????
 
Watoe linembo lao, kwani hilo linembo linasidia wachezaji kushinda mechi.
Mkataba wa kutengeneza hizo jezy ndio unaokataza kuzitoa. Mwingiliano wa kimaslahi kwenye mikataba. Hata hivyo Three wamelegeza masharti baada ya kugundua hilo na kuidai Chelsea waondoe haraka iwezekanavyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom