Match ya Viungo watatu ilishakuwa failure kwetu.Mwamba umeshaanza kulalamika hata mechi yenyewe bado ujaiyona
App gan hii Mzee?Jorginho katoa pasi nzuri sana kwa Pulisic na kufuta madhambi yake ya kunawa mpira kizembe kwenye goli
View attachment 2153412
DSTV Now, mpaka uwe mteja wa DSTV nadhani, jaribu kujisajili maana sina uhakikaApp gan hii Mzee?
TT kakusikia, kamuondoa Kovaci na kumuingiza Mount, nadhani sasa watacheza 3-4-2-1Match ya Viungo watatu ilishakuwa failure kwetu.
Lille wanamtarget sana Joginho na amekuwa akifanya makosa toka match inaanza.
Bora hata Half time tunaenda 1-1 ila hawa jamaa wametukaba sana shingo.
At least kule mbele kuwe na balance hawa kunguni wapunguze kuja golini kwetu.,TT kakusikia, kamuondoa Kovaci na kumuingiza Mount, nadhani sasa watacheza 3-4-2-1