Kuna uwezekano mkubwa akapewa Nick Candy na mwenzake Sir Martin Broughton kwa kuwa bidi yao nayo ni kubwa (£2.7bn)Hii issue ya saudi media group ni ngumu sana,
Wakipewa italeta maswali vile vile wakinyimwa huku bid yao ikiwa kubwa kuliko za wengine italeta maswal mengi,
Kwanini wakatae bid kubwa kiasi hicho huku Walikubal newcastle wamilikiwe na wasaudia,
Ukishaingiza politics kwenye soccer ndio madhara yake haya,
Hapa naona tukiangukia kwa boehy-wyss consortium au kwa Nicky Candy
Anaonekana ana Nia ya dhati kuiona Chelsea ikiwa juu zaidi...shida mashabiki wengi wanataka Wale WA Saudi... na tumeshaona uwekezaji wa waarabu kwenye timu wanazozimiliki. Km Newcastle, psg, cityNick Candy offering to provide short-term funding to Chelsea if it faces cash crunch because of government-imposed restrictions; Candy also pledges fans' seat on board if his bid for Chelsea is successful as the bank handling the sale of the club ask for best bids to be submitted by Friday
Swahili
Apewe timu asipewe?
- Timu ikipitia hali ngumu ya kifedha kwa sababu za serikali kweka vikwazo yeye atatoa pesa za kusaidia timu kupita kipindi cha mpito
- Pia kasema bid yake ikifanikiwa atawaweka wawakilishi wa mashabiki kwenye bodi
Huyu ameshakana Hana Nia ya kuinunuaKati ya wanunuzi walipo sasa, Ratcliffe ni shabiki wa kuifia Manure
Hawa waingereza/wamarekan sio wakuwaamini ni kama wana siasa tu, ukishawapa tim wanachoangalia ni kuwa ndan ya top 4 tu na sikuchukua ubingwa.Anaonekana ana Nia ya dhati kuiona Chelsea ikiwa juu zaidi...shida mashabiki wengi wanataka Wale WA Saudi... na tumeshaona uwekezaji wa waarabu kwenye timu wanazozimiliki. Km Newcastle, psg, city
Hata waarabuKuna uwezekano mkubwa akapewa Nick Candy na mwenzake Sir Martin Broughton kwa kuwa bidi yao nayo ni kubwa (£2.7bn)
Huna tofauti na mwanamke aliyeachwa. Kila anapoona mafanikio ya mumewe aliyemuacha. Anaweweseka na kuropoka ovyo ovyo kutafuta huruma kwa majirani[emoji2957]Chelsea's successes is a product of corrupt practices by his owner - connected with acquisition and sales of two Russian oil companies (SIBNEFT and SLAVNEFT).
Huwezi tofauti mafanikio ya Chelsea na msabwanda wa Makonda ambao ni matokeo ya vitendo vya unyanganyi na ujambazi
Ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano, timu isipokwenda kwa Candy basi MarekaniHata waarabu
Ofa Yao imeshapokewa kama walikuwa hawatakiwi ofa Yao isingepokewa hao hawana hela watatuharibia timu.Ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano, timu isipokwenda kwa Candy basi Marekani
Utajiri wa watu ukisema uanze kufatilia kuanzia mwanzo watu watashkana mashatiRoman Abramovich
Kama hizi taarifa ni za kweli, basi hana tofauti na hawa matajiri wetu uchwara wahindi koko
""The Chelsea owner is reported to have made billions by buying an oil company from the Russian government in a rigged auction in the 90s.
Mr Abramovich paid around $250million for company Sibneft - but later sold it back to the Russian government for $13billion in 2005.""
Achana.wajinga wa aser8 hawana hadhi hata ya kugusa gidamu zetu hao wapuuzi wako daraja moja na shelfield Wednesday hukoInakuhusu nini akimaliza nafasi ya Saba?
Chelsea imechukua UEFA championship Cup msimu ulioisha
Chelsea imechukua UEFA Super Cup mwezi uliopita
Chelsea imechukua Club World Cup mwezi ulioisha
Chelse anacheza UEFA mpka sasa.
Chelsea yupo nafasi ya tatu pamoja na change changamoto anayopitia kwa sasa lakini bado yupo imara.
Ebu twambie Arsenal yupo wapi? Na ana nini cha kujivunia?
What's wrong with that?........tutafutia taarifa zinazo jenga timu sio za propaganda ya waingereza zilizo jaa wivu na fitina ligi ni ya kwao ila timu sita bora hamna ya kwao kwahiyo wanaumia sanaRoman Abramovich
Kama hizi taarifa ni za kweli, basi hana tofauti na hawa matajiri wetu uchwara wahindi koko
""The Chelsea owner is reported to have made billions by buying an oil company from the Russian government in a rigged auction in the 90s.
Mr Abramovich paid around $250million for company Sibneft - but later sold it back to the Russian government for $13billion in 2005.""
Bids zote huwa zinapokelewa, mchujo ndio utawaondoa. Sababu kuu wana mahusiano na serikali ya Saudia ambayo ina almost 80% ya umiliki wa Newcastle. Hapo ndipo ugumu unaanzia. Na ndio maana wamekazana kusema hawana uhusiano na governmentOfa Yao imeshapokewa kama walikuwa hawatakiwi ofa Yao isingepokewa hao hawana hela watatuharibia timu.
Hawana uhusiano na serikal ya saudia,Bids zote huwa zinapokelewa, mchujo ndio utawaondoa. Sababu kuu wana mahusiano na serikali ya Saudia ambayo ina almost 80% ya umiliki wa Newcastle. Hapo ndipo ugumu unaanzia. Na ndio maana wamekazana kusema hawana uhusiano na government
Haiwezekani, hiyo ni kwa russia tu, na kwa africa iko Russia Today ambayo saana inahusika na habari.hii game ya Lille tunaweza kuiona hata kwa azam maana tv ya Russia ipo View attachment 2151696