Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna save pia ya penalti kwente FA aliifanya mwishoni dhidi ya Plymouth
Yaani kuna muda watu wanaongea kama wamekatwa vichwa.


I swear kama jana Mendy angefungwa watu wangekuja kulalama humu kwamba ilikuaje hakumuingiza Keppa mwishoni wakati match alizocheza matuta Keppa tulishinda/?
 
Game ilikua komedi. Two clowns fighting you dont see shit you only see two clowns swaying left to right with no shit in between.

Mmeonewa na VAR? Get used to it, na mshua ndiyo anaondoka inabidi muweke timu sokoni.
Siyo mbaya naamini mtafurahi sana.

Kama ilivyo kawaida ya mtanzania afurahii maendeleo ya Mwenzake anamsubir ashuke aanze kumcheka.

Sisi watanzania ni mashabiki tu wa mpira ila hatujui chochote kuhusu mpira. So ushabiki usikutie upofu mkuu. Meanwhile hatuna tunachofaidinacho kutoka club zote wanaofaidi ni wazungu walioajiriwa kwenye vilabu vyao.

Wewe pambana na Arsenal yako Chelsea haikuhusu.

Na mpaka sasa kwa taarifa yako. Chelsee imeshabeba UEFA Super Cup, Club World Cup. Makombe ambayo arsenal haiwezi kubeba baada ya miaka 200 ijayo[emoji3][emoji3]
 
Poleni sana Chelsea
Mlipigana sana ingawa VAR ndiyo iliwasaidia kufika kwenye penati,lile bao la Matip ni bao halali
Mwaka huu hamtapata kombe lolote
Tuchukue mara ngapi mkuu. Acha kujisaulisha.

UEFA Super Cup tulichukua mwaka gani kama si msimu huu
Club World Cup hata wiki haijaisha.

Pamoja na kuchukua Carabao lakini ninyi bado ni under dog kwa Chelsea. Hamna uwezo wa kumfunga ndani ya dk 90. Uwanjani labda mvizie penalty kama jana basi.
 
Arse Anal hawajitambui kabisa, mwaka huu hata ligi haijaisha wamenusa top 4 mara moja tu wameona ni mabingwa wa EPL!
Utakua miongoni mwa hao wasiojitambua kama ndiyo upuuzi ulioamua kuniandikia
 
Siyo mbaya naamini mtafurahi sana.

Kama ilivyo kawaida ya mtanzania afurahii maendeleo ya Mwenzake anamsubir ashuke aanze kumcheka.

Sisi watanzania ni mashabiki tu wa mpira ila hatujui chochote kuhusu mpira. So ushabiki usikutie upofu mkuu. Meanwhile hatuna tunachofaidinacho kutoka club zote wanaofaidi ni wazungu walioajiriwa kwenye vilabu vyao.

Wewe pambana na Arsenal yako Chelsea haikuhusu.

Na mpaka sasa kwa taarifa yako. Chelsee imeshabeba UEFA Super Cup, Club World Cup. Makombe ambayo arsenal haiwezi kubeba baada ya miaka 200 ijayo[emoji3][emoji3]
Sasa we jamaa ni unaota saa hii
 
Hizo mbona chache unakumbuka Frankfurt? Kipindi Cha Kuna Haller na Luka jovic? Kepa alitupeleka fainali ya uefa tukamfunga arsenal.

Pia ukiachana na hao uliowataja Kuna katimu kadogo tulienda nako penalties kepa akatuokoa

Mimi Kama Mimi ikitokea mechi Tena mbeleni kepa ndo aingizwe tena kwenye matuta
 
Tuchukue mara ngapi mkuu. Acha kujisaulisha.

UEFA Super Cup tulichukua mwaka gani kama si msimu huu
Club World Cup hata wiki haijaisha.

Pamoja na kuchukua Carabao lakini ninyi bado ni under dog kwa Chelsea. Hamna uwezo wa kumfunga ndani ya dk 90. Uwanjani labda mvizie penalty kama jana basi.
Halafu hawa livakuku wanaitaga haya makombe ya mbuzi, au Micky mouse cup sio size yao
Jana walipigania hadi udenda nje nje
Wangekosa hayo matusi tungekoma akiongozwa na King wao King Ngwaba
 
Utakua miongoni mwa hao wasiojitambua kama ndiyo upuuzi ulioamua kuniandikia
Ndio maneno ya kishabiki
Arse = a stupid, irritating, or contemptible person.
Zile maana zingine mbaya zaidi ya hii potezea tu
Kama hutaki hizi lugha tuache tujadili mambo yetu ya kubeba ubingwa wakati ninyi mnajadili kurudi top 4 ambayo nayo sidhani kama mtaweza
 
1646058802893.png
 
Ndio maneno ya kishabiki
Arse = a stupid, irritating, or contemptible person.
Zile maana zingine mbaya zaidi ya hii potezea tu
Kama hutaki hizi lugha tuache tujadili mambo yetu ya kubeba ubingwa wakati ninyi mnajadili kurudi top 4 ambayo nayo sidhani kama mtaweza
Lembu ni kinabo
 
  1. Jana Chelsea walicheza vizuri sana, style ya uchezaji wa Chelsea kwa wasiojua ndio hiyo ya jana
  2. Kwetu kipa alituokoa, kwa wao Liver washambuliaji wetu ndio waliowaokoa Liver
  3. Alonso jana alicheza kwa kukaribia uchezaji wa Chilwell alipokuwa kwenye form, alikuwa sharp kwenye kukaba na mbele alikuwa anapeleka mashambulizi vizuri
  4. Washambuliaji wetu (Havertz, Mount, Pulisic na baadaye Werner na Lukaku) walikuwa na shauku ya kufunga na walijiposition vizuri except hawakuwa clinical enough kwenye kufunga
  5. Lukaku jana alipoingia alikuwa mobile na ilisaidia mbele kuendelea kuwa threat kwa liverpool
  6. Chance tulizocreate jana zilikwua nyingi na quality tofauti na za Liver
  7. Difence yetu iko kwenye ubora wake kama mwaka jana tulipobeba UEFA
  8. Timu imerudi kwenye ubora wake kama tulivyoanza ligi mechi 10 za mwanzo na kwa ubora huu uhakika wa kubakia kwenye no. 3 upo kwa asilimia 80
  9. Huko nyuma tulipokuwa tunalalamika na wengine kuanza kutushambulia kuwa sisi ni mamluki tulikuwa tunakosa vionjo kama hivi vya jana
  10. Mimi binafsi furaha yangu ya jana iko 90%, huzuni ya 10% ni kwa sababu tumepoteza kikombe cha mbuzi kile kwa Liver
HONGERENI CHELSEA KWA MECHI BORA KABISA KUWAHI KUTOKEA
Katika siku ambayo umeongea mambo ya maana basi leo umezidisha.Hii kwangu ni best comment kuzidi zote nilizosoma kwako
 
Kinachomtofautisha Lukaku na hawa washambuliaji wetu wengine ni yuko clinical kwenye kushoot na pia shots zake ni very powerful
Kinachomuangusha Lukaku tofauti na wenzake ni kubaki kuwa static kule mbele badala ya kutengeneza movement za kucreate chances
Kabisa nakubaliana na wewe
 
Kinachomtofautisha Lukaku na hawa washambuliaji wetu wengine ni yuko clinical kwenye kushoot na pia shots zake ni very powerful
Kinachomuangusha Lukaku tofauti na wenzake ni kubaki kuwa static kule mbele badala ya kutengeneza movement za kucreate chances
Kabisa nakubaliana na
Ukweli usiopingika ni kwamba Lukau alikuwa onside. mstari mwekundu wa beki wa Liver na mstari wa blue ni wa sehemu ya mkono wa Lukaku ambao kisheria unaruhusiwa kucheza mpira
View attachment 2133761
Wametudhuluma kabisa ukichanganya na red ya Keita lembu umesikia kauli ya Mourinho aliyotoa leo?
 
Bosi Roma Abramovich yuko mstari wa mbele kule Ukraine kwenye mazungumzo ya Amani
Taarifa kutoka Ukraine zinasema kuwa Ukraine wenyewe waliwasiliana na Abramovich wakimuomba asaidie mazungumzo yafanikiwe. Wanaendelea kudai kuwa katika wengi walioombwa kutoka Urusi ni Abramovich pekee ndie aliyeitikia wito
1646062417469.png

Roman Abramovich is attempting to broker peace between Russia and Ukraine, the Chelsea owner’s spokesperson has declared.

The Russian-Israeli billionaire handed “stewardship and care” of Chelsea to the club foundation’s trustees on Saturday, in a move aimed to protect the Stamford Bridge club.

But now the 55-year-old is trying to help bring an end to Russia's invasion of Ukraine.

“I can confirm that Roman Abramovich was contacted by the Ukrainian side for support in achieving a peaceful resolution, and that he has been trying to help ever since,” Abramovich’s spokesperson said.

“Considering what is at stake, we would ask for your understanding as to why we have not commented on neither the situation as such nor his involvement. Thank you.”

Ukrainian film director and producer Alexander Rodnyansky also confirmed Abramovich’s involvement, insisting the Chelsea owner was the only person to respond to calls for help.

Rodnyansky has claimed that representatives from Ukraine’s government have expressed gratitude for Abramovich’s attempts at help.

“I can confirm that the Ukrainian side have been trying to find someone in Russia willing to help them in finding a peaceful resolution,” said Rodnyansky.

“They are connected to Roman Abramovich through the Jewish community and reached out to him for help.

“Roman Abramovich has been trying to mobilise support for a peaceful resolution ever since. Although Roman Abramovich’s influence is limited, he is the only one who responded and taken it upon himself to try.

“If this will have an impact or not, I don’t know, but I am in contact with Zelensky’s staff myself, and know that they are grateful for his genuine efforts.”

However, Labour MP Chris Bryant, who claimed in the House of Commons last Thursday that the UK government should seize Abramovich’s assets and remove the 55-year-old from Chelsea’s ownership, took to social media to question the news.

"Really? Doesn’t peace just mean Russia withdraws?" he declared.

Additionally, the comments from Abramovich's spokesperson comes just two days after briefings from the Russian oligarch's camp that he is not involved in politics or with Vladimir Putin.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom