lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,717
- 25,961
Hapana, kasemaje?Umesikia kauli ya Mourinho aliyotoa leo
Hapana, kasemaje?Umesikia kauli ya Mourinho aliyotoa leo
Acha ushabiki kijana kuna wakati ilunatakiwa usipende mpira zaidi ya kuwa shabiki wa teamChelsea ni mbovu na Arsenal itakuja
"Chelsea haina hata mchambuzi mmoja wa kuwatetea kwenye media, Wachambuzi wote ni liverpool na Man united,Siku moja nikistaafu nikuwa na umri wa miaka 75 nitakuwa mchambuzi ili niwatetee Chelsea"Hapana, kasemaje?
Sasa kama hii timu siyo mbovu inakuaje na striker wa 100M na wa 70M wanakaa benchi?Acha ushabiki kijana kuna wakati ilunatakiwa usipende mpira zaidi ya kuwa shabiki wa team
Kwan wao ndio kwanza kukaa bench?Sasa kama hii timu siyo mbovu inakuaje na striker wa 100M na wa 70M wanakaa benchi?
Kwani auba alikuwa anacheza hapo Arsenal?Sasa kama hii timu siyo mbovu inakuaje na striker wa 100M na wa 70M wanakaa benchi?
Mourinho mwenyewe aliwahi kusema kuna campaign against Chelsea misimu ya nyuma huko.....lkn pia naona supersport kuna kina Jimmy Floyd halsebaink, demba ba ..au alikuwa anazungumzia wachambuzi wq skysports nn?"Chelsea haina hata mchambuzi mmoja wa kuwatetea kwenye media, Wachambuzi wote ni liverpool na Man united,Siku moja nikistaafu nikuwa na umri wa miaka 75 nitakuwa mchambuzi ili niwatetee Chelsea"
Mourinho ni mtu wa falsafa wewe umeshindwa kumuelewa sio kwamba ajui kuna Wachambuzi ambao ni malegend wa Chelsea anachomaanisha hao Wachambuzi wa chelseafc hawaitetei team yao inavyopaswa tofauti na Wachambuzi wa liver na man u ndio maana anaona hawana tofauti na hao wa liverpool na Man u.Mourinho alitaka kuona malegend wa Chelsea ambao niwachambuzi walitakiwa wapaze sauti zao sana kuhusu mwamuzi alichofanya kwanza kutompa red card Keita na kukataliwa kwa goal la LukakuMourinho mwenyewe aliwahi kusema kuna campaign against Chelsea misimu ya nyuma huko.....lkn pia naona supersport kuna kina Jimmy Floyd halsebaink, demba ba ..au alikuwa anazungumzia wachambuzi wq skysports nn?
Nitajie timu nyingine iliyoweka benchi wachezaji wake wawili mmoja wa 100M na mwingine wa 70MKwan wao ndio kwanza kukaa bench?
Wakati anakua mfungaji bora alikua anafanya nini?Kwani auba alikuwa anacheza hapo Arsenal?
anasemaje?Umesikia kauli ya Mourinho aliyotoa leo
Nenda kwenye uzi 4751 nimemjibu lembuanasemaje?
Kuna watu mwanzon walisema hapa tumepigwa, ila kadri siku zinavyozidi kwenda ndio anavyozidi kuwaziba midomo.
Nahisi kuna ule umaarufuMourinho ni mtu wa falsafa wewe umeshindwa kumuelewa sio kwamba ajui kuna Wachambuzi ambao ni malegend wa Chelsea anachomaanisha hao Wachambuzi wa chelseafc hawaitetei team yao inavyopaswa tofauti na Wachambuzi wa liver na man u ndio maana anaona hawana tofauti na hao wa liverpool na Man u.Mourinho alitaka kuona malegend wa Chelsea ambao niwachambuzi walitakiwa wapaze sauti zao sana kuhusu mwamuzi alichofanya kwanza kutompa red card Keita na kukataliwa kwa goal la Lukaku
Hivi game za barce ushawah angaliaNitajie timu nyingine iliyoweka benchi wachezaji wake wawili mmoja wa 100M na mwingine wa 70M
Acha upuuzi wewe bei haina uhusiano na benchiNitajie timu nyingine iliyoweka benchi wachezaji wake wawili mmoja wa 100M na mwingine wa 70M