Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Peleka mbele Upunguani wako huko..!

Hatuishi kwa kukariri hapa mpira ni Sayansi..!
Punguani ni wewe.....

Kuna michezo kadhaa kimeshafanyika hicho kitu na kimework.

Inaonekana ni match yako ya kwanza ya chelsea kuangalia.
 
Livepunga bahati ilikua upande wao. Mpaka sasa hawa mafala hawajategemea walichokutana nacho. Kombe wamelibeba kibahat tu manina.

Yaani hii mechi haijaniuma kabisa kama vile hatujafungwa vile.
Kiukweli hata mwenyewe zile penati jinsi zilikuwa zinaenda nilishafika mahali nikasema basi hata tukipoteza poa tu...

Jana timu imepambana sana.

Tunahitahi spirit kama ile.
 
Punguani ni wewe.....

Kuna michezo kadhaa kimeshafanyika hicho kitu na kimework.

Inaonekana ni match yako ya kwanza ya chelsea kuangalia.
Nimeanza kuwa hapa na hata kabla ya hapa nafuatilia Chelsea na timu zingine na naandika makala kabla yako, isipokuwa we Punguani umeanza wakati wa COVID-19

Kwahivyo hata kama imetiki ile plani lakini si kitu cha kujivunia kwasababu hiyo ni fluk (ngekewa) kwa sababu mpira ni Sayansi..Tumia Akili basi kuelewa.
 
  1. Jana Chelsea walicheza vizuri sana, style ya uchezaji wa Chelsea kwa wasiojua ndio hiyo ya jana
  2. Kwetu kipa alituokoa, kwa wao Liver washambuliaji wetu ndio waliowaokoa Liver
  3. Alonso jana alicheza kwa kukaribia uchezaji wa Chilwell alipokuwa kwenye form, alikuwa sharp kwenye kukaba na mbele alikuwa anapeleka mashambulizi vizuri
  4. Washambuliaji wetu (Havertz, Mount, Pulisic na baadaye Werner na Lukaku) walikuwa na shauku ya kufunga na walijiposition vizuri except hawakuwa clinical enough kwenye kufunga
  5. Lukaku jana alipoingia alikuwa mobile na ilisaidia mbele kuendelea kuwa threat kwa liverpool
  6. Chance tulizocreate jana zilikwua nyingi na quality tofauti na za Liver
  7. Difence yetu iko kwenye ubora wake kama mwaka jana tulipobeba UEFA
  8. Timu imerudi kwenye ubora wake kama tulivyoanza ligi mechi 10 za mwanzo na kwa ubora huu uhakika wa kubakia kwenye no. 3 upo kwa asilimia 80
  9. Huko nyuma tulipokuwa tunalalamika na wengine kuanza kutushambulia kuwa sisi ni mamluki tulikuwa tunakosa vionjo kama hivi vya jana
  10. Mimi binafsi furaha yangu ya jana iko 90%, huzuni ya 10% ni kwa sababu tumepoteza kikombe cha mbuzi kile kwa Liver
HONGERENI CHELSEA KWA MECHI BORA KABISA KUWAHI KUTOKEA
 
Goli la Matip ilikuwa wazi, VVD alimzuia James asiweze kumove na ndio maana lilikataliwa
Wewe sasa tuambie la Lukaku lilikataliwa kwa basis zipi
VAR waliona aibu hata hawa kucheza marudio tena kwenye screen aibu aibu ile ilikua goli halali kabisa, sijui FA inasemaje kuhusu hilo goli
 
SABABU ZA EFL HII HAPA YA KWA NINI GOLI LA MATIP LILIKATALIWA?

Van Dijk was offside in the build-up and then obstructed Reece James from getting to the ball, meaning he was interfering with play before the ball reached Matip.
 
Kinachomtofautisha Lukaku na hawa washambuliaji wetu wengine ni yuko clinical kwenye kushoot na pia shots zake ni very powerful
Kinachomuangusha Lukaku tofauti na wenzake ni kubaki kuwa static kule mbele badala ya kutengeneza movement za kucreate chances
 
VAR waliona aibu hata hawa kucheza marudio tena kwenye screen aibu aibu ile ilikua goli halali kabisa, sijui FA inasemaje kuhusu hilo goli
Ukweli usiopingika ni kwamba Lukau alikuwa onside. mstari mwekundu wa beki wa Liver na mstari wa blue ni wa sehemu ya mkono wa Lukaku ambao kisheria unaruhusiwa kucheza mpira
1646031768171.png
 
Nawashangaa Sana mnaomlalamikia tuchel kumwingiza kepa na hii ni kwasababu tumekosa kombe Ila Kama tungelibeba Basi wote mnaomlalamikia mngekaa kimya

Kepa ni Bora kuliko Mendy kwenye mikwaju ya penalties rejeeni safari ya kuchukua Europa kipindi tunakutana na Frankfurt toka kipindi tunakutana na frankfurt

Njooni kwenye sepercup dhidi ya Villarreal kepa alisave penalties tukachukua ubingwa

Hapo sikumbuki ni dhidi ya timu gani Ila hapa katikati nahisi ni kwenye kombe Holi la karabao au fa kepa ametufanya tushinde mechi mbili mfululizo kwa changamoto za mikwaju ya penalties

Aisee hata Kama kocha ni mimi lazima tu nitampanga kepa kutokana na fom yake ya kuokoa mikwaju ya penalties

Na hata ikitokea tukaingia tena kwenye changamoto ya mikwaju ya penalties Basi Tuchel atakua akimtumia kepa Kama kawaida

Kuna mashabiki maandazi humu walitaka kocha aote..Sasa kwa mfano kocha angemwacha Mendy tukafungwa wangemlaumu na kusema "kwanini asingemuingiza kepa maana yeye yupo vizuri kwenye penalties?"

Wewe unaesema Mpira ni sayansi ulitaka kocha aote kwamba kipa tegemezi wa kuokoa penalties Jana asingedaka penalt yoyote na kuikosesha timu ubingwa ??
 
Lembu ww una matatzo nakuambia hiv macho yako yako swa?
Wewe unayeongea sentensi nusu nusu ndie unaeleweka kweli hata sijui unapinga nini
Mwishjo wa siku macho yako ndio yanaona kengeza, nimetoa na evidence bado unaquestion macho yangu, what else do you need comrade?
 
Ukweli usiopingika ni kwamba Lukau alikuwa onside. mstari mwekundu wa beki wa Liver na mstari wa blue ni wa sehemu ya mkono wa Lukaku ambao kisheria unaruhusiwa kucheza mpira
View attachment 2133761
Ili Lukakju ahesabiwe yuko offside ilitakiwa mstari wa blu uwe mbele ya ile nyekundu
 
  1. Jana Chelsea walicheza vizuri sana, style ya uchezaji wa Chelsea kwa wasiojua ndio hiyo ya jana
  2. Kwetu kipa alituokoa, kwa wao Liver washambuliaji wetu ndio waliowaokoa Liver
  3. Alonso jana alicheza kwa kukaribia uchezaji wa Chilwell alipokuwa kwenye form, alikuwa sharp kwenye kukaba na mbele alikuwa anapeleka mashambulizi vizuri
  4. Washambuliaji wetu (Havertz, Mount, Pulisic na baadaye Werner na Lukaku) walikuwa na shauku ya kufunga na walijiposition vizuri except hawakuwa clinical enough kwenye kufunga
  5. Lukaku jana alipoingia alikuwa mobile na ilisaidia mbele kuendelea kuwa threat kwa liverpool
  6. Chance tulizocreate jana zilikwua nyingi na quality tofauti na za Liver
  7. Difence yetu iko kwenye ubora wake kama mwaka jana tulipobeba UEFA
  8. Timu imerudi kwenye ubora wake kama tulivyoanza ligi mechi 10 za mwanzo na kwa ubora huu uhakika wa kubakia kwenye no. 3 upo kwa asilimia 80
  9. Huko nyuma tulipokuwa tunalalamika na wengine kuanza kutushambulia kuwa sisi ni mamluki tulikuwa tunakosa vionjo kama hivi vya jana
  10. Mimi binafsi furaha yangu ya jana iko 90%, huzuni ya 10% ni kwa sababu tumepoteza kikombe cha mbuzi kile kwa Liver
HONGERENI CHELSEA KWA MECHI BORA KABISA KUWAHI KUTOKEA
Wale waliokuwa na wasiwas na havertz naona jana hawatokuja kusema tena issue za nguvu

Movement za havertz ni key tunavyokuwa tunashambulia. Jana kacreate 5 chance

Lukaku angekuwa anacheza siku zote vile lawama angekuwa nazo chache,jana alionekan yuko sharp na hakuwa static
 
Thiago silva unataman hata angekuwa na miaka 25 tu. Katika sajil bora tulizowah fanya hii ni moja wapo
Huwez amini kama jamaa ana 37 kama sijakosea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom