juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
We win together we lose togetherSolidarity wakati wa kupigiana penalti
View attachment 2133853
We win together we lose togetherSolidarity wakati wa kupigiana penalti
View attachment 2133853
Ili Lukakju ahesabiwe yuko offside ilitakiwa mstari wa blu uwe mbele ya ile nyekundu
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Game ilikuwa komedi Ile? Trash from a goonerGame ilikua komedi. Two clowns fighting you dont see shit you only see two clowns swaying left to right with no shit in between.
Mmeonewa na VAR? Get used to it, na mshua ndiyo anaondoka inabidi muweke timu sokoni.
kombe la club world cup lilipatikana mwaka Jana nn? Au upo dunia yako[emoji23]Poleni sana Chelsea
Mlipigana sana ingawa VAR ndiyo iliwasaidia kufika kwenye penati,lile bao la Matip ni bao halali
Mwaka huu hamtapata kombe lolote
Mbona tushapata au kombe lipi unalomaanisha.Poleni sana Chelsea
Mlipigana sana ingawa VAR ndiyo iliwasaidia kufika kwenye penati,lile bao la Matip ni bao halali
Mwaka huu hamtapata kombe lolote
Kwamba game ilikuwa comedy aisee mashabiki wa arsenal bhana, ushabiki huwamnaweka mbeleGame ilikua komedi. Two clowns fighting you dont see shit you only see two clowns swaying left to right with no shit in between.
Mmeonewa na VAR? Get used to it, na mshua ndiyo anaondoka inabidi muweke timu sokoni.
Mstari ulionyesha alizidiGoli la Matip ilikuwa wazi, VVD alimzuia James asiweze kumove na ndio maana lilikataliwa
Wewe sasa tuambie la Lukaku lilikataliwa kwa basis zipi
Kwenye Carabao match dhidi ya Southampton Keppa alituokoa na mikwaju ya penati.Nawashangaa Sana mnaomlalamikia tuchel kumwingiza kepa na hii ni kwasababu tumekosa kombe Ila Kama tungelibeba Basi wote mnaomlalamikia mngekaa kimya
Kepa ni Bora kuliko Mendy kwenye mikwaju ya penalties rejeeni safari ya kuchukua Europa kipindi tunakutana na Frankfurt toka kipindi tunakutana na frankfurt
Njooni kwenye sepercup dhidi ya Villarreal kepa alisave penalties tukachukua ubingwa
Hapo sikumbuki ni dhidi ya timu gani Ila hapa katikati nahisi ni kwenye kombe Holi la karabao au fa kepa ametufanya tushinde mechi mbili mfululizo kwa changamoto za mikwaju ya penalties
Aisee hata Kama kocha ni mimi lazima tu nitampanga kepa kutokana na fom yake ya kuokoa mikwaju ya penalties
Na hata ikitokea tukaingia tena kwenye changamoto ya mikwaju ya penalties Basi Tuchel atakua akimtumia kepa Kama kawaida
Kuna mashabiki maandazi humu walitaka kocha aote..Sasa kwa mfano kocha angemwacha Mendy tukafungwa wangemlaumu na kusema "kwanini asingemuingiza kepa maana yeye yupo vizuri kwenye penalties?"
Wewe unaesema Mpira ni sayansi ulitaka kocha aote kwamba kipa tegemezi wa kuokoa penalties Jana asingedaka penalt yoyote na kuikosesha timu ubingwa ??
Southhampton carabaoKwenye Carabao match dhidi ya Southampton Keppa alituokoa na mikwaju ya penati.
Watu ni wehu, wameangalia tu match ya jana halafu wanatoa Judgement juu ya sub ya Keppa.
Hilo kombe ni kawaida Kwa timu ambayo inakuwa bingwa wa uefa.Ndo maana tunalihesabu ni la msimu ulio pita.kombe la club world cup lilipatikana mwaka Jana nn? Au upo dunia yako[emoji23]
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nyinyi mnafungika... tutakutana tu kwenye UEFA au FAHilo kombe ni kawaida Kwa timu ambayo inakuwa bingwa wa uefa.Ndo maana tunalihesabu ni la msimu ulio pita.
Kuna save pia ya penalti kwente FA aliifanya mwishoni dhidi ya PlymouthSouthhampton carabao
Aston villa carabao
Villareal super cup
Zote hizi Kepa katuokoa kwenye penalt, Haters ndio wanaongea
Wewe hujui sheria za football JUST SHUTUP itapendeza zaidiPoleni sana Chelsea
Mlipigana sana ingawa VAR ndiyo iliwasaidia kufika kwenye penati,lile bao la Matip ni bao halali
Mwaka huu hamtapata kombe lolote
Tulia bwana sabri huo ndiyo ukweli[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Game ilikuwa komedi Ile? Trash from a gooner
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ulianza kupenda mpira mwaka gani hadi ukaipenda chelsea hiyo 2009?Kwamba game ilikuwa comedy aisee mashabiki wa arsenal bhana, ushabiki huwamnaweka mbele
Penda mpira kabla hujapenda tim,
Issue ya goli la Matip sio la mstari, kwenye build up ya goli VVD alimzuia James asimove akiwa offside. Hii ilkuwa wazi na ndio sheria ya footballMstari ulionyesha alizidi
Arse Anal hawajitambui kabisa, mwaka huu hata ligi haijaisha wamenusa top 4 mara moja tu wameona ni mabingwa wa EPL!Ulianza kupenda mpira mwaka gani hadi ukaipenda chelsea hiyo 2009?
Naona Keppa kawatoa kimasomaso.Hii mechi ya Fainali mpango mzima ni sisi kwenda kwenye mikwaju ya penati, Keppa akatutoe kimasomaso.
Liverkuku wako bora kila mahali zaidi yetu, tukicheza kama wao wanavyotaka tutaumia.
Twendeni na ulinzi shirikishi, tufunge njia zote, nafasi zote.
------------- PULISIC ------ HARVTEZ --------------
ALONSO - KANTE - JOG - KOVACIC - AZIP
---- RUDGER --- SILVA --- CHRISTENSEN ---