Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi game za barce ushawah angalia
Dembel n coutinho wameigharim barce sh ngap, kabla coutinho ajatolewa kwa mkopo .

City Grealish anaanzia bench au ndio kichwa umekaza
Hii ndio tofauti ya Chelsea na Arsenal, Chelsea inaweza nunua mchezaji wa ghali na sipoperform anakaa benchi kama KEPA nk
 
Halafu hawa livakuku wanaitaga haya makombe ya mbuzi, au Micky mouse cup sio size yao
Jana walipigania hadi udenda nje nje
Wangekosa hayo matusi tungekoma akiongozwa na King wao King Ngwaba
Mkuu kwani hujui kila mtu anatamani kitu ila uwezo wa kuwanacho ndiyo inakuwa shida. Mfano mimi natamani niendeshe Range Rover tena New Model ila bado sina uwezo nacho lazima nisingizie tu ooh hiyo inakula mafuta mara gari hiyo itakufirisi. [emoji3][emoji3][emoji3]


Ndiyo mashabiki wa Liverpool, Man u na Arsenal pale wanapokosa kombe lazim waje na visababu kama ivyo
 
Hivi game za barce ushawah angalia
Dembel n coutinho wameigharim barce sh ngap, kabla coutinho ajatolewa kwa mkopo .

City Grealish anaanzia bench au ndio kichwa umekaza
Dembele ni majeruhi ya mara kwa mara ila akiwa fit ni starter.

Coutinho aliflop ndiyo maana ametoka sana kwa mikopo.

Grealish hazipiti mechi tatu hajaanza na hazipiti mbili hajaingia sub.
 
Acha upuuzi wewe bei haina uhusiano na benchi
Grealish aliuzwa bei ghali kuliko Lukaku mara ngapi anawekwa benchi na kipara
Man united wanalazimisha Ronaldo acheze kwa sababu ni main man sasa inawacost, msimu ujao kuna kila dalili ya Man U kuachana na Ronaldo

Benchi wanakaa wachezaji wafuatao
  1. Aliyeshuka form
  2. Ambaye pecking order yake iko chini
  3. Ambaye amechoka na kwa hiyo yuko under rotation
  4. Mgeni akitokea majeruhi kwa ajili anahitaji muda mfupi tu wa kumpa fitness
Unataka maelezo gani tena
Bwana Sabri acha ubishi kashabikie tokomile.

Grealish ameanza mechi nyingi kuliko Romelongfeet Lakaka.

Umechanganyikiwa unamtaja Ronaldo? Amenunuliwa kwa sh ngapi?

Cheltako striker wa kwanza hana form benchi 70M. Striker wa pili hana form benchi 100M.

Kawape maelezo plastic wenzako.
 
Tuchukue mara ngapi mkuu. Acha kujisaulisha.

UEFA Super Cup tulichukua mwaka gani kama si msimu huu
Club World Cup hata wiki haijaisha.

Pamoja na kuchukua Carabao lakini ninyi bado ni under dog kwa Chelsea. Hamna uwezo wa kumfunga ndani ya dk 90. Uwanjani labda mvizie penalty kama jana basi.


Meangless mechi ambayo Man C tayari slikuwa bingwa ndiyo mlishinda.
Mechi yenye ushindani huwezi mfunga Liverpool huyu,sahau
 
Dembele ni majeruhi ya mara kwa mara ila akiwa fit ni starter.

Coutinho aliflop ndiyo maana ametoka sana kwa mikopo.

Grealish hazipiti mechi tatu hajaanza na hazipiti mbili hajaingia sub.
So hakuna game ambazo hawajaanzia bench???? Wote wawili
 
Bwana Sabri acha ubishi kashabikie tokomile.

Grealish ameanza mechi nyingi kuliko Romelongfeet Lakaka.

Umechanganyikiwa unamtaja Ronaldo? Amenunuliwa kwa sh ngapi?

Cheltako striker wa kwanza hana form benchi 70M. Striker wa pili hana form benchi 100M.

Kawape maelezo plastic wenzako.
Wewe huna akili, hata kama ni ushabiki basi uwe na kumbukumbu.
Taja mechi alizokaa benchi Lukaku ile ya adhabu na hizi nne vs Liverpool mara mbili na vs Aston Villa na Lile za
Grealish on the bench since 1 December 2021 mara 5 na tatu hakupangwa kabisa
  1. Newcastle
  2. Leicester city
  3. Arsenal
  4. Swindo town - hakukaa hata benchi, alikuwa mtaani akizurura
  5. Brentford
  6. Sporting - hakukaa hata benchi, alikuwa mtaani akizurura
  7. Spurs - hakukaa hata benchi, alikuwa mtaani akizurura
  8. Everton
Lukaku on the bench since December 2021 vs
  1. Watford - Majeruhi
  2. Westham - Majeruhi
  3. Leeds - Majeruhi
  4. Everton - Majeruhi
  5. Wolves - Majeruhi
  6. Brentford - Majeruhi
  7. Aston villa - for fitness
  8. Liverpool - Adhabu ya kuropoka kwenye media
  9. Lile kapumzishwa uchovu
  10. Liverpool
 
Wewe huna akili, hata kama ni ushabiki basi uwe na kumbukumbu.
Taja mechi alizokaa benchi Lukaku ile ya adhabu na hizi nne vs Liverpool mara mbili na vs Aston Villa na Lile za
Grealish on the bench since 1 December 2021 mara 5 na tatu hakupangwa kabisa
  1. Newcastle
  2. Leicester city
  3. Arsenal
  4. Swindo town - hakukaa hata benchi, alikuwa mtaani akizurura
  5. Brentford
  6. Sporting - hakukaa hata benchi, alikuwa mtaani akizurura
  7. Spurs - hakukaa hata benchi, alikuwa mtaani akizurura
  8. Everton
Lukaku on the bench since December 2021 vs
  1. Watford - Majeruhi
  2. Westham - Majeruhi
  3. Leeds - Majeruhi
  4. Everton - Majeruhi
  5. Wolves - Majeruhi
  6. Brentford - Majeruhi
  7. Aston villa - for fitness
  8. Liverpool - Adhabu ya kuropoka kwenye media
  9. Lile kapumzishwa uchovu
  10. Liverpool
Huna akili kinega
 
Naona taarifa zinasema huenda wiki abramovich akapokea offer ya kuiza tim.

In case ikitokea basi tupate waarabu itapendeza zaid tofauti na hivyo tukipata wamarekani tutakuwa kama arsenal,liverpool
 
Naona taarifa zinasema huenda wiki abramovich akapokea offer ya kuiza tim.

In case ikitokea basi tupate waarabu itapendeza zaid tofauti na hivyo tukipata wamarekani tutakuwa kama arsenal,liverpool
Dah wanavyomuandama naona ataishia kuiuza 2 timu...kuna habari pia nyumba zake pale London ameziweka on sale
 
Sabri unacompile utumbo mimi nije kuusoma? Huna akili hata moja
Timu fukara kama Arsenal ina mchezaji hata wa mil 50 wa kuweka benchi, ni Chelsea, Man United na Man City tu ndio wenye jeuri ya kumuweka mchezaji wa mil 100 benchi pesa zipo na wivu yako itakufanya kilema, hamna kitu ninyi furaha yenye kutembeza umbea kwenye nyumba za majirani
 
Timu fukara kama Arsenal ina mchezaji hata wa mil 50 wa kuweka benchi, ni Chelsea, Man United na Man City tu ndio wenye jeuri ya kumuweka mchezaji wa mil 100 benchi pesa zipo na wivu yako itakufanya kilema, hamna kitu ninyi furaha yenye kutembeza umbea kwenye nyumba za majirani
Unatia aibu. Kwamba wewe ujinga unauita ujeuri. Unawezaje kua kinega hivi na bado unasurvive we chura?
 
Bilionea wa ki swiss Hansjorg Wyss ameonyesha desire yake ya kuinunua chelsea japo anasema kiasi anachotaka Abramovich ni kikubwa .
 
Bilionea wa ki swiss Hansjorg Wyss ameonyesha desire yake ya kuinunua chelsea japo anasema kiasi anachotaka Abramovich ni kikubwa .
yeah ni kweli, nimeicheki habari hii.. Jamaa anataka kuuachia mzigo maana nongwa dhidi ya Urusi upo juu sana.


Swiss billionaire Hansjorg Wyss claims he has been offered the chance to buy Chelsea, as parliament hears that Roman Abramovich is hastily selling his UK properties.

The 86-year-old has admitted interest in purchasing the Stamford Bridge club from Abramovich, but only as part of a consortium.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom