Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

lembu tuelezee kamati ya VAR imetumia sheria gani kukata goli alilofungwa na Lukaku

paka sasa sijui ilikua je hiyo goli kukataliwa au FA hawa kutaka Chelsea ichukue ili kombe kwasbb ya Russian kuvamia Ukuraini kama kumpa Abramovich adhabu ya kua karibu na putin......huo naona ni uhuni kama wa ma refa wa bongo.
 
Ni muda wetu sasa wa kucheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
InShot_20220227_224928067.jpg
 
Mendy has been hero for almost 120 minutes mnamuona hana maana mwisho. Rubbish mpira umewashinda nendeni mmsaidie huyo gaidi wenu, kuwamaliza waukraine
Penalt hazina mwenyewe, hii sio mara ya kwanza kama unaangalia game zetu,
 
lembu tuelezee kamati ya VAR imetumia sheria gani kukata goli alilofungwa na Lukaku

paka sasa sijui ilikua je hiyo goli kukataliwa au FA hawa kutaka Chelsea ichukue ili kombe kwasbb ya Russian kuvamia Ukuraini kama kumpa Abramovich adhabu ya kua karibu na putin......huo naona ni uhuni kama wa ma refa wa bongo.
Kwanini goli la Matip lilikataliwa?
 
View attachment 2133399
Mpaka sasa mpira alioupiga Kepa haujaonekana angani.. Satelite zinajaribu uwezekano wa kupatikana lakini mpaka sasa hakuna dalili!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpira huo umetua katikati ya jiji la Kiev dakika chache zilizopita, umeleta madhara makubwa sana. Maafisa kutoka Ukraine wameripoti.
 
Tumecheza vizur tumecreat chance nzuri za kufunga mount n pulisic walikuwa wanaimaliza game ndni ya dakika 90 ila ndio vile mpira ni mchezo wa kikatil na siku zote bahat huwa haiji upande wako mara zote.

Kepa anageuzw kama mbuzi wa kafara ila ukweli ni kwamba penalt huwa hazina mwenyewe,
Mount kapoteza 2 chances n Pulisic 1 chance hizo zote zilikuwa ni clear chance na si half chance

All in all we win together we lose together

Next vs luton town fa cup j5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom