DoneMnatupotezea muda fans kuangalia extra time wakati hamtashinda stupid
[emoji16][emoji16][emoji16]Over
10-11
Hii ilikuwa fainali ya kweli hadi wapigaji wa penalti wote wakaisha
Kepa hakyandaliwa kupiga penalti
Wanaume wanacheza fainali ww unacheza mdako na kanga yako imelowa maji utapigwa pomba[emoji16][emoji16][emoji16]
Makima yameingia fainali. Mashetani kwao kuzimu 🙂Bora mmepoteza mnakelele sana nyie makima[emoji16][emoji16]
Vipi huko?😂Our Lord Keppa is ready to save our asses.
Mimi nina faida mmewangu liver ko nipo nabembelezwaTutume askari wa kuzuia kujiua ama uko freshi?
Hamia kiumeni kwa muda! Then utarudi huku.Mimi nina faida mmewangu liver ko nipo nabembelezwa