juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Game zote za ligi kacheza na hajavunjwa, kucheza na van dijk haitaji utumie nguvu akil tu ndio inatosha. Ingekuwa hivyo wakina Woods,Barnes wangekuwa wanamsumbuaLukaku anaweza pangwa kupambana na Vidgk msuli kwa msuli.
Kai anaweza vunjwa mguu na Vidgk
Na aliweza kuitanua defense ya liverpool
