Hili jambo ndio huwa linanikasirisha sanaa. Wachezaji hawawezi kupga penetration pass, silva zamani ndio kidogo alikua anajitahid nae siku hiz nae kawa boya.
Halafu tatizo linaweza likawa kwnye link up y bek na viungo,wakati mabek wakiwa na mipira viungo hawafungui nafasi ili kupewa mipira, bek anaishia kurudisha kw kipa au kutoa sideways pass. Kwa hali hii mipira itakua inafika mbele mara chache sana, ndio mana lawama kwa mafoward hazitokaa zikaisha. Huyu Lukaku tunmchukulia poa ila mpeleke pale City ndio tutajua tatizo kubwa lipo kwetu.
Ukiangalia game za man city au liva mtanielewa. Beki ikiwa na mpira wachezaji wengine wanahangaika kukimbilia kwnye gapes tayar kw kupokea mpira, inakua rahis kw mwnye mpira kuwa na options nyingi za kutoa pasi. Chelsea hicho kitu hakipo, ndio mana tunapata shida sana kupata matokeo kwenye timu inayopak basi.