Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Swali linabaki kwanini KANE alisign mkataba mpya kama alikuwa anataka kuondoka spurs?

Harry Kane signed a 6 year / £62,400,000 contract with the Tottenham Hotspur F.C., including an annual average salary of £10,400,000. In 2021, Kane will earn a base salary of £10,400,000, while carrying a cap hit of £10,400,000.
walikuwa na agreement kwamba Kane angeuzwa msimu huu. Lakini ndio Levy alimgeuka.

All in all Kane siku hizi anaperform akijisikia, ndo maana Totte wameshindwa kuwa Consistent.
 
Nimekuelewa sana, Naona yuko kibiashara zaidi
bure hapana aisee.

Thamani ya Lukaku sokoni kwa sasa sio chini £85M.

Marina ni mwepesi sana kuuza wachezaji watakaoleta faida sokoni, kuliko apate hasara yuko tayari kumtoa mchezaji kwa mkopo labda thamani yake itapanda tena.

Batshuayi mkataba wake ulikuwa umeisha, Marina alimuongeza mwaka 1 then mkopo kuendelea kuitafuta faida ya kumuuza.

Keppa alivyokuwa anavurunda balaa na baada ya Mendy kutua, Sevilla walileta 60M kwa Keppa, Marina akaipiga chini anataka ile £80M tuliyomnunua.

Hivyo hivyo anawakumbatia wakina Barkely, Drink water. Amewaachia wakina Bakayoko, Zappacosta baada ya makubaliano ya faida loan with an option to buy.

Lukaku kuuzwa kwa hasara tusahau under Marina administration. Atamaliza mkataba wake Stanford Bridge
 
Mkuu fuatilia vizuri, hilo deal jamaa alisign akijua anaondoka msimu huu ili auzwe kwa gharama kubwa matokeo yake kapigwa na kitu kizito.
Swali linabaki kwanini KANE alisign mkataba mpya kama alikuwa anataka kuondoka spurs?

Harry Kane signed a 6 year / £62,400,000 contract with the Tottenham Hotspur F.C., including an annual average salary of £10,400,000. In 2021, Kane will earn a base salary of £10,400,000, while carrying a cap hit of £10,400,000.
 
Sijawahi mkubali Lukazigo toka yuko huko Italia nilikuwa naona ana bahatisha tu. Lukaku wa Everton ndio alikuwa mchezaji
bure hapana aisee.

Thamani ya Lukaku sokoni kwa sasa sio chini £85M.

Marina ni mwepesi sana kuuza wachezaji watakaoleta faida sokoni, kuliko apate hasara yuko tayari kumtoa mchezaji kwa mkopo labda thamani yake itapanda tena.

Batshuayi mkataba wake ulikuwa umeisha, Marina alimuongeza mwaka 1 then mkopo kuendelea kuitafuta faida ya kumuuza.

Keppa alivyokuwa anavurunda balaa na baada ya Mendy kutua, Sevilla walileta 60M kwa Keppa, Marina akaipiga chini anataka ile £80M tuliyomnunua.

Hivyo hivyo anawakumbatia wakina Barkely, Drink water. Amewaachia wakina Bakayoko, Zappacosta baada ya makubaliano ya faida loan with an option to buy.

Lukaku kuuzwa kwa hasara tusahau under Marina administration. Atamaliza mkataba wake Stanford Bridge
 
Hapa Marina aliingia cha kike haswa ingawa yeye ni mwanamke pia.

Kwa data hizi sijui kama anaweza kuuzika kwa sh ngapi.
Nasikia bosi ndo alipush mchongo....TT machaguo yake kabisa yalikuwa chaguo la 1 halaand ikashindikana la 2 lewandowski ikawa ngumu na ya tatu ilikuwa dusan vlahovic ...Ila inter walivyomuweka lukaku sokoni kutokana na changamoto z uchumi ndo wakapush deal
 
KANE auzwe? Levy hajachanganyikiwa kiasi hicho cha kumuuza Kane. Conte anaweza kufukuzwa Kane akabaki
Kane atauzwa msimu huu wa kiangazi tena watakaomnunua ni kipara, jinsi alivyowanyanyasa Manshit jana lazima watamfuatilia
Spurs wasipomuuza Kane watakuwa na hasara kubwa kwa sababu Kane atacheza akiwa unhappy, Kane kwa sasa anachotaka ni makombe
Anaona wivu vijana wadogo kama akina Odoi wakibeba UEFA, Worldcup wakati yeye hana, kwenye timu ya Taifa hana
Vijana wadogo kama akina Foden wakibeba EPL back2back
Aisee simuoni Kane akitulia dirisha la kiangazi
Dirisha lililopita penyewe alileta mgomo wa kisomi akapotezea tu baada ya kuona imeshindikana kuhama
 
Swali linabaki kwanini KANE alisign mkataba mpya kama alikuwa anataka kuondoka spurs?

Harry Kane signed a 6 year / £62,400,000 contract with the Tottenham Hotspur F.C., including an annual average salary of £10,400,000. In 2021, Kane will earn a base salary of £10,400,000, while carrying a cap hit of £10,400,000.
Huo mkataba umenaki miaka miwili tu, utaisha msimu wa kiangazi 2024. Kwa mchezaji kama Kane huu ndio msimu wake wa kumboreshea mkataba au kumuuza kwa faida hasa ukichukulia pia umri wake wa miaka 28 sio rafiki kwake na kwa timu
 
Karim Adeyemi has been strongly linked with a move to Chelsea in recent months
Current team: RB Salzburg
Age: 20yo
Goal scored 18 goals in 29 appearances across all competitions, including three in the Champions League.
Current market value: £34m
1645362053076.png
 
Watubadilishie tuwape Lukaku
Hahahahaha ......... nacheka sana watu mlivyomgeuka Lukaku, wakati anataka kununuliwa tupo wawili humu tulikua tunamkataa kwamba tutapgwa ila watu walikua wabishi. Muda ndio umeongea.
Halafu pia Lukaku sio mbovu hivyoooo. pale chelsea hata akija Halland bado ataonekana mzigo.na pia hata aje mchezaji mithili y Fab bado kuna tatizo. Naanza kupata mashaka na ufundishaji wa TT.
 
Njia pekee ya kumfunga city ni no 9 wako kuwa na uwezo wa kushuka chini nakuchukua mpiria na hii hufungua na fasi kwa wengine

Msim uliopita tulimfunga city coz ya werner,kai,mount,
Werner alikuwa hakai kama target man,bal alikuwa anazunguka pote,

Ila kwa sasa target man hatuwez shinda against city kwa sabab mtu wetu hawez shuka chin akaomba mipira zaidi ya yeye kusubir, n hawez zunguka pale mbele pote,
 
Hahahahaha ......... nacheka sana watu mlivyomgeuka Lukaku, wakati anataka kununuliwa tupo wawili humu tulikua tunamkataa kwamba tutapgwa ila watu walikua wabishi. Muda ndio umeongea.
Halafu pia Lukaku sio mbovu hivyoooo. pale chelsea hata akija Halland bado ataonekana mzigo.na pia hata aje mchezaji mithili y Fab bado kuna tatizo. Naanza kupata mashaka na ufundishaji wa TT.
Msim uliopita with werner tulikuwa na uwezo wa kucreat nafas zaidi ya 3 kwa kila mech ila shida ilikuwa kwenye kufunga,

TT anachofanya sasa ni kulazimisha lukaku acheze kwa system yake na nikitu ambacho kishafail. Uchezaj wa tt hauhitaj mtu aliyestatic,

Lukaku either awe anashuka chin kuchukua mpira na si awe anakaa sehem moja tu akisubiri
Angalia magoal ya spurs jana na jins kane alivyokuwa anashuka chini

Halaf angalia na werner wakat tunacheza na city fainal uefa alivyokuwa anacheza si wachezaj wanaokaa sehem moja unakuta wanacreate space kwa wengine
 
Hahahahaha ......... nacheka sana watu mlivyomgeuka Lukaku, wakati anataka kununuliwa tupo wawili humu tulikua tunamkataa kwamba tutapgwa ila watu walikua wabishi. Muda ndio umeongea.
Halafu pia Lukaku sio mbovu hivyoooo. pale chelsea hata akija Halland bado ataonekana mzigo.na pia hata aje mchezaji mithili y Fab bado kuna tatizo. Naanza kupata mashaka na ufundishaji wa TT.
Mchezaji yeyote anageukwa na atageukwa akicheza vibaya
Kesho Lukaku akicheza vizuri akaanza kufunga magoli mtamfagilia hakika
Hizo ndizo characteristics za mafans wote
 
Njia pekee ya kumfunga city ni no 9 wako kuwa na uwezo wa kushuka chini nakuchukua mpiria na hii hufungua na fasi kwa wengine

Msim uliopita tulimfunga city coz ya werner,kai,mount,
Werner alikuwa hakai kama target man,bal alikuwa anazunguka pote,

Ila kwa sasa target man hatuwez shinda against city kwa sabab mtu wetu hawez shuka chin akaomba mipira zaidi ya yeye kusubir, n hawez zunguka pale mbele pote,
Lukaku ni mzingo kwenye timu
 
Keppa alivyovurunda alipigwa benchi na £80M yake.

Iweje Lukaku akumbatiwe?
Mendy alisajiliwa summer ,

Kepa aliendelea kucheza mpka pale msim ulipoisha na mendy kusajiliwa

Kwa lukaku unahisi unaweza muweka bench mchezaj wa 100m kwa tim kama chelsea, ambayo wachezaj wana power kuliko kocha

Lukaku angefanya vile kwa pep ndio ilikuwa mwisho wake kucheza, hata kwa arteta asingecheza ila kwtu kumpiga bech mchezaj aliyenunuliwa kwa gharama kubwa kocha siku zote huwa anapay the price

Torres kwa ancellot
Shevchenko kwa mourinho
 
Mendy alisajiliwa summer ,

Kepa aliendelea kucheza mpka pale msim ulipoisha na mendy kusajiliwa

Kwa lukaku unahisi unaweza muweka bench mchezaj wa 100m kwa tim kama chelsea, ambayo wachezaj wana power kuliko kocha

Lukaku angefanya vile kwa pep ndio ilikuwa mwisho wake kucheza, hata kwa arteta asingecheza ila kwtu kumpiga bech mchezaj aliyenunuliwa kwa gharama kubwa kocha siku zote huwa anapay the price

Torres kwa ancellot
Shevchenko kwa mourinho
Usajili ni Gambling hata kama ni wa pesa nyingi, atawekwa benchi kiaina, anaweza hata akawekewa Broja hapo yeye akasugua benchi mpaka arudi tena kupiga magoti Inter. Na inter sidhani kama watamtaka hata bure. Bosi wao alishasema Dzeko na Lukaku wako sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom