Hakuna sare, kane kafunga goli dakika ya 90+5Man city anashikwa shikwa tako huko na akijitahidi sana leo ni sare.
Hiv Tottenham anamuwezeaje Pep kwa jinsi unavyoona kampiga nje ndaniCrazy games
Manshit vs Spurs
2-3
FT
City mwepesi tu ndio mana ole sabaya alikua anajipgia tu kila siku, wale wakimbize tu basiii. Hata liva kw uchezaji wake ni rahisi sana kumpga city ila kw uchezaji wa chelsea wa Rudger kupewa mpira na kutuliza then akae nao amesimama dk.5 then ampasie beki mwenzie nae atulie nao dk.5 then arudishe kw kipa,sioni tukimfunga city.Hiv Tottenham anamuwezeaje Pep kwa jinsi unavyoona kampiga nje ndani
Sijui anakwama wapi, yaani kashindwa kutafuta/kukaba apate mpira.dakika 45 za kipindi cha kwanza romelu lukaku aligusa mpira mara 2 na kipindi cha pili aligusa mpira mara 5.
Sijui anakwama wapi, yaani kashindwa kutafuta/kukaba apate mpira.
Hata kushuka kwenye eneo la Midfielder ili akabe kashindwa
Hapa Marina aliingia cha kike haswa ingawa yeye ni mwanamke pia.Hamna mchezaji mle, lile ni takataka. Sijui mnalipendea nn lile zigo, mm ndio mtu wa kwanza kupinga usajili wake
Kikubwa hapa tufocus kwenye top 4, mengine yatajileta.Kwa sasa naona tutacheza bila presha, huku presha ikiwa kwa Man shit na wale kuku broila. Tuna mchezo mmoja mkononi tukishida zinabaki pointi 10 ili kumpata kinara. Nimeangalia fixture ya game zetu tutikaza tutarudi kwenye mbio za ubingwa
Hapa Marina aliingia cha kike haswa ingawa yeye ni mwanamke pia.
Kwa data hizi sijui kama anaweza kuuzika kwa sh ngapi.
Kikubwa hapa tufocus kwenye top 4, mengine yatajileta.
Huyu sijui atauzika kwa sh ngapi, hata Newcastle nao sizani kama wanaweza kumuwaziaKwa soka la sasa EPL striker aina ya Lukaku kusubiri pass moja ya mwisho ili afunge ni wastage of time.
Hapo lazima Lukaku uguse mpira mara chache. Hii aina yake ya ushambualiaji kwa EPL ya sasa haina nafasi tena labda huko Italy.
Mastriker wa EPL wanapambana, wanashuka chini kuchukua mpira, wanachezesha washambuliaji wengine na wanapopata nafasi yao ya msingi wanafunga haswa.
Lukaku kusimama pale mbele kama sanamu kusubiria pass ya mwisho ni kucheza pungufu.
Ukimuangalia Kane anavyocheza pale Spurs under Conte sidhani kama Conte atamtaka mchezaji aina ya Lukaku pale spurs. Kane anafanya mambo mengi sana (full package) zaidi ya Lukaku.
Aisee Newcastle walete pesa tuwauzie Lukaku.
WERNER anafanya mambo mengi sana zaidi ya Lukaku, ila ndio hivyo upepo umemkalia vibaya.
Werner angekuwa kwenye ule ubora wake wa bundasliga kwa nafasi nyingi zinazotengnezwa the blues ungekuta anaongoza kwa ufungaji EPL
Kwa soka la sasa EPL striker aina ya Lukaku kusubiri pass moja ya mwisho ili afunge ni wastage of time.
Hapo lazima Lukaku uguse mpira mara chache. Hii aina yake ya ushambualiaji kwa EPL ya sasa haina nafasi tena labda huko Italy.
Mastriker wa EPL wanapambana, wanashuka chini kuchukua mpira, wanachezesha washambuliaji wengine na wanapopata nafasi yao ya msingi wanafunga haswa.
Lukaku kusimama pale mbele kama sanamu kusubiria pass ya mwisho ni kucheza pungufu.
Ukimuangalia Kane anavyocheza pale Spurs under Conte sidhani kama Conte atamtaka mchezaji aina ya Lukaku pale spurs. Kane anafanya mambo mengi sana (full package) zaidi ya Lukaku.
Aisee Newcastle walete pesa tuwauzie Lukaku.
WERNER anafanya mambo mengi sana zaidi ya Lukaku, ila ndio hivyo upepo umemkalia vibaya.
Akiwa mobile haina shida, akisimama kama mlingoti hapo ndipo penye shidaKwa soka la sasa EPL striker aina ya Lukaku kusubiri pass moja ya mwisho ili afunge ni wastage of time.
Hapo lazima Lukaku uguse mpira mara chache. Hii aina yake ya ushambualiaji kwa EPL ya sasa haina nafasi tena labda huko Italy.
Mastriker wa EPL wanapambana, wanashuka chini kuchukua mpira, wanachezesha washambuliaji wengine na wanapopata nafasi yao ya msingi wanafunga haswa.
Lukaku kusimama pale mbele kama sanamu kusubiria pass ya mwisho ni kucheza pungufu.
Ukimuangalia Kane anavyocheza pale Spurs under Conte sidhani kama Conte atamtaka mchezaji aina ya Lukaku pale spurs. Kane anafanya mambo mengi sana (full package) zaidi ya Lukaku.
Aisee Newcastle walete pesa tuwauzie Lukaku.
WERNER anafanya mambo mengi sana zaidi ya Lukaku, ila ndio hivyo upepo umemkalia vibaya.
Conte anajua namna ya kumtumia Lukaku subiri Kane auzwe ndio utajua.Kwa soka la sasa EPL striker aina ya Lukaku kusubiri pass moja ya mwisho ili afunge ni wastage of time.
Hapo lazima Lukaku uguse mpira mara chache. Hii aina yake ya ushambualiaji kwa EPL ya sasa haina nafasi tena labda huko Italy.
Mastriker wa EPL wanapambana, wanashuka chini kuchukua mpira, wanachezesha washambuliaji wengine na wanapopata nafasi yao ya msingi wanafunga haswa.
Lukaku kusimama pale mbele kama sanamu kusubiria pass ya mwisho ni kucheza pungufu.
Ukimuangalia Kane anavyocheza pale Spurs under Conte sidhani kama Conte atamtaka mchezaji aina ya Lukaku pale spurs. Kane anafanya mambo mengi sana (full package) zaidi ya Lukaku.
Aisee Newcastle walete pesa tuwauzie Lukaku.
WERNER anafanya mambo mengi sana zaidi ya Lukaku, ila ndio hivyo upepo umemkalia vibaya.
Tuletewe tu Director wa sport mwinginebure hapana aisee.
Thamani ya Lukaku sokoni kwa sasa sio chini £85M.
Marina ni mwepesi sana kuuza wachezaji watakaoleta faida sokoni, kuliko apate hasara yuko tayari kumtoa mchezaji kwa mkopo labda thamani yake itapanda tena.
Batshuayi mkataba wake ulikuwa umeisha, Marina alimuongeza mwaka 1 then mkopo kuendelea kuitafuta faida ya kumuuza.
Keppa alivyokuwa anavurunda balaa na baada ya Mendy kutua, Sevilla walileta 60M kwa Keppa, Marina akaipiga chini anataka ile £80M tuliyomnunua.
Hivyo hivyo anawakumbatia wakina Barkely, Drink water. Amewaachia wakina Bakayoko, Zappacosta baada ya makubaliano ya faida loan with an option to buy.
Lukaku kuuzwa kwa hasara tusahau under Marina administration. Atamaliza mkataba wake Stanford Bridge
You dont understand ndo maana anacheza kama hataki. anaperform match moja anapoa zake.KANE auzwe? Levy hajachanganyikiwa kiasi hicho cha kumuuza Kane. Conte anaweza kufukuzwa Kane akabaki