Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa unakenua meno kama chizi aliyeona jalala jipya ....Nadhan pep amekula desa la kutosha View attachment 2117836
Hivi mtu anayewambia hivo angewagonga nje ndani kwa akili ndogo kama ya pimbi





Tulistahili kupokea ile ofa £85M ya Buyern Munich kwa ODOI. Tulipiga teke furushi la pesa
