Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani hata ushindi huu sikuusheherekea vizuri kwa sababu Chelsea haikucheza vizuri
Mabeki wamekaa na mpira tukaonekana tuna possesion ya 70%
Werner ndie kaingia akaichangamsha kule mbele

Mzee hizo ni shida zako binafsi.
Hao wapinzani nao walikuwa wako vizuri bingwa wa South America ulitegemea acheze kama lipuli Fc match ya final? Au unafikiri na yeye hilo kombe alikuwa halitaki?
Mpira kukaa kwa mabeki ndo njia bora zaidi ya ku defense na ku attack ndo maana Thiago Silva kapewa tuzo ya mchezaji bora wa haya mashindano means alichokuwa anakifanya ni sahihi na ndo sababu ya sisi kuwa mabingwa.

Tumefika final tumebeba kombe kama hauna furaha hizo ni shida zako binafsi... Na next week ujiandae tena kutokufuraiha coz kombe la ligi tuko na Liverpool na uhakika tutacheza hvhv na tutamfunga na kikombe tutakileta Stamford bridge.
 
Kombe tumebeba kwa kubahatisha, Ukweli Chelsea mbovu hakuna jina jingine
Katikati hakuna ubunifu na mbele ni walimbwene wa kujionyesha mbele tu, kufunga magoli hawawezi
Huu ndio ukweli ukiangalia game za Chelsea hivi karibun unaliona kabisa hili, timu haina muunganiko kabisa wachezaji wameshafika kileleni na kuridhika, game ya jana yenyewe ni Mungu alikuwa upande wao
 
Kombe tumebeba kwa kubahatisha, Ukweli Chelsea mbovu hakuna jina jingine
Katikati hakuna ubunifu na mbele ni walimbwene wa kujionyesha mbele tu, kufunga magoli hawawezi
Mkuu lembu thats nosense luck is part of the game, in soccer we count trophies not how you got them........tena luck sio kwa Chelsea tu kila timu ina equal rights ya lacky chelsea imejianda vizuri kutumia hiyo bahati unao sema tuko wa tatu kwenye Epl sio by accidentally ni uwezo, wewe unadhani Arsenal TTnam Man u hawataki kua kwenye nafasi ya nne au ?
 
Jana nilichoona kipindi cha kwanza tulicheza kawaida sana kwa sababu ya hali ya hewa JOTO KALI.

Ndio maana wachezaji walikuwa wanavuja jasho sana + misuli kuwaka moto.

Kipindi cha pili na kuendelea hali ya hewa ilianza kuwa afaueni + zile SUB tukarudi kwenye ubora wetu.

Opponent wetu akaelekeza nguvu kwenye kukaba zaidi hivyo nafasi za kufunga zikazidi kuwa finyu zaidi.

Pamoja na madhaifu ya safu yetu ya ushambualiaji kutofunga magoli mengi pia zaidi timu bado inaendelea kuteseka kuwamiss Chilwell + James kwenye mashambulizi.
Sahihi kabisa kaka.
Chilwell na james ndo engine ya timu katika attack uwepo wao ndo ulitufikisha hadi kuwa at the top of the table. Ila baada ya kuumia tumepunguza nguvu katik attack system yetu.
Mfn james anapiga cross,anakaba,kwenye sehem ya kiungo ana possess mpira. Na hatari zaid anafunga bila pressure.
 
Tulistahili kupokea ile ofa £85M ya Buyern Munich kwa ODOI. Tulipiga teke furushi la pesa
Odoi hauzwi kwa sababu ya philosophy ya club kwamba wanahitaji timu itengenezwe kutokea Cobham academy.
Kocha yeyote anayefanya kazi Cfc analifahamu hili.
Odoi ana potential ila sasa amekosa mtaalam kama Kloop au Pep ili aweze kuivumbua hiyo potential. Ila dogo ana kitu fulani hivi cha ziada kama alivyo Foden. Ndo maana unaona bayern walimhitaji sana hata kwa mkopo tu.
 
Dirisha kubwa la Usajili sioni WERNER akipona kutouzwa huko Bundersliga
Kaka werner ana maisha marefu sana Chelsea. Na ni chaguo la TT. Uwepo wa kocha mjerumani unawapa amani sana wachezaji wa kijerumani wote walioko kikosini.
Pia werner bado ni mzuri sana.
 
Chelsea yawa timu ya tano kushinda makombe yote makubwa
Zingine ni
  1. Juventus
  2. Ajax
  3. Manchester United
  4. Bayern Munich
Kama timu yako haiko kwenye list kula wembe na pilipili mbuzi ukalale
Sijaiona Real Madrid hapo.
 
Sijaiona Real Madrid hapo.
Real Madrid hawakushinda makombe yote makubwa kwa sababu hawana kibindoni Cup Winners Cup na hawatakuwa nayo kwa sababu hilo kombe lilifikia ukingoni mwaka 1999. Timu ya mwisho kushinda hilo kombe ilikuwa ni Lazio ya Italy. AC Milan ni timu ya pili baada ya Real Madrid iliyofanya vizuri sana kwenye UEFA kwa kubeba mara saba lakini haikuwahi kushinda UEFA Cup/Europa League.

Kwa maelezo haya Real Madrid haitaungana na orodha ya timu zilizobeba makombe yote makubwa kwa sababu hilo kombe la Cup Winner Cup halipo tena
1644738538125.png
 
Let's wait and see
Never sell Odoi, Never sell Werner

Odoi na Werner hawako kwenye orodha ya kuuzwa, hiyo sahau, kocha hakuweza kuwatumia tu vizuri
Jana waliosababisha tushinde ni Odoi pamoja na papara zake alitoa krosi murua iliyopikwa ikaiva vizuri kwa Lukaku, Werner alipoingia akaivuruga defence ya Parmeiras kisawasawa na Havertz akamalizia kazi

Kocha ndie anatakiwa kutumia ujuzi na uzoefu wake kuhakikisha hao forwards wanaanza kufunga magoli. Sio tuwauze wachezaji halafu wakaenda kuwa akina De Bruyne na Salah halafu wanarudi kutuumiza, never alow that to happen again

Odoi ni bonghe la mchezaji, akifikisha miaka 23/24 akiwa timu nyingine, Chelsea itatumia Paundi mil 100+ kumrudisha darajani

Tunaweza kuhitaji striker wa pili na kiungo mchezehsaji, mwenye uwezo mkubwa wa assists, through balls passes, short passing kama za Jorginho na long balls kwa sababu kwa sasa hatuna kiungo wa caliber hiyo
 
Kaka werner ana maisha marefu sana Chelsea. Na ni chaguo la TT. Uwepo wa kocha mjerumani unawapa amani sana wachezaji wa kijerumani wote walioko kikosini.
Pia werner bado ni mzuri sana.
Sitaki Werner auzwe ila natamani niingie uwanjani nimchape viboko 12 za matakoni kwa sababu siku akiamua kuudhi anaudhi kweli kweli, siku akiamua kucheza vizuri anacheza vizuri kweli kweli
 
Sitaki Werner auzwe ila natamani niingie uwanjani nimchape viboko 12 za matakoni kwa sababu siku akiamua kuudhi anaudhi kweli kweli, siku akiamua kucheza vizuri anacheza vizuri kweli kweli
Kweli braza werner akiamua kutukera anajua sana kutuudhi.
 
Mkuu lembu thats nosense lucky is part of the game, in soccer we count trophies not how you got them........tena lacky sio kwa Chelsea tu kila timu ina equal rights ya lacky chelsea imejianda vizuri kutumia hiyo bahati unao sema tuko wa tatu kwenye Epl sio by accidentally ni uwezo, wewe unadhani Arsenal TTnam Man u hawataki kua kwenye nafasi ya nne au ?
Lucky is part of the game but not part of the plan, ukitegemea bahati kwa ubovu wa timu kama hii sasa, tutaendelea kushinda makombe ya semi final na final tu lakini kwenye complete league kama EPL never will we win the title or top 4. Kocha abadilishe timu iache kubahatisha ili tubakie top 4, badala yake hakuna, bahatisha haitatufikisha mbali BRO
 
Jana Mount kaumia, ila severity ya injury yale bado haijajulikana
Hopeful kwenye fainal ya carabao atakuwepo
 
Lucky is part of the game but not part of the plan, ukitegemea bahati kwa ubovu wa timu kama hii sasa, tutaendelea kushinda makombe ya semi final na final tu lakini kwenye complete league kama EPL never will we win the title or top 4. Kocha abadilishe timu iache kubahatisha ili tubakie top 4, badala yake hakuna, bahatisha haitatufikisha mbali BRO
Sawa ila kutegeneza timu sio mchezo Liverpool ilichukua miaka 25 ku tegeneza wining team hiyo unao iona, Chelsea ni nzuri hapo ilipo inahitaji only 1 self motivated en talented player kuiongoza tu, kua nafasi ya tatu katika Epl sio mchezo tena kumbuka na uwezekano wa kua mabingwa upo japo sio % kubwa, timu nyingi zinatamani kua nafasi ya tatu, ila zimeshindwa kwahiyo uzibeze timu yetu,.....soccer is all about winning trophies ambacho tumefanikiwa
 
Mzee hizo ni shida zako binafsi.
Hao wapinzani nao walikuwa wako vizuri bingwa wa South America ulitegemea acheze kama lipuli Fc match ya final? Au unafikiri na yeye hilo kombe alikuwa halitaki?
Mpira kukaa kwa mabeki ndo njia bora zaidi ya ku defense na ku attack ndo maana Thiago Silva kapewa tuzo ya mchezaji bora wa haya mashindano means alichokuwa anakifanya ni sahihi na ndo sababu ya sisi kuwa mabingwa.

Tumefika final tumebeba kombe kama hauna furaha hizo ni shida zako binafsi... Na next week ujiandae tena kutokufuraiha coz kombe la ligi tuko na Liverpool na uhakika tutacheza hvhv na tutamfunga na kikombe tutakileta Stamford bridge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom