Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelseafc haina huwitaji wa Tielemans sisi shida yetu ni no 6 mchezaji wa chini Jorginho kacheza game nyingi kwasababu hatuna mchezaji anayecheza kwenye nafasi yake Kovacic analazimishwa sometimes kuchezea nafasi hiyo lakini sio nafasi yake
Mimi ningekuwa kocha, huyu ningemchukua, ni creative kwenye attack kuliko hawa tulio nao
 
ADIDAS BALL GOLDEN AWARD
1644695826931.png
 
Chelsea yawa timu ya tano kushinda makombe yote makubwa
Zingine ni
  1. Juventus
  2. Ajax
  3. Manchester United
  4. Bayern Munich
Kama timu yako haiko kwenye list kula wembe na pilipili mbuzi ukalale
Madrid inakuaje
 
Man shit wana wivu sana, wameanza kusema sisi tunakazana kushinda Micky Mouse wakati wao wanapanua....
1644696554338.png
 
Yaani hata ushindi huu sikuusheherekea vizuri kwa sababu Chelsea haikucheza vizuri
Mabeki wamekaa na mpira tukaonekana tuna possesion ya 70%
Werner ndie kaingia akaichangamsha kule mbele
 
Ukiangalia fainal za miaka iliyopita hakuna tim iliyochukuwa cwc kiurahisi

Kwa wale mliotegemea game ya leo itakuwa rahisi mlikuwa mnajidanganya
2020 bayern alishinda 1-0 kama sijakosea
2019- liverpool alishinda 2-1 katika extra time
2008-man utd alishinda 1-0

Ni barce tu dhid ya santos ndio walishinda magoal mengi kama sijasahau
 
Ana assist ngapi mpaka useme ni creative?
Ana uwezo mkubwa kwenye kubuild up mashambulizi yenye kuleta magoli
Through balls - very strong
Passing - strong
Long balls - strong
Anayemfikia Chelsea labda Kova tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom