Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa kweli chief kwa sasa tunahitaji wachezaji wanaume kweli kweli mashine za kazi, la sivyo EPL tutaisikia kwa jirani.

Tuachane na wachezaji wa kupapasa mpira, urembo mbele kila saa kushika na kutengeneza nywele kichwani.
ndo ukwely uo maana tuna kikosi kikubwa ila injury za wanaume wawili zmetutoa kwenye njia inatakiwa ue na watu ambao wanaitafuta namba na so kuridhika kama wanavofanya wakina barkley ata waspocheza wanaona poa2
 
atuwez leta CDM wawil akat atuna CAM mi naona apo kati ya rice au auriel atakuja mmoja kwasabab tayar una cova kante jorginho tatzo kubwa liko either kwenye winga tukipata mtu kama kounde, dest au cucurela tutajiweka kwenye position nzur
Auriel anacheza nafasi nyingi, sio CDM tu, pia anacheza atacking MF na Midfield za kawaida yaani CM etc, kama ambavyo hata Declan Rice anacheza CDM na Attacking
 
Kwa kweli chief kwa sasa tunahitaji wachezaji wanaume kweli kweli mashine za kazi, la sivyo EPL tutaisikia kwa jirani.

Tuachane na wachezaji wa kupapasa mpira, urembo mbele kila saa kushika na kutengeneza nywele kichwani.
Mara nyingi tuna points nzuri lakini hao wakubwa wanasikilizaga maoni ya mashabiki?
 
ndo ukwely uo maana tuna kikosi kikubwa ila injury za wanaume wawili zmetutoa kwenye njia inatakiwa ue na watu ambao wanaitafuta namba na so kuridhika kama wanavofanya wakina barkley ata waspocheza wanaona poa2
Huko mbeleni hata sub au rotation za akina Reece na Chilwell zitahitajika kama main formation yetu itabaki kuwa 343
 
Timu limeshinda lakini halina furaha ,Wala dunia haijui tuko busy na valentine ....
 
Odoi amemshukuru Tuchel kwa kumzuia kuhama msimu uliopita wa kiangazi.
Odoi alikuwa ahamie BVB kwa mkopo halafu baadaye kununuliwa kabisa lakini Tuchel alimzuia na kudai kuwa anamuhitaji. Odoi alitaka kuhama kwa kukosa muda wa kucheza chini ya Tuchel alipoichukua klabu hii mwaka jana January 2021.
Sasa Odoi anadai angehama angekuwa anaangalia tu kwenye runinga timu kubwa ikibeba kombe kubwa kama hili
Odoi alitoa assist ya krosi nzuri kwenye goli la kuongoza lililofungwa kwa kichwa cha nguvu na Romelo Lukaku lakini baadaye ikasawazishwa na Mariga kwa penalti yenye utata baada ya Silva kuambiwa na refa kupitia VAR kuwa kaunawa mpira.

Odoi sasa anasema

"Makombe makubwa kama haya ndizo mechi ungetaka kuhusika nazo kwenye klabu kama Chelsea"
"Mechi kubwa, Makombe makubwa unatamani kushinda iwezekanavyo kwenye klabu kama hii. Lengo letu daima ni kushinda kila mechi na kushinda kwa wingi iwezekanavyo"

‘Big trophies like this are games you want to be involved in with a club like this,’ said Hudson-Odoi.

‘Big games, big trophies, you want to win as much as possible with a club like this. Our aim is always to win games and win as many as possible.

Odi anaendelea kudai kuwa angehama asingeweza kucheza mechi kama hizi na kushinda makombe makubwa kama haya. Anafurahi sana kuwa alibaki Chelsea na kwamba amepata fursa ya kucheza.

‘If I went out in the summer I wouldn’t get opportunities to play like this and enjoy the games and win trophies. So I’m really delighted that I stayed and obviously I got the opportunity to play.’
 
Sidhani, ODOI katika maisha yake yote ya soka Mungu atakayomjalia hawezi kufikia kiwango cha mwingereza mwenzie Raheem Sterling achilia mbali kufikia kiwango cha Hazard.

Odoi anafaa kuwa SUB kwenye kikosi cha BLUES kitakachobeba next EPL
Hupo sawa kabisa mzee sijawai kumuona odoi akikua zaidi kila siku naona utoto unazidi kwake
 
IMG_20220215_132346.jpg
in Tuchel We Trust..
#CFC💙💙💙
 
TT yuko vizuri sana. Msimu ujao tunabeba EPL naamini kabisa dirisha kubwa kule mbele tutasajili mashine za kazi.
Usitegemee kama kuna forward yeyote itakayosajiliwa
Tegemea kumuona lukaku tena kule mbele labda itokee tim itakayomtaka lukaku na ilete pesa ya maana na hicho kitu sikioni kikitokea

Marina hawez toa paun 100 kwa ajili ya kununua striker mwingine

Wachez wakuja ni lw/Rw,dm,wingback na cb
Hizo ndio tetesi zinavyosema
 
Issue sio kusajili ilimradi usajili, tunahitaj wachezaj watakaondana na mfumo wa kocha,

Liva anaweza sajil mchezaj wa paun 20 coz klop anakuwa anamtaka ndio maana unakuta leo hii wakina jota wanaperform vizur kwa sababu kocha ndie anayemuhitaj na anajua kabisa huyu ataendana na mfumo wake
 
Sasa the blues tunasajili kwa jinsi management inavyoona inafaa na sio matakwa ya kocha.

TT hakumtaka Lukaku ila ameletewa atafanyaje sasa?

Na bado ataletewa wengine na wengine na akishindwa kuwatumia kupata ubingwa atafukuzwa.

Ugomvi wa Conte na management ndio huo, Conte alitaka asikilizwe kwenye wachezaji anaotaka wasajiliwe ila management hawakutaka.

Bora hata babu sari alikuja na Joghnho wake kama moja ya sharti la kuwa kocha the blues
Usajili wa ubishoo ndio iliyoiua Manure, mbaya sana hii. Asikilizwe kama alivyokuwa anasikilizwa MOU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom