Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Bora kifo kuliko kushabikia na kuvaa jezi ya hii timu
Bora kifo kuliko kushabikia na kuvaa jezi ya hii timu
Duh, hao wachezaji wetu wanakosa scoring mentality sijui why?. Hata mchezaji wa kawiada akienda Liverpool au Man City wanakuwa na morale kubwa ya kushinda na kufunga magoli. Hapa kwetu labda kuna shida nyuma ya paziaHavertz + Werner+ Lukaku + Odoi + Pulisic = JOTA View attachment 2116153
Jana alipewa reception kubwa na wachezaji. Uwepo wake utaongeza morale kwa wachezaji, Nawaza tuNauliza janani kocha wetu TT atakuwepo kwenye fainali ya kesho?
Bora kifo kuliko kushabikia na kuvaa jezi ya hii timu
Huna akili kenge ww
Mahakama : ndugu pain killer chagua kuhukumiwa kunyongwa mpaka kifo au kuachiwa huru na kushabikia team ya Chelsea
Pain killer : mheshimiwa hakimu Niko tayari kunyongwa Hadi kifo kuliko kuvaa Uzi wa wavimba macho Chelsea
1/Tunasajili ilimradi tuonekane tunasajil, ukiangalia liverpool n man city wanasajil mchezaj kutokana na matakwa ya kocha(wanampa kocha mchezaj wanaomtaka) ila huku kwetu tunasaj mchezaj ambae kocha hamtaki(mfano kocha anamtaka tchouamen/rice we unampa saul )Duh, hao wachezaji wetu wanakosa scoring mentality sijui why?. Hata mchezaji wa kawiada akienda Liverpool au Man City wanakuwa na morale kubwa ya kushinda na kufunga magoli. Hapa kwetu labda kuna shida nyuma ya pazia
Haya maombi Hadi shetani amekaa pembeni ,anahisi Kuna sheteni mwingine zaidi yakeLeo na jambo langu kwenye madhabau yangu na jambo zito sana lakuongea na miungu yangu kuhusu game ya chelsea ya leo.
mizimu yangu ya ukoo itakuwa ni jambo jema na la busara sana hii timu ikifungwa leo maana wana mdomo sana hawa fanya jambo miungu yetu hawa takataka ili kombe walisikie tu naomba baada ya kufungwa usiwavunje moyo tu ikiwezekana uwavunje hata shingo aminu.




TT naye si afanye hivyo1/Tunasajili ilimradi tuonekane tunasajil, ukiangalia liverpool n man city wanasajil mchezaj kutokana na matakwa ya kocha(wanampa kocha mchezaj wanaomtaka) ila huku kwetu tunasaj mchezaj ambae kocha hamtaki(mfano kocha anamtaka tchouamen/rice we unampa saul )
2/Scouting yetu tangu kaondoka Emiliano tumekuwa tukifanya sajil za hovyo, Marina ni mzuri kwenye negotiation ila sio mzuri kwenye kusajil
3/ ukiangalia wachezaj wa city na liverpool ni almost wote wamesajiliwa na makocha hao ila huku kwetu ni tofauti, kocha anarith wachezaj ambao hajawasajil yeye
3/Ukiangalia guardiola n klopp wakat wanakuja taratib walianza kuwapunguza wachezaj ambao hawawatak na kuleta ambao wataendana na mifumo yao
Tangu lini shabiki wa shetani naombi yake yakasikilizwa mshindwe kwa jina la YesuLeo na jambo langu kwenye madhabau yangu na jambo zito sana lakuongea na miungu yangu kuhusu game ya chelsea ya leo.
mizimu yangu ya ukoo itakuwa ni jambo jema na la busara sana hii timu ikifungwa leo maana wana mdomo sana hawa fanya jambo miungu yetu hawa takataka ili kombe walisikie tu naomba baada ya kufungwa usiwavunje moyo tu ikiwezekana uwavunje hata shingo aminu.
Chelseafc haina huwitaji wa Tielemans sisi shida yetu ni no 6 mchezaji wa chini Jorginho kacheza game nyingi kwasababu hatuna mchezaji anayecheza kwenye nafasi yake Kovacic analazimishwa sometimes kuchezea nafasi hiyo lakini sio nafasi yakeTielemans 'rejects' new Leicester contract
Leo game mmemkataaHuyu Broja kiwango chake ndio hiki? Au mechi ya leo imemkataa? Kama ni hivyo basi anasafari ndefu sana ya kuwa striker wa timu kubwa
Tofautisha kati ya HEAD COACH vs MANAGER.
Nyumbu, City, Aser8, Liverkuku kocha wao ni Manager anayo madaraka makubwa ya kuamua kumsajili mchezaji gani au kumuuza mchezaji gani, management inamsikiliza na kutenda.
The BLUES kocha wetu sio manager ni Head COACH, mambo ya usajili na kuuza yanaamuliwa na Managers huko juu.
Unaomba uletewe Lukaku unaletewa Morata, unamtaka Halland unaletewa Lukaku.
Management inasaka Kocha mpya huku wakina Pulisic, Ziyech wanasajiliwa.
Nadhani pia falsafa yetu ya kufukuza makocha mara kwa mara labda management wanaona kocha akiwa manager tutakuwa na wachezaji kachumbari.
Bora hilo jukumu la usajili management walisimamie wajenga timu wanaoitaka wao kwa falsafa ya club, kocha abaki na kazi ya kuwaongoza wachezaji uwanjani.
Oky sio shida Basi tupate Mkurugenzi mwenye jicho la usajili kama Emanelo.
Marina anatuletea wachezaji wenye kwashakoo
Nadhani pia falsafa yetu ya kufukuza makocha mara kwa mara labda management wanaona kocha akiwa manager tutakuwa na wachezaji kachumbari.
Huyo dogo hamna kitu bora hata Abraham mara 10Leo game mmemkataa