lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,468
- 21,903
Havertz alitupa UCLLukaku na Havertz ni matakataka tu
LUKAKU anahitaji tu kuweka conection na Kocha na wachezaji wenzake ili aweze kufunga magoli ya kutosha kubeba makombe. We are not too late
Havertz alitupa UCLLukaku na Havertz ni matakataka tu
Hamna kitu humu, huyu na Lukaku. Bora lukaku
Havertz alitupa UCL
LUKAKU anahitaji tu kuweka conection na Kocha na wachezaji wenzake ili aweze kufunga magoli ya kutosha kubeba makombe. We are not too late
Jana Kovacic ndiye alikuwa MOTM. Anastahili kabisa
Timu la kiboya Sana hili
Katika fainali ya 2013 Chelsea ilifungwa 1-0 na timu ya Corithians huku Carhill akipewa red card. Uchezaji wa Brazil inahitaji high level of concetration uwanjani. Ukiwa na wachezaji kama Alonso wanasinzia uwanjani usitegemee kushinda unapokutana na timu za Brazil ambayo Samba na Mpira ni kitu kimoja. Huu uchovu pia unaoonekana hasa baada ya HT inaweza kutuweka nje tena ya kombe hili kwa mara ya pili. Palmeiras FC imeshika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi ya Brazil.
Natamani kwenye hiyo mechi Alonso asicheze
Nashauri Kepa acheze hata kama Mendy atakuwepo kwa sababu Kepa hajatuangusha hadi sasa, tukimkatiza na kumuweka Mendy tutakuwa tuymemvunja moyo. Lukaku akiacha kukaa kama nguzo ya umeme anafanya kule mbele mabeki wawe busy kwa hiyo hata asipofunga yeye anawatengenezea wengine nafasi ya kufunga
Line up iwe hivi
formation 4-1-4-1
Lukaku
Havertz ------ Kovacic ----- Kante -----Ziyech
Jorginho
Sarr ------Rudiger ------ Silva ----- Azpilicueta
Kepa
kama tutacheza formation yetu pendwa ya 3-4-2-1 iwe hivi
Lukaku
Havertz ------ ----Ziyech
Sarr-----Kovacic ----- Kante----- Azpilicueta
Rudiger ------ Silva --- Christansen
Kepa
Havertz na Werner mimi nawaona wote sawa ila Werner akiwa kwenye form ni mzuri ila mara nyingi anaudhi utatamani uingie uwanjani umtandike vibokoWerner aanze.
Kurt Zouma yuko kwenye changamoto kubwa, Uafrika wa kupiga wanyama bado upo damuni kwake na akajisahau kuwa yuko Ulaya na sio Afrika. Kama RSPCA wakijiridhisha kuwa ni kweli Paka alipigwa na kuonewa, Kurt Zouma na Yoan Zouma wanaweza kufungwa jela na taaluma yake ya Mpira ikaishia hapo. Upelelezi unaofanyika sasa hivi ni ili kupata ushahidi wa kumpeleka mahakamaniHii issue ya zouma aisee hawa wazungu n wangese Sana duh...faini kubwa na klabu + kapoteza sponsorship n Adidas na huenda akapewa kifungo....ukijaribu kulinganisha na issue ya Suarez n ubaguzi Kwa evra hata haikuwekewa uzito km hv
Lakini mkuu mshahara ni makubaliano binafsiWachezaji Westham wanataka nyongeza ya mshahara baada ya kugundua kuwa Kurt Zouma ndie mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa pale kilabuni. Zouma alipigwa faini ya mshahara wake wa wiki mbili sawa na paundi 250,000.00 hii ina maana kuwa Zouma analipwa paundi 125,000 kwa wiki na hakuna mchezaji anayelipwa zaidi yake hapo. Mshahara huu umegundulika baada ya faini ya Zouma kuweka hadharani na kila mtu kujua
Wana nini cha ziadaWachezaji Westham wanataka nyongeza ya mshahara baada ya kugundua kuwa Kurt Zouma ndie mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa pale kilabuni. Zouma alipigwa faini ya mshahara wake wa wiki mbili sawa na paundi 250,000.00 hii ina maana kuwa Zouma analipwa paundi 125,000 kwa wiki na hakuna mchezaji anayelipwa zaidi yake hapo. Mshahara huu umegundulika baada ya faini ya Zouma kuweka hadharani na kila mtu kujua
Nauliza janani kocha wetu TT atakuwepo kwenye fainali ya kesho?
R.I.PGod ; Chagua kifo au kushabikia Chelsea ...
Mimi : kifo
Nakazia. Naomba wengine wakazie hiiR.I.P