last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,749
- 3,995
Ni mabingwa wa dunia ndo wanacheza
Siku zote li timu linalochukua CL kwa kubahatisha haliwezi chukua CWC.....
Madrid alichukua ..
Liverpool alichukua ...
Buyern alichukua ....
ila nyie mbumbumbu hamuwezi chukua .....
2012 mlibahatusha kwa buyern Munich kuchukua CL lakin club world cup mliangukia msumari mkali
Timu la kifala Sana ....
Kumbe kushiriki tu ,nyie mbumbumbu mnaenda kuaibika ,timu zote zinazochukuaga CL huwa zinachukua CWC lakin nyie kunguni daaa uwezo mdogo ,CL mmechukua kwa kubahatisha huko mnaenda kuchapwa na vitimu vya kawaida ....


Msijikaushe man utd tunacheza leo
Kumbe nyie takataka mnacheza leo na vibonde.
Mzee angalia hali ya hewa nayo huwa inachangia mtu ashazoea kucheza kwenye 5-10°C leo anacheza kwenye 35°C unahisi atacheza kweny kiwango kile kile kwa dakika 90??Tumeingia fainali kwa taabu sana hasa kipindi cha pili wachezaji wamechoka sijui kwa nini TT aliwaruhusu kwenda beach na jangwani kustarehe
Chelsea wakiendelea kucheza kivivu hivi jumamosi, tutafungwa na Palmeiras hakika


Hope not, Plymouth ilikuwa hivi hivi kwenye FA cup round 4. Kilichobadilika naona leo Lukaku kachangamkaMzee angalia hali ya hewa nayo huwa inachangia mtu ashazoea kucheza kwenye 5-10°C leo anacheza kwenye 35°C unahisi atacheza kweny kiwango kile kile kwa dakika 90??
Kingine hii michuano kaangalie hata matokeo ya misim iliyopita matokeo yake huwa yakoje, hakuna tim inayopata matokeo rahisi kwenye hatua ya nusu fainal na fainal
Siku Havertz akianza ,Lukaku anayo asilimia kubwa ya kufunga goliLukaku na Havertz ni matakataka tu
Unaangaliaga kwel jins havertz anavyocheza? Anaweza kuwa hafungi sana ila movement zake zinacreate chance nying za kufunga.Lukaku na Havertz ni matakataka tu
Unaangaliaga kwel jins havertz anavyocheza? Anaweza kuwa hafungi sana ila movement zake zinacreate chance nying za kufunga.