Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie takataka mna karibishwa kuona kosi la dunia linakichafua.
 
Kama Lukaku akiendelea kuwa static kama alivyofanya kwenye mechi ya juzi ya FA basi huyo ni bora aachwe kupangwa kabisa. Mechi na Aston Villa alikuwa mobile na alicheza vizuri sana. Nafikiri Lukaku bado anahitaji kukumbushwa na kusukumwa na kocha namna anavyotakiwa kucheza otherwise tusitegemee matokeo yeyote kutoka kwa Lukaku kwa attitude kama ile aliyoonyesha dhidi ya Plymouth
Lukaku inabidi abadili uchezaj wake, tofauti n hivyo no bora tuuze or tumpe nafas broja ambae anaonekana na potential na anaweza kuadapt mfumo wa tuchel

Havertz na werner wanaweza kuwa hawafungi sana ila movement zao ndio zilitufanya tuchukue ucl na hata msim huu game anazocheza havertz kama false no 9 tunacreat chance nyingi tofauti na game tunazocheza na target man(lukaku)
 
Mbona nimeisikia ni saa 9 na nusu alasiri
Google karipoti saa 19.30, namuamini google kwa sababu script yake huwa inaripoti kulingana na eneo husika. Ukitafuta ukiwa East Africa anakuletea saa za East Africa
 
Siku zote li timu linalochukua CL kwa kubahatisha haliwezi chukua CWC.....

Madrid alichukua ..

Liverpool alichukua ...

Buyern alichukua ....

ila nyie mbumbumbu hamuwezi chukua .....

2012 mlibahatusha kwa buyern Munich kuchukua CL lakin club world cup mliangukia msumari mkali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Timu la kifala Sana ....
Unawataja wanaume walichukua wewe mbona hujiweki?

Ona aibu basi
 
Kumbe kushiriki tu ,nyie mbumbumbu mnaenda kuaibika ,timu zote zinazochukuaga CL huwa zinachukua CWC lakin nyie kunguni daaa uwezo mdogo ,CL mmechukua kwa kubahatisha huko mnaenda kuchapwa na vitimu vya kawaida ....
Bahatisheni na nyinyi bana Yan ni SAWA na kusema mo amebahatisha kua tajiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom