Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tofautisha kati ya HEAD COACH vs MANAGER.

Nyumbu, City, Aser8, Liverkuku kocha wao ni Manager anayo madaraka makubwa ya kuamua kumsajili mchezaji gani au kumuuza mchezaji gani, management inamsikiliza na kutenda.

The BLUES kocha wetu sio manager ni Head COACH, mambo ya usajili na kuuza yanaamuliwa na Managers huko juu.

Unaomba uletewe Lukaku unaletewa Morata, unamtaka Halland unaletewa Lukaku.

Management inasaka Kocha mpya huku wakina Pulisic, Ziyech wanasajiliwa.

Nadhani pia falsafa yetu ya kufukuza makocha mara kwa mara labda management wanaona kocha akiwa manager tutakuwa na wachezaji kachumbari.

Bora hilo jukumu la usajili management walisimamie wajenga timu wanaoitaka wao kwa falsafa ya club, kocha abaki na kazi ya kuwaongoza wachezaji uwanjani.

Oky sio shida Basi tupate Mkurugenzi mwenye jicho la usajili kama Emanelo.
Ndio maana kocha kama PEP hatakaa akubali kuifundisha Chelsea
 
11 ya kubeba kombe
20220212_183320.jpg
 
Leo timu ya paundi mil 500 inacheza dhidi ya katimu ya paundi mil 30
Pesa kubwa dhidi ya pesa ndogo
Tukifungwa ni aibu tena kubwa
Najua leo hao wanaume wa Palmeiras watajitoa muhanga kama vile vita vya vietnam dhidi ya marekani mwaka 1967
Naomba tu 2012 isijirudie
 
Leo Kepa kutopangwa itamuongezea ari ya kutokaa Darajani msimu wa kiangazi, ataondoka. Hata kama Mendy ni mzuri Kepa leo angepangwa ingempa motisha kubwa
 
Leo na jambo langu kwenye madhabau yangu na jambo zito sana lakuongea na miungu yangu kuhusu game ya chelsea ya leo.

mizimu yangu ya ukoo itakuwa ni jambo jema na la busara sana hii timu ikifungwa leo maana wana mdomo sana hawa fanya jambo miungu yetu hawa takataka ili kombe walisikie tu naomba baada ya kufungwa usiwavunje moyo tu ikiwezekana uwavunje hata shingo aminu.
Mzee ungeanza kuiombea mema timu yako nyumbu Kwanza
 
TT leo kachemka
Kumuweka mount badal ya Ziyech
Kumuweka Odoi kwenye wingback badala ya Alonso
Leo mpiga kona ni Odoi so sad
Kama Ziyech hana majeruhi sioni kwa nini Ziyech awe nje
Hatuna mpiga kona
Hatuna mpiga free kicks
Hatuna mpiga krosi
Kama vile tunashiriki mashindano ya Ulimbwende
 
TT leo kachemka
Kumuweka mount badal ya Ziyech
Kumuweka Odoi kwenye wingback badala ya Alonso
Leo mpiga kona ni Odoi so sad
Kama Ziyech hana majeruhi sioni kwa nini Ziyech awe nje
Hatuna mpiga kona
Hatuna mpiga free kicks
Hatuna mpiga krosi
Kama vile tunashiriki mashindano ya Ulimbwende
Odoi asirudi ndani....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom