Game ya mwisho ndio atakuwepo ambayo huenda ikawa fainal or kutafuta mshindi wa tatuAtakuwepo hy J5 au ndo muda wa kupumzika anatakiwa kupewa.?
Ni fainal au nusu yake mkuuTutakutana na Al hilal kataka nusu fainal ya cwc
Game itachezwa jumatano
Namuona Kennedy apo..hope atafanya vyema.
Ungekua Sirius ungemtoa Timo umueke rukakuWorst Combined EPL Start XI Team 2021/22 So Far
Formation 4-2-3-1
Timo Werner (Chelsea)
Josh Sargent (Norwich) -----------------Ryan Fraser (Newcastle) ----- Tyler Roberts (Leeds)
Shandon Baptise (Brentford) –Adam Forshaw (Leeds)
Perraud (Southampton) -- William (Watford) --Clark (Newcastle)--Roerslev (Brentford)
Tim Krul (Norwich)
Nusu hiyoNi fainal au nusu yake mkuu
tunaomba iwe ivyo maana ile nafas iko waz alonzo ameshndwa kabs kufuta makosaNamuona Kennedy apo..hope atafanya vyema.
Fanya juu chini umtafute tammy Abrahamu, umzalie mtoto.Tammy Abraham anataka kurudi darajani
Hadi sasa Abraham amefunga goli 16 kwenye ligi na UEFA Conference na ana assists zaidi ya 3
Azam tvHv mechi za club world cup zitaonyeshwa supersport.?




Game itakuwa saa ngapi?Azam tv
🌄😂😂 Kwani tofaut ya man city na ndanda n Nini wote hamjawahi shiriki club worldcupSiku zote li timu linalochukua CL kwa kubahatisha haliwezi chukua CWC.....
Madrid alichukua ..
Liverpool alichukua ...
Buyern alichukua ....
ila nyie mbumbumbu hamuwezi chukua .....
2012 mlibahatusha kwa buyern Munich kuchukua CL lakin club world cup mliangukia msumari mkali
Timu la kifala Sana ....
Saa moja na nusuGame itakuwa saa ngapi?
Kumbe kushiriki tu ,nyie mbumbumbu mnaenda kuaibika ,timu zote zinazochukuaga CL huwa zinachukua CWC lakin nyie kunguni daaa uwezo mdogo ,CL mmechukua kwa kubahatisha huko mnaenda kuchapwa na vitimu vya kawaida ....Kwani tofaut ya man city na ndanda n Nini wote hamjawahi shiriki club worldcup
Mbona nimeisikia ni saa 9 na nusu alasiriSaa moja na nusu