Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Hii game mnakufa. Sub ya Trossard na Maupey ndio msumari wa moto kwenu.
acha uongo mkuu. hakuna timu itaruhusiwa kuingia uwanjani ikiwa na sub wanne huku wawili wakiwa ni makipaKumbuka liverpool waliomba game zao kuwa postponed na wakakubaliwa but chelsea kuna game tuliomba ihairishwe tukakatalia
Kumbuka game ya wolves tulicheza huku sub tukiwa na wacheza wanne kama sijakosea huku kati yao wakiwa makipa wawili,
duhHuyu Lukaku wa nn kila siku umbwaa hii
Eti sub wanna, EPL gani hiyo unayozungumzia hapa? Kana kwamba haitoshi umeamua kuongeza na munu kabisa, kwamba Kati ya hizo sub nne makipa walikuwa ni wawili😂Kumbuka liverpool waliomba game zao kuwa postponed na wakakubaliwa but chelsea kuna game tuliomba ihairishwe tukakatalia
Kumbuka game ya wolves tulicheza huku sub tukiwa na wacheza wanne kama sijakosea huku kati yao wakiwa makipa wawili,
Vipi ukuni uliopigwa na Brighton ni ule wenyewe, au size iongezwe?Huu ukuni aliokupachika ZIYECH unausikilizia ukiwa wapi
Vipi ukuni uliopigwa na Brighton ni ule wenyewe, au size iongezwe?Huu ukuni aliokupachika ZIYECH unausikilizia ukiwa wapi
Huoni kwamba huna macho au? Kwahiyo ulitarajia makubwa msimu huu?Sioni wanachofanya Chelsea, mf imekufa kabisa, forward butu butu
Mechi tuliyokuwa pungufu ilikuwa dhidi ya Wolves, tulikuwa na sub 6 badala ya 9. Game hiyo ilichezwa Dec 9Eti sub wanna, EPL gani hiyo unayozungumzia hapa? Kana kwamba haitoshi umeamua kuongeza na munu kabisa, kwamba Kati ya hizo sub nne makipa walikuwa ni wawili![]()
ShutupHuoni kwamba huna macho au? Kwahiyo ulitarajia makubwa msimu huu?
LembuTUANZE KUMLAUMU NANI ????
Huoni kwamba huna macho au? Kwahiyo ulitarajia makubwa msimu huu?
Na kibaya zaidi tulikua tunajisifu huku wafungaji wetu wakiwa ni mabeki yaan beki zinagoal nying kuliko washambuliajiMkuu walitarajia makubwa wakati wanaongoza ligi kwa point 5.
Tuliwaambia hawakusikia waliona hatuwapendi.kiukweli hawana wachezaji wakuwapa ubingwa pale.
vs Man Utd
vs Watford
vs West Ham
vs Leeds
vs Everton
vs Wolves
vs Aston Villa
vs Brighton
vs Liverpool
vs Man City
vs Brighton
Shida ilianza kwenye mechi ya 11 na Burnley baadaye mechi ya ya 13 na Manure na kuanzia hapo tushinde au droo ni kwa bahati tuUkweli ni tuna hali mbaya, tangu tufungwe na West Ham hatujawahi kulinda goli