DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Naona unausikilizia ukuni WEBSTER taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibHuu ukuni aliokupachika ZIYECH unausikilizia ukiwa wapi
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Naona unausikilizia ukuni WEBSTER taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibHuu ukuni aliokupachika ZIYECH unausikilizia ukiwa wapi
Hizo ni story za sasa.Arsenal naona na wao wamepatwa na cases za covid mpk wameomba game Yao n spurs jpili ihairishwe ..au walileta janjajanjakm ya liver carabao
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Janga la wote kivipi,Bado big picture ndio hiyo, injuries au Covid-19 haijaadhiri wala haiadhiri Chelsea tu, ni janga la wote. Tuache kusingizia
Kifuatacho ni kutimua Kocha na kuleta Kocha mwingine.Bora ukae kimya tu kama hujui
Huyuu jamaa ana mjulia saana Tuchel,Tuchel Huwa hafurukuti.Graham potter
Game ya Leeds ilibakia chupuchupu and Watford piaChelsea have won just three of their last 11 games in the Premier League.
vs Man Utd
vs Watford
vs West Ham
vs Leeds
vs Everton
vs Wolves
vs Aston Villa
vs Brighton
vs Liverpool
vs Man City
vs Brighton
Unbelievable.![]()
Inawezekana sisi tuliadhirika zaidi, lakini ndugu BIG picture ina amana hata sasa matokeo hayaendani na hilo unalosema. Hii sasa sio majeruhi wala sio COVID-19. Na hii behaviour ya wachezaji kutojituma kama mwanzo wa ligi ilianza game na Burnley. Hata game tulizoshinda baada ya Burnley ni kwa bahati tu. Burnley tulicheza nao November 6 leo inakaribia miezi mitatu. Siku zote hizo sisi tulikuwa na majeruhi tu au COVID19 tu. Ushabiki usitupumbaze tukaacha kuuona ukweliJanga la wote kivipi,
Man city
De Bruyne tu ndio alipata Covid mwisho wa mwezi November.
Kuelekea Christmas Rodri na Walker wakaumwa Corona,
Baada ya mwaka mpya Zincheko na Foden.
Haya hapo unasemaje? Arsenal ndio sitaki kuiongelea kabisa
Cheki takataka nyingine hii.The BLUES mmekuaje tena ndugu zangu?
Mmewaachia Liverpool wakimbie nalo kombe mwaka huu bila kuwa na upinzani wowote ule.
Nampiga Pep kisha Pep atapoteza kibao games
Bingwa ni Liverpool,wa pili Man City,watatu Spurs na wa nne ni Arsenal
Tuliwambia Chelsea uefa alibahatisha TU,kama mnakumbuka hata top 4 ilikuwa bahati TU maana kama Lececiter city angeshinda game dhidi ya Leeds, Chelsea inge maliza Ligi ikiwa nafasi ya 5.Kwa ufupi tu Chelsea no timu mbovu kwa misimu 4 hiii ndio imefunga mkia hovyo kabisa