Points gained from last 12 matches between Arsenal, Chelsea and Spurs
- Arsenal 27pts
- Chelsea 18pts
- Tottenham HotSpurs 24pts
Ndio maana wachina walisema no data no talk
Mpira ni sayansi na sayansi ni takwimu wewe unatulazimisha tubaki na imani kwa vitu vilivyo wazi kabisa
Katika mechi 38 na zilziobaki 16, sample ya mechi 12 inakubalika kabisa kidunia kuweza kugenerate prediction sahihi
Msimamo wa EPL May baada ya mechi za mwisho ni
- Mancity
- Liverpool
- Arsenal
- Spurs
- Chelsea
Miujiza na au majeruhi wote wapone na tusipate tena majeruhi ndio itakayotuokoa tusiwe nje ya top 4