Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mistakes zote hizi ni za msimu huu. Mimi nilichanga Everton na Westham. Mistake mbili iliigharimu timu kupoteza mechi ile tuliofungwa 3-2
Game ya everton kulikuwa hakuna penalty, msimu huu
 
1642352553056.png

Huu msimu unaongoza kwa makocha kutimuliwa, Chelsea haipo

Makocha waliotimuliwa hadi sasa ni

  1. Xisco Munoz (Watford) – October 3, 2021
  2. Steve Bruce (Newcastle) – October 20, 2021
  3. Nuno Espirito Santo (Tottenham) – November 1, 2021
  4. Daniel Farke (Norwich City) – November 6, 2021
  5. Dean Smith (Aston Villa) – November 7, 2021
  6. Ole Gunnar Solskjaer (Manchester United) - November 21, 2021
  7. Raphael Banitez (Everton) - January 16, 2022
 
Huu ndio wakati wa kumpora Haaland, wameshaanza kujibizana maneno huko BVB
 
Endeleeni kujadili makipa, huku mkikwepa kujadili washambuliaji wetu butu wanakula mshahara wa bure.
Brother umesema kweli hata uwe na kipa wa namna gani plus mabeki wazuri kama huna forward au viungo wazuri wakufunga magoli bado huwezi kupata matokeo. Chelsea msimu huu mnapoteza nafasi nzuri kwasababu ya forward zenu kuwa kwenye kiwango duni, My take Tuchel atafute mshambuliaji mpya wa kusaidiana na Lukaku
 
Kile kiloba cha mchele tumepgwa mchezaji gani mwili kama faza christmass, yule jamaa timu ikiwa haina mpira ni liability.
 
Tunatakiwa kusajili wachezaji caliber ya Hazard, Fabrigas, Willan hapo Lukaku atafunga magoli mengi.


------ HAZARD --- LUKAKU --- WILLAN ------

CHILWELL -- KANTE --- FABRIGAS --- JAMES

Kwa sasa tunazo winga za kiwango duni/uwezo mdogo zinatupotezea muda.

Hatuna kiungo Mshambuliaji mbunifu wa kupiga pass mbele kuvuka safu 2 za mpinzani.
Wachezaj yetu wanakosa mentality ya kina hazard or willian yani hawataki kujaribu kushoot, wenyewe wanataka wapige pass, cross

Wanashindwa kujiongeza kuna baadhi ya vitu haihatji kocha akufundishe kushoot,

Nikiangalia ile chance ya lukaku first yani anataka kumpa pass ziyech yanii pale ni hovyo kabisa
 
Endeleeni kujadili makipa, huku mkikwepa kujadili washambuliaji wetu butu wanakula mshahara wa bure.
Kwa kweli pale mbele ni use
PREDICTION

TOP 4 - EPL 2021/2022

1. Manchester City
2. Liverpool fc
3. Arsenal fc
4. Chelsea fc

Tukutane mwisho wa msimu.
Yaani Arsenal iwe juu ya chelseafc? haupo serious mzee hata kama una hasira usipende kufanya jambo kwa kuongozwa na mihemko
 
Thomas Tuchel is understood to be frustrated that none of #Chelsea's forwards have performed consistently well enough to hold down a starting spot.

[via @TheAthleticUK]
 
The Blues tunacheza vizuri sana kuanzia nyuma mpaka katikati, tunakaba vizuri tunajilinda vizuri.

Kimbembe kuanzia katikati kwenda mbele hadi kwenye umalizaji. Kwanza Back pass milioni 1 per mechi

Kwenye umalizaji ndio majanga kabisa hakuna ubunifu, hakuna mashuti, hakuna ukatili mbele ya goli, hakuna hatare, kiufupi ushambuliaji wetu ni wa kupapasa na kubahatisha kufunga goli.
Shida ya tim yetu tunasajil wachezaj ambao hawaendan na falsafa za kocha aliyepo.

Wakat PEP anakuja aliuza almost wachezaj wote waliokuwepo huku wakibaki wachache,akaanza kusajili wachezaj wanaoendana na style yake ya uchezaj

Msim huu wakat wa dirisha kubwa la mwez wa 7.alimtaka KANE, baada ya kushindwa kumsajil akaachana na huo usajil akaendelea kutumia wachezaj wale wale waliokuwepo


Msim huu tulihitaj kumpa Tuchel wachezaj anaowahitaj na sikumletea wachezaj ambao hawaendan na style yake,

Lukaku haendan na style ya uchezaj wa tuchel,
Angalia mechi amabazo tumecheza bila lukaku. Tumeweza kucreate chance nyingi kutokana na jins tunavyocheza maana tunaanzia kupress kuanzia juu,

Game tunazocheza tukiwa na lukaku, hata hizo chance zenyewe kucreate zinakuwa shida kwa sababu ya uchezaj wa lukaku,

Board yetu ndio inatufelisha inashindwa kumpa kocha kipi anachotaka

Mara ya mwisho kufanya vizuri ilikuwa ni wakat walivyomleta Costa na fab tena kwa matakwa ya jose,

Msim wa 2 wa conte, tukamletea wachezaj ambao hata hawahitaji,

Baada ya tuchel kuchukua uefa, marina alifaa aampe tuchel wachdzaj anaowataka na sikumletea wachezaj ambao hawaendan na style yake uchezaj,.

Baada ya injury ya chilwel ilipaswa tuwe tunajua nani watamsajil ili azibe pengo lake, kuwa na wachezaj wawil position moja sio kosa tena inaongeza quality ya kikosi na si quantity tu, city anakikos kipana na quality , tunaogopa kusajil mchezaj subir kisa tu washajiaminisha chilwel ndio first choice wanachofanya sasa ni kusajil back up tu,

Leo hii eti tunahangaika kwa kurzawa, mara emerson mara kenedy yan inasikitisha,
 
Endeleeni kujadili makipa, huku mkikwepa kujadili washambuliaji wetu butu wanakula mshahara wa bure.
Chelsea mpaka tuachane na MF za caliber ya Jorg na Kova.

Unadhani Diego aliscore goal 19 msimu wake wa kwanza kwa bahati mbaya?

Pia tupate wingers za calibre ya Hazard au Roben au Ribery.

Hayo yakikamilika humu ndani tutakuja tu kusalimiana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom