lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Sawa ila hata katikati watoaji wa zile pasi za hatari kama za Fabregas hayupo. Kovacic anajitahidi ila hajafikia viwango, Kante yeye ana role nyingine tofauti.The Blues tunacheza vizuri sana kuanzia nyuma mpaka katikati, tunakaba vizuri tunajilinda vizuri.
Kimbembe kuanzia katikati kwenda mbele hadi kwenye umalizaji. Kwanza Back pass milioni 1 per mechi
Kwenye umalizaji ndio majanga kabisa hakuna ubunifu, hakuna mashuti, hakuna ukatili mbele ya goli, hakuna hatare, kiufupi ushambuliaji wetu ni wa kupapasa na kubahatisha kufunga goli.
Tuuze Jorginho tumnunue kiungo (CAM) atakeye wachezesha akina Lukaku mpaka ulimi umtoke. Tuwanunue pia winga au viungo wa pembeni watakao toa asists za kutosha na kufunga magoli two digits Assists na Magoli kila msimu. Hapo tutakuwa Title contender wa kweli na OG sio hii Chelsea feki, mechi 7 za mwanzo tumeongoza ligi tukasahau ubovu wa akina Ziyech, Pulisic, Mount, Jorgninho, Odoi na waoka mikate wale

