Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Soma ujumbe no 93784 kisha uje na makaburi yako haya.Ubingwa ndio huu ndugu zangu
Soma ujumbe no 93784 kisha uje na makaburi yako haya.Ubingwa ndio huu ndugu zangu
na hii city tunabeba epl ya6 dogoChelsea hatukuwa na bahati nzuri mwaka huu kwa kupatwa na majeruhi wa5 na wagonjwa wa COVID wachezaji 9.
We Man City huna majeruhi wala mchezaji yeyote aliyepatwa na COVID-19.
Ikumbukwe timu zingine zilikuwa zikipatwa na majanga hayo hayo ya COVID-19 hata kwa wachezaji watatu tu mechi zilikuwa zikihairishwa lakini Chelsea hakuna mechi ambayo hakuacha kuendelea nayo kucheza.
Man City mko vizuri mwaka huu ila pia mna upepo wa kutopatwa na majanga kama wale wachezaji watatu tu wa Liverpool walivyopatwa na COVID-19 Liverpool ilipoteana.
Chelsea FC tumewazidi Man City kubeba makombe ya UEFA mara 2, Super Cup 2 na EPL mara 6 ukiwa na akili timamu.
Head to head matches Chelsea wamekuzidi hata kwa kupigwa goli 8-0 kwa mechi 1
UEFA kwa City ni 0, EPL 5 kujitutumua kote huko ili uonekane ni timu kubwa kumbe ni kenge wa bluu tu.
Dah kweli chuga upimwe akili sio bure.Wewe tulia ubingwa bado upo mikononi mwetu soon tu hapo takataka city atapoteana
Ukikuwa anahema na kubinua kile kiuono chake kama tipa inabinua mchanga, kakutana na KDB😅.Cheki hii takataka ..tungeshinda ungesema Hivi? Kuna kiungo Kama Kanye dunia hii ya Sasa..?
Baba ile kipa yeyote hadaki labda atangulie kuusubiria mpira upande ule uleHapo ndio umuhimu wa Mendy unapoonekana. Hapo tu.
City kakosa clean sheet kwa Arsenal.Aggregate Ass.anal ametobilewa 7-1 na man city. Home and Away.
Au nasema Uongo ndugu zangu.
Naona unajaribu kulazimisha kalio lako litafune muwa na wakati sio kazi lilioumbiwa😂.Wewe takataka ata kuandika ujui ..em nenda memkwa ukafundishwe kuandika😂😂
Aseeeh wewe akili hunaKuna maboya ya humu kila siku yanang'ang'ana kusema eti Kanye kashindikana EPL, emagine walitaka apewe kabisa Ballon.
Kante ni kiazi mmoja tu.
Hata game ya kwanza alikosa Cleansheet?City kakosa clean sheet kwa Arsenal.
Game ya pili kashinda kwa msaada wa VAR.
Kwa cheltako ambayo yeyote anafunga hata kupata goli moja mmeshindwa
Mmekariri.Baba ile kipa yeyote hadaki labda atangulie kuusubiria mpira upande ule ule
Yani mi niliyeanza kuishabikia Chelsea 1998 niitwe dogo, je wewe uliyeanza kuishabikia City 2010 utaitwaje?na hii city tunabeba epl ya6 dogo
Kiukweli ween need to sort ishu ya Rudiger na Christensen.Goals + Assists (PL)
- Lukaku + Ziyech + Pulisic = 11
- Mount = 12
Naona unajaribu kulazimisha kalio lako litafune muwa na wakati sio kazi lilioumbiwa😂.Wewe takataka ata kuandika ujui ..em nenda memkwa ukafundishwe kuandika😂😂
Stress zako peleka kwenye ukoo wako.Aseeeh wewe akili huna
Umeleta aggregate nimekujibu kwa aggregateHata game ya kwanza alikosa Cleansheet?
Agreggate ya 7-1....Umeleta aggregate nimekujibu kwa aggregate
Yaani hapa nilikuwa mishe ili nije nikuzomee😂😂😂😂😁

