Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mbona hamna cha maana kwenye hiyo comment. Mimi nilifikiri utachambua jinsi majeruhi na form inavyoathiri kikosi kumbe umeleta mipasho.... poleni
Hilo neno tu kutamkwa na Me ni udhalilishaji wa jinsia ya kiume, jitathmini kisha chukua hatua.
 
Mendy mwanzoni alikuwa Supperb, ila sasa wako sawa na Kepa tu, wawe wanafanyiwa rotation
Hakuna kipa ambae anaweza cheza game zote katika kiwango kile kile,
Game 2 or tatu hazimfanyi zimshushe daraja

Kuna mifano mingi tu, ya makipa ambao kuna game wanafanya makosa ila haiwafanyi waonekana ni wabaya hata cech mwenye kuna game ashawai fanya makosa,
De gea kuna mda form yake ilidrop ila haikumfanya aonekane ni kipa mbaya

Kumuweka mendy daraja sawa na kepa sio sahihi
Kuna game bila mendy unaona kabisa hapa tungepigwa, game mbili za mwisho dhidi ya brighton na liver unahisi angekuwa kepa angetufanya tupats hata hiyo point 1, sawa kepa now kaimproved ila bado hajafikia kiwango cha mendy

Wazungu wanasema form is temporary but class is permanent
 
Game ya leo plan aliyoingia nayo tuchel ilikuwa sahihi shida ikawa kwa wale front 3 wakishindw kutimiza maagizo,

Msim uliopita tulimfunga city coz ya wachezaj walikuwa wanapress kuanzia kwa mabek wa city na kutowaruhus kutofanya build up yeyote


The only way tunayoweza kumfunga city ni kuwa na wachezaj wenye pace na wanaoanzia kupress mbel na ndicho klopp anachofanikiwa hicho akikutana na city

Pulisic+ Ziyech+Alonso sidhana kama wanamaajabu yoyote wanayoweza fanya,
Usajili wa lukaku sidhan kama tuchel alimuhitaji

Board ya tim inamfelisha tuchel kwa kutompa wachezaj wanaoendana na system yake
Kwamba mlikuwa mnataka kum press Man City??
Ushawahi kujiuliza, kwanini Solskjaer alikuwa anamfunga Pep mara kwa mara, even when the odds were against him??

Mkuu Will Jr usichoke kutupatie elimu, tunazidi kujifunza
 
Sasa sijui mtasem nin?...maana ata hao mlokuwa mnasem mnapigwa kwa kuwa hawakuwepo sasa wamerud lakini hali ni ile ile mliwalaumu bure kina jorginho lakini kwasasa tunaojua mpira inaonyesha dhahiri morale ya timu yenu imeshuka sana.

Screenshot_20220116-162025.jpg

Screenshot_20220116-094750.jpg



Hakuna cha kante wala nani timu nzima imechoka...maana kama kdb na foden wanapiga huku wachezaji wenu wanaangalia tu tusemaje hapo?

Screenshot_20220116-103849.jpg

Screenshot_20220116-104401.jpg
 
Hakuna kipa ambae anaweza cheza game zote katika kiwango kile kile,
Game 2 or tatu hazimfanyi zimshushe daraja

Kuna mifano mingi tu, ya makipa ambao kuna game wanafanya makosa ila haiwafanyi waonekana ni wabaya hata cech mwenye kuna game ashawai fanya makosa,
De gea kuna mda form yake ilidrop ila haikumfanya aonekane ni kipa mbaya

Kumuweka mendy daraja sawa na kepa sio sahihi
Kuna game bila mendy unaona kabisa hapa tungepigwa, game mbili za mwisho dhidi ya brighton na liver unahisi angekuwa kepa angetufanya tupats hata hiyo point 1, sawa kepa now kaimproved ila bado hajafikia kiwango cha mendy

Wazungu wanasema form is temporary but class is permanent
Tunachozungumza hapa ni vitu viwili
Mendy kiwango kushuka, nakubali haikumuondolea kuwa kipa bora
Pili Kepa naye kiwango kimeboreka na kwa hiyo
Kepa naye amefikia level ya Mendy
 
Mechi ya kwanza shoot on target: 0 ...hii ya marudiano ndo kidogo mumejitahidi shoot on target :1 , HII INAMAANA KWA DAKIKA ZOTE 180 two legs(Home & Away)...MUMEPATA SHOOT ON-TARGET 1 TU DHIDI YA CITY....Ni ajabu na kweli hii, ila Duh!...mumechoka sana nyie jamaa.

Screenshot_20220116-165011.jpg


Match ya pili hii.

Screenshot_20220116-103149.jpg
 
Tunachozungumza hapa ni vitu viwili
Mendy kiwango kushuka, nakubali haikumuondolea kuwa kipa bora
Pili Kepa naye kiwango kimeboreka na kwa hiyo
Kepa naye amefikia level ya Mendy
Sijui kwanini sie ma shabiki na wapenzi wa Chelsea tukifungwa hata mechi moja tuna changanyikiwa, akili zetu zina badilika unaweza kulinganisha keppa na mendy, huyu keppa anaepoteza mpira kizembe pass tu huwezi, ile gori angekua makini angelisave kwanini hakudaivi kufuata ule mpira, mendy iko kwenye kiwango cha juu sanaa, huwexi kumlinganisha na huyu keppa wakuombea dua kila abapo shika mpira.
 
Sasa sijui mtasem nin?...maana ata hao mlokuwa mnasem mnapigwa kwa kuwa hawakuwepo sasa wamerud lakini hali ni ile ile mliwalaumu bure kina jorginho lakini kwasasa tunaojua mpira inaonyesha dhahiri morale ya timu yenu imeshuka sana.

View attachment 2083798
View attachment 2083799


Hakuna cha kante wala nani tinu nzima imechoka...maana kama kdb na foden wanapiga huku wachezaji wenu wanaangalia tu tusemaje hapo?

View attachment 2083802
View attachment 2083803
Acha mipasho Mzee km timu ingekuwa haina morali tungeona dalili hata tokea game za carabao na spurs .. kovacic alikuwa ana Kadi tiyari au ulitaka afanye reckless challenges na apate Kadi ya pili ya njano au nyekundu? Rudiger alikuwa anakaba Kwa tahadhari Tu maana ana Kadi nyingi Sana. Za njano so km angepata ingeweza kumcost akamiss game 1....timu nzima tumeona imepambana Sana ... kama hcho ndo kigezo chako aisee umetisha mzee

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuuuu acha na lembu huyo ni mamluki mwanzo nilikuwa nakubali sana alichokuwa akiandika ila ssa hakuna kitu
Wewe ni mfahidhina wa mawazo, hakuna jina lingine linalokufaa. Unastahili kuishi kwenye utawala wa yule dogo wa Korea Kaskazini wasiotaka different thinking
 
Sijui kwanini sie ma shabiki na wapenzi wa Chelsea tukifungwa hata mechi moja tuna changanyikiwa, akili zetu zina badilika unaweza kulinganisha keppa na mendy, huyu keppa anaepoteza mpira kizembe pass tu huwezi, ile gori angekua makini angelisave kwanini hakudaivi kufuata ule mpira, mendy iko kwenye kiwango cha juu sanaa, huwexi kumlinganisha na huyu keppa wakuombea dua kila abapo shika mpira.
Mendy yeye hapotezagi. Hadi kuna wakati Mendy akitaka kupiga mpira mbele nabana manani kwa sababu nahisi ataanguka kabla hajapiga. Nahisi ninyi mnamfuatilia Mendy kwenye streaming media na Youtube. Mendy kafanya blunders nyingi wakati anaanzisha mpira, anarudishiwa mipira na wakati anapiga mipira mbele. Tuwe fair tusimuoverrate Mendy na kumuunder rate Kepa kisa aliborongaga wakati wa Sarri na Lampard
 
Hebu jaribu kufikiria japo kidogo basi. Yaani uipige benchi paundi million 100 acha masikhara basi, umemsajili wa nn sasa. Huyo anapagwa ini mradi tu, huone ata yeye ndio maana alilalamika kuhusu TT.
Hakuna usajili wa pesa kubwa hvyo usiomuhusisha kocha we jamaaa Tuchel alimtaka Lukaku
 
Sio ukweli....nachoona kepa kaimprove Tu zaidi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Angalau wewe unakaribia kwenye ukweli. Inawezekana mimi nimemkasirikia sana Mendy hasa kwa golimla Masuaku na ile penalty dhidi ya Everton ya kijinga kabisa kufanywa na kipa calibre ya Mendy na nakiri inawezekana ninamuunderate Mendy kwa sababu ya hasira hiyo. Inawezekana Mendy hayuko level ya Kepa hata kama Kepa kaimprove. I absolutely agree with you comment.
Ila namuona Mendy akielekea kuwa ordinary Golie asipoweka zaidi concetration uwanjani
 
Angalau wewe unakaribia kwenye ukweli. Inawezekana mimi nimemkasirikia sana Mendy hasa kwa golimla Masuaku na ile penalty dhidi ya Everton ya kijinga kabisa kufanywa na kipa calibre ya Mendy na nakiri inawezekana ninamuunderate Mendy kwa sababu ya hasira hiyo. Inawezekana Mendy hayuko level ya Kepa hata kama Kepa kaimprove. I absolutely agree with you comment.
Ila namuona Mendy akielekea kuwa ordinary Golie asipoweka zaidi concetration uwanjani
Penalty ya everton ya msim uliopita tena round ya 1 mpk leo unalalamika duuh

Hakuna kipa asiyefanya makosa or kufungwa magoal kutokana na kujiposition vibaya

Hiv wakat cech,courtois wanafungwa magoal kutokana na makosa yao ulikuwa kama unavyomlalamikia mendy
 
Penalty ya everton ya msim uliopita tena round ya 1 mpk leo unalalamika duuh

Hakuna kipa asiyefanya makosa or kufungwa magoal kutokana na kujiposition vibaya

Hiv wakat cech,courtois wanafungwa magoal kutokana na makosa yao ulikuwa kama unavyomlalamikia mendy
Mistakes zote hizi ni za msimu huu. Mimi nilichanga Everton na Westham. Mistake mbili iliigharimu timu kupoteza mechi ile tuliofungwa 3-2
 
Wewe ni mfahidhina wa mawazo, hakuna jina lingine linalokufaa. Unastahili kuishi kwenye utawala wa yule dogo wa Kore Kaskazini wasiotaka different thinking
Kwan ni mie tu ndio niliekukataaa mawazo mengi ya wana janvi wanasema ww ndio maaana mie nimepigilia msumari kusema wakuache useme usemacho ww hyo huyo ulimkataaa kepa leo tena unamkubali
Ila kuna watu wamekuambia huwezi ukakaaa kwenye pick kwa muda mrefu huenda ww kepa anakupendeza sawa ila usitulazimishe tumuone MENDY NI MBAYA KWA KEPA WATU WAKAENDA MBALI ZAIDI WAKAKUPA NA MIFANO YA MECHI ILA WW BADO NI MFAHIDHINA WA KEPA SSA ILA KEPA HAWEZ KUFIKIA LEVEL YA MEND OVA
 
Kwan ni mie tu ndio niliekukataaa mawazo mengi ya wana janvi wanasema ww ndio maaana mie nimepigilia msumari kusema wakuache useme usemacho ww hyo huyo ulimkataaa kepa leo tena unamkubali
Ila kuna watu wamekuambia huwezi ukakaaa kwenye pick kwa muda mrefu huenda ww kepa anakupendeza sawa ila usitulazimishe tumuone MENDY NI MBAYA KWA KEPA WATU WAKAENDA MBALI ZAIDI WAKAKUPA NA MIFANO YA MECHI ILA WW BADO NI MFAHIDHINA WA KEPA SSA ILA KEPA HAWEZ KUFIKIA LEVEL YA MEND OVA
Wala sipendezwi na Kepa, nasema ukweli na unawauma kwa sababu mlishaweka trust kubwa kwa Mendy
NHa kwenye ksuem,a kweli hauangalii wenzake wameandike ili useme kama wao
 
Jamaa anaenda na ile style ya Kinana na Nape kujenga chama kwa kukikandia.
Labda niliweka matumaini sana kwa Mendy halafu akaanza kutuangusha kipindi kibaya. Hao uanowasema wala hatukuweka matarajio mengi kwao. ni bodi tu wajipime wasajili wachezaji wanaoweza kufunga magoli. Sina la zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom