Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Niliwahi sema hapa huyo Lukaku TT hakumtaka kabisa ni bodi tu ilimleta. TT yeye alimtaka Haaland ila baada ya usajili kushindikana ndio wakaona walete hilo zigo.
Wew ndie msemaji wa tuchelewe?
 
Niliwahi sema hapa huyo Lukaku TT hakumtaka kabisa ni bodi tu ilimleta. TT yeye alimtaka Haaland ila baada ya usajili kushindikana ndio wakaona walete hilo zigo.
Tuchel asingemtaka asingemuanzisha bhana Tammy alikua hamtaki game kibao kamsugulisha mpka kauzwa Tuchel sio muoga kwenye kufanya maamuzi
 
Hebu jaribu kufikiria japo kidogo basi. Yaani uipige benchi paundi million 100 acha masikhara basi, umemsajili wa nn sasa. Huyo anapagwa ini mradi tu, huone ata yeye ndio maana alilalamika kuhusu TT.
Tuchel asingemtaka asingemuanzisha bhana Tammy alikua hamtaki game kibao kamsugulisha mpka kauzwa Tuchel sio muoga kwenye kufanya maamuzi
 
Game ya leo plan aliyoingia nayo tuchel ilikuwa sahihi shida ikawa kwa wale front 3 wakishindw kutimiza maagizo,

Msim uliopita tulimfunga city coz ya wachezaj walikuwa wanapress kuanzia kwa mabek wa city na kutowaruhus kutofanya build up yeyote


The only way tunayoweza kumfunga city ni kuwa na wachezaj wenye pace na wanaoanzia kupress mbel na ndicho klopp anachofanikiwa hicho akikutana na city

Pulisic+ Ziyech+Alonso sidhana kama wanamaajabu yoyote wanayoweza fanya,
Usajili wa lukaku sidhan kama tuchel alimuhitaji

Board ya tim inamfelisha tuchel kwa kutompa wachezaj wanaoendana na system yake
Msimu uliopita mlitufunga na timu hii, msisingizie kutokua na wachezaji wazuri, Jifunzeni kuheshm mpinzani wako pia,
Darajani tumekufunga kwa umiliki mkubwa wa mpira ukiwa huna majeruhi. Huu mpira sio kila siku utashinda wewe.
 
Kama wakat huu tuchel anashid na lwb n rwb tunakalia na habr za kumrejesha kenedy kweli,

Kubaki kutegemea alonslow na azp kama wingback zetu ni majanga

Leo sterling alimfanya alonslow jins anavyotaka yeye,

Sahiv hata speed ya uchezaj wetu imepungua coz kuna wachezaj hawaendan na mpira wa haraka sasa
Sarr pamoja na ubovu wake ni afadhali kuliko Alonzo
 
Game ya leo plan aliyoingia nayo tuchel ilikuwa sahihi shida ikawa kwa wale front 3 wakishindw kutimiza maagizo,

Msim uliopita tulimfunga city coz ya wachezaj walikuwa wanapress kuanzia kwa mabek wa city na kutowaruhus kutofanya build up yeyote


The only way tunayoweza kumfunga city ni kuwa na wachezaj wenye pace na wanaoanzia kupress mbel na ndicho klopp anachofanikiwa hicho akikutana na city

Pulisic+ Ziyech+Alonso sidhana kama wanamaajabu yoyote wanayoweza fanya,
Usajili wa lukaku sidhan kama tuchel alimuhitaji

Board ya tim inamfelisha tuchel kwa kutompa wachezaj wanaoendana na system yake
Pulisic alikuwa likizo, Ziyech hajitambui kabisa, Odoi angeanza ingekuwa bora kidogo
 
Niliwahi sema hapa huyo Lukaku TT hakumtaka kabisa ni bodi tu ilimleta. TT yeye alimtaka Haaland ila baada ya usajili kushindikana ndio wakaona walete hilo zigo.
Kweli mkuu,TT alimtaka haaland hata mashabiki pia. Lukaku tulimchukua baada ya kushindwa kumchukua Haaland.
Chelsea tunahitaji mtu kama haaland
 
Ujue TT kuwa aina fulani ya uchezaji anaitengeneza ila wachezaji ndio wanamuangusha. Tufanye mabadiliko ya nguvu kama city walivyo fanya, TT apewe wachezaji anao wataka yy mwenyewe sio kuletewa. Wasio faaa watolewe upesi wa kwanza LUKAKU
Board yetu siku zote huwa inazingua, kwa miaka ya hivi karibun

Yani ukiangalia mpk sasa hivi tumeshindwa kusajil replacement ya chilwel n james, tunasubir ifike deadline day ndio tunafanye panic buy, ili mradi tuonekane tumesajili

Board yetu, bado haijajifunza na kile kilichotokea 2017 kwa kufanya usajili wa hovyo
 
Hakim Ziyech the Maestro 🐒
20220116_101859.jpg
 
Tafuta saves za Mendy zipo nyingi sana youtube.

Angalia long shots kama hizo anajiposition vipi.
Mendy mwanzoni alikuwa Supperb, ila sasa wako sawa na Kepa tu, wawe wanafanyiwa rotation
 
Mimi ni mtu wa hesabu

Ili Chelsea achukue ubingwa mbele ya City itabidi Chelsea ashinde mechi zake zote zilizobaki 16 na City angalau afungwe mechi 5 kuanzia sasa katika mechi 16 zilizobakia
Ili Liverpool achukue Ubingwa mbele ya City itabidi ashinde mechi zake zote 18 zilizobaki na City angalau afungwe mechi 3 kati ya 16 zilizobaki

Kwa Liverpool at least inaonekana ni betting inayowezekana ila kwa Chelsea kuchukua ubingwa mbele ya city ni sawasawa na Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kwa hayo kutokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom