Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

City ni kumpelekea moto kama alivyofanyiwa na arsenal, tusipaki bus kama mechi iliyopita
 
Wakati wengine humu wanasema Lukaku asianze, kule city wanamuhofia

Manchester City’s Kevin De Bruyne has called Chelsea forward Romelu Lukaku a “massive threat” as he prepares to face his Belgian teammate on Saturday.
 
Tuchel adai alijifunza kitu kwenye mechi ya kwanza ya ligi na city msimu huu. Adai approach yake ilikuwa ni ya kuwaruhusu maadui wacheze zaidi na kujihami bila kushambulia.

Speaking ahead of the game, he said: "My approach was the wrong approach, it made us too passive and defensive. It wasn't meant like this but it turned out like this. So lesson learned."
 
Timu ya leo

Goalkeepers: Kepa Arrizabalaga, Marcus Bettinelli.

Defenders:
Antonio Rudiger, Malang Sarr, Marcos Alonso, Cesar Azpilicueta, Thiago Silva, Lewis Hall.

Midfielders : Mateo Kovacic, Saul Niguez, Jorginho, N'Golo Kante, Ross Barkley, Mason Mount, Ruben Loftus-Cheek, Harvey Vale, Xavier Simons, Charlie Webster, Lewis Baker, Kenedy.

Forwards : Hakim Ziyech, Kai Havertz, Christian Pulisic, Timo Werner, Callum Hudson-Odoi, Romelu Lukaku, Jude Soonsup-Bell.

Watakaoanza

Lukaku

Werner ------------------------------------------------------------------- Ziyech

Alonso --------------- Kovacic -----------------Kante --------------- Azpilicueta

Lewis -----------------------------Rudiger ----------------------------- Silva

Kepa
 
Hari ya tuchel mpaka sasa yani[emoji1787][emoji1787]
20220106_131359.jpg
 
Haaland adai Dotmund wanamlazimisha afanye maamuzi sasa

CEO wa Dotmund amedai naye kuwa Haaland hana budi kufanya maamuzi kabla ya May 2022

1642245718946.png

1642245765624.png
 
Leo ni mechi ya 50 kwenye ligi kati ya city na Chelsea

  • Chelsea kashinda 27
  • Droo 7
  • City kashinda 15

Katika mechi za mwanzo 25
  • City kashinda 3 tu
  • Chelsea kashinda 18
  • Droo 4
Katika mechi 24 za hivi karibuni
  • City kashiunda 12
  • Chelsea 9
  • Droo 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom