Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Kovac nae hakuna kitu pulisc matumiz mabaya ya pesa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] laxima mufee leloTunaenda mapumziko bila hata shuti moja kwenda ndani au hata pembeni mwa goli
At least Christensen angekuwepo aiseeeeTunaenda mapumziko bila hata shuti moja kwenda ndani au hata pembeni mwa goli
We pambana na timu yako ushiriki uefa mwakani.Chelsea leo naona mmekuja kutafuta draw hapa sio kushinda.
SawaWa mwaja jana au juzi, Kepa kazaliwa upya, wewe tu ndio bado
Hatuna Beki leo. Huyu Sarr anacheza huku anatetema.Back pass ndio chakula chetu siku hizi.
Tuchel atakuja na Plan second half.Chelsea kuna mtego anawatafutia city afunge goli la kushtukiza ila naona kama kashafeli.amtoe lukaku na ziyech aingie havert na mason
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Sure....Hawa wachezaji hawawezi kulink kabisa (lukaku,ziyech,pulisic)
Waingie Mount na Kai hapo.Hii timu Mount ndo anaweza kuichezesha
Mkuuu mbona nyuma wanacheza vzr tatzo mipira mbele haifiki ni kiungo ndio shida ngola akikamata mpira watu 3 wamemvamia nae kovac hayupo vzr Jorge itapendeza sanaAt least Christensen angekuwepo aiseeee
Sarr anacheza nn?Mkuuu mbona nyuma wanacheza vzr tatzo mipira mbele haifiki ni kiungo ndio shida ngola akikamata mpira watu 3 wamemvamia nae kovac hayupo vzr Jorge itapendeza sana
Naunga hoja mkuuuu na sioni kma Chelsea itaweza kubadilikaMpaka sasa Chelsea ndio timu yenye safu mbovu za ushambuliaji kwenye top 3.